chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Wadau wa hapa JF naleta kwenu ili swala kwa hawa vijana wetu tuliopo nao mazingira tofauti.
Familia za kitajiri kimalezi zinatupa tabu kwa sisi ambao watu baki mambo yanayo fanyika.
umri ukifikia wa kijana unatesa sana wazazi mpaka unajiuliza nini tatizo.
Yani mtoto anataka vyuo vikubwa tena ghalama kubwa mno.
Tuje labda kujiajili mambo ya mitaji.yani hataki kuona umeanzia wapi mpaka kuwa tajiri ila yeye anataka kufanya vitu vikubwa kumzidi yeye bila kujua changamoto.
Matumizi ya hawa vijana ni kama sio watafutaji kwa sababu zipo tu ili mradi kutambiana.
Unawasikia wanakwambia jana Beach kidumbwi nimetumia milioni lisaa limoja.
kushaulika ni wabishi maana tuliokuwa kapuku utamwambia nini.
Yani hapa nimeachiwa jukumu la kumuangalia kijana .mpaka sasa naogopa maana pesa anazotaka nimpe na vitu anavofanya kwa kweli !.
nitashindwa itabidi ni waachie wazazi wake nisije kuonekana tatizo na lawama ambazo wameshindwa wazazi japo ndio haya
Familia za kitajiri kimalezi zinatupa tabu kwa sisi ambao watu baki mambo yanayo fanyika.
umri ukifikia wa kijana unatesa sana wazazi mpaka unajiuliza nini tatizo.
Yani mtoto anataka vyuo vikubwa tena ghalama kubwa mno.
Tuje labda kujiajili mambo ya mitaji.yani hataki kuona umeanzia wapi mpaka kuwa tajiri ila yeye anataka kufanya vitu vikubwa kumzidi yeye bila kujua changamoto.
Matumizi ya hawa vijana ni kama sio watafutaji kwa sababu zipo tu ili mradi kutambiana.
Unawasikia wanakwambia jana Beach kidumbwi nimetumia milioni lisaa limoja.
kushaulika ni wabishi maana tuliokuwa kapuku utamwambia nini.
Yani hapa nimeachiwa jukumu la kumuangalia kijana .mpaka sasa naogopa maana pesa anazotaka nimpe na vitu anavofanya kwa kweli !.
nitashindwa itabidi ni waachie wazazi wake nisije kuonekana tatizo na lawama ambazo wameshindwa wazazi japo ndio haya