VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Siku hizi imekuwa ni kawaida kuwalaumu wazazi / mlezi pindi mtoto anapokosa maadili, tukiangalia vizuri hata kama mzazi atakuwa anajua kulea kiasi gani mazingira yanachangia sana kumuharibu mtoto (we dont live in a vaccuum kwahiyo kama hata wako hajaoza wa jirani anaweza changia wako akaoza)
"We must learn to live together as brothers or perish together as fools. Martin Luther "
Probably Babu na Baba Zetu ndio walikuwa walezi bora..., We are failing our Kids who will fail theirs, and I dont want to even think two generations from now.... Na hili sio la kwamba fulani kasema.... even though I dont have kids right now, lakini mimi wewe na yule we are all responsible for this.... I CHALLENGE ANYONE TO TELL ME OTHERWISE...
- Zamani mtoto alikuwa sio wa fulani, ni wa jamii nzima kwahiyo popote anapokosa mtu yoyote alikuwa anamuadhibu (sasa people dont care)
- Watu wazima wamekosa maadili sio role models (ufisadi mwanzo mwisho hakuna heshima)
- Hivi serikali imeshindwa kuwachukua hao watoto wa mitaani wote na kuwaweka centre yenye ulinzi mkali ili wasitoroke na kuwapa elimu.... (this is a time bomb hivi hawa watoto ambao hawana elimu) wakija kuwa wakubwa watafanya nini.., hivi hatuoni au upeo wetu ni mfupi....? if you ask me hili ni janga kubwa its a time bomb
"We must learn to live together as brothers or perish together as fools. Martin Luther "
Probably Babu na Baba Zetu ndio walikuwa walezi bora..., We are failing our Kids who will fail theirs, and I dont want to even think two generations from now.... Na hili sio la kwamba fulani kasema.... even though I dont have kids right now, lakini mimi wewe na yule we are all responsible for this.... I CHALLENGE ANYONE TO TELL ME OTHERWISE...