hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Well saidKwasababu mpo na watoto muda mwingi na nyie ndio mnadhani kumlea mtoto ni kumdumia material needs tu na sio manners na heshima na adabu
Well saidKwasababu mpo na watoto muda mwingi na nyie ndio mnadhani kumlea mtoto ni kumdumia material needs tu na sio manners na heshima na adabu
Kuna community zingine kama wahindi na hata wazungu huwa hawawapigi watoto lakini the way wanavyokwenda nao mtoto anafata vile mzazi anavyotaka kutokana na culture yao, watoto wa kizungu tunavyo waona mienendo yao ni kutokana na utamaduni wa jamii nzima, tatizo ni sisi waswahili tunaotaka kuiga, na mchanganyiko wa uzungu na uswahili unatoa tabia ya ajabu
Wazazi wa kike wanachangia sana malezi mabovu kwa watoto. Tutamlaumu baba mtu ila kuna kipindi akiingilia kati ataambulia kauli "leba nilikua mwenyewe na manesi usinitesee mtoto" "haukunisaidia kupush" "huujui uchungu na maumivu ya kujifungua"
Akina mama wa siku hizi wanadekeza vibaya. Na zile kiss za mdomo uchafu mtupu
Hahaha haaa hahaa. .Aibu kubwa sana hii kwa wazazi wanao jitambuaDuu! mleta uzi umenigusa.
Kwanza niseme uwazi mimi ni muumini wa kanisa katoliki. tuna utaratibu wa kusali jumuiya. kwa maana ya kusali nyumba kwa nyumba za wakatoliki kulingana na utaratibu wa kanisa.
Kuna siku tulienda kusali kwa dada mmoja ni Dr. wa hospitali ya BMC, uwiiiiii jamani wale watoto walinikera!!
Yaani sala zinaendelea mara wanakwenda pale mbele kwenye "altare" wanaanza kuvuta vitambaa, mishumaa, bibilia n.k" mara vinaanza kuimba nyimbo za shuleni, mara vinatuambia tunyanyuke kwenye viti vya nyumbani kwao, mama yao sasa ambaye ni Dr. yuko tu "yuuu, yuuuu plisi, plisi...)
Nimeapa siku nyingine wakipanga kusali jumuiya kwa Dr. siendi maana nitawafinya wale watoto wake
Kutafuta chakula cha familia.Wazazi wa kiume wanakuwa wapi katika malezi?
Hii ndio sababu moja wapo iliyo changia 'Jamii kuwa na watu kama kina amber rutty. Mariam birian. Juma okelo. Na vijana wengine wanaoshinda mitandaoni na kutukana watu matusi mazito mazito na kashfa juu Wema sepetu akiwa ni moja ya product ya malezi ya aina hiyo "Wazazi wetu walikua very proud mtoto wao anaposifiwa kua na adabu na heshima mbele ya watu wengine ikiwemo wageni kama wametembelea nyumbani kwao. Siku hizi mtoto kua na adabu sio priority ya mzazi.. Hawaelewi kua mtoto aki behave ni sifa kubwa sana kwake mwenyewe na kwa mzazi pia
Akati unakuta mama anakaa na mwanae wa kike anamnanga mume wake, hajui anazidi kumfanya mwanae aone kumbe mzee kimeo
mara nyingi hiyo ni kawaida ya kina mama mfano mdogo ni kwenye kula unakuta mtoto akilishwa na mama yake ataruka ruka na kumwaga chakula wanacheka cheka naye ila mzee akipewa amlishe anakula kama kawaidaWazazi wa kiume wanakuwa wapi katika malezi?
Samaki mkunje bafo mbichiMtoto uleavyo ndivyo akuavyo.....
Maranyingi watu hukumbuka pale walipolelewa vizuri kwa kufundishwa adabu , heshima na ubinadamu kuliko kule walipodekezwa na kuharibiwa tabiaNikikumbuka kipigo alichokuwa ananipa mama yangu mpaka leo nacheka na kumshukuru sana kama kaka mkubwa kipigo kile kilinisaidia kufuata njia inayofaa na wadogo zangu wakaniiga. Kosa lolote liwe dogo au kubwa nilitandikwa sana na mama, kuchapwa malapa ya usoni kama yote, baba yeye alikuwa hapigi mara kwa mara ila akifikishiwa kesi na mama jiandae kufa. Alikuwa na waya huo wa umeme acha kabisa.
Ni kweli kabisa usemayo mkuuHii ndio sababu moja wapo iliyo changia 'Jamii kuwa na watu kama kina amber rutty. Mariam birian. Juma okelo. Na vijana wengine wanaoshinda mitandaoni na kutukana watu matusi mazito mazito na kashfa juu Wema sepetu akiwa ni moja ya product ya malezi ya aina hiyo "
Jamii inapokuwa na majority kubwa ya watu wenye Tabia hizo. ..Taifa linaingia kwenye dosari kubwa na hatimae Lita onekana kuwa ni Taifa la watu wa hovyo ..wasiojua mantiki ya ustaarabu
Wewe acha tu mkuu ' tanzania ni Jahazi lililo Toboka. .kama halitofanyiwa service basi tusishangae tutakapoona linazamaNi kweli kabisa usemayo mkuu
Bahati mbaya sana wanaopigania maadili kwa watoto wanaonekana wamepitwa na wakati kwa hiyo kama ni jahazi la maadili limeachwa tu lifuate upepo utapolipelekaWewe acha tu mkuu ' tanzania ni Jahazi lililo Toboka. .kama halitofanyiwa service basi tusishangae tutakapoona linazama
Hivi Shadeeya ushawahi kumuomba radhi mwanao kisa kanuna baada ya kumuadhibu? Au wewe mtoto kwako hakanywi?Daaah! Inasikitisha sana na yote hayo vyanzo ni sisi wazazi wa kidigitali kwani tunawalea watoto kimadekezo kuliko kawaida.
Na ndio sababu mtoto anaweza mkosea mzazi akachapwa na ikitokea mtoto kakasirika basi mzazi atakwenda kumbembeleza yaishe wakati zamani hayakuwepo haya.
Basi wewe ni miongoni mwa kina mama bora kabisa, ni mzazi na mlezi bora na sio bora mzaziHapana na haitatokea Ses. Kumkanya namkanya vizuri tu.
mtoto anapokuwa mdogo ni wa mama, kwa maana ya kwamba 80% ya malezi yake ya udogoni yanabebwa na mama. Na ndio maana hata sheria inatuambia kwa wazazi wanaoishi mbali mbali baba anaruhisiwa kuishi na mtoto akiwa tayari ana umri wa 6+.Wazazi wa kiume wanakuwa wapi katika malezi?
wazazi wa siku hizi priority kwao ni kuona mtoto anakua huku akiongea kingereza kwa ufasaha, suala la nidhamu kwao sio issue kabisa.Wazazi wetu walikua very proud mtoto wao anaposifiwa kua na adabu na heshima mbele ya watu wengine ikiwemo wageni kama wametembelea nyumbani kwao. Siku hizi mtoto kua na adabu sio priority ya mzazi.. Hawaelewi kua mtoto aki behave ni sifa kubwa sana kwake mwenyewe na kwa mzazi pia