MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Mtoto anamiaka 2.5 imetokea kupata maradhi ya mara kwa mara hii inatokana na turnover ya maisha ya mama na baba kuwa magumu.
Maamuzi:
mama mkwe(upande wa mme) kamchukua mtoto na kwenda kumlea.
Baba mwenye mtoto:
kutokana na mama yake kuona anashindwa kumlea mtoto yeye anashindwa kumwambia mzazi mwenzake kuwa mtoto anaenda kulewa.
Mama mwenye mtoto:
ameshitakia amenyanganywa mtoto mwenye umri wa miaka 2.5. Kazi anayofanya ni kuuza bar na huwa anamchukua kwenda nae bar.
Swali:
1: Je mtoto mwenye umri chini ya miaka 7 anaweza kuchukuliwa kwa mama kwa sababu zipi?
2: Mama mkwe yupo sahihi?
3: Ni namna gani mtoto anaweza kuchukuliwa ili kupata malezi bora?kwani wameshindwa kabisa kumlea mtoto.
Msaada kwa mdogo wangu huyu.
Maamuzi:
mama mkwe(upande wa mme) kamchukua mtoto na kwenda kumlea.
Baba mwenye mtoto:
kutokana na mama yake kuona anashindwa kumlea mtoto yeye anashindwa kumwambia mzazi mwenzake kuwa mtoto anaenda kulewa.
Mama mwenye mtoto:
ameshitakia amenyanganywa mtoto mwenye umri wa miaka 2.5. Kazi anayofanya ni kuuza bar na huwa anamchukua kwenda nae bar.
Swali:
1: Je mtoto mwenye umri chini ya miaka 7 anaweza kuchukuliwa kwa mama kwa sababu zipi?
2: Mama mkwe yupo sahihi?
3: Ni namna gani mtoto anaweza kuchukuliwa ili kupata malezi bora?kwani wameshindwa kabisa kumlea mtoto.
Msaada kwa mdogo wangu huyu.