No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,664
- 7,728
Muda sio rafiki wa binadamu hata siku moja Mwenyeezimungu alituumba sisi tuishi kwa wema bila kutendeana maovu,tuheshimiane ili kuweza kutekeleza malengo yetu ya kuumbwa hapa Duniani. Kuanzia mwaka ujao hawa watu nitakua nao mbali sana kwa njia yeyote:
1.Wanawake wasiojitambua_ Hawa watu wamefanikiwa kunirudisha sana miaka 5 iliyopita naamini ningekuwa nao mbali ningekuwa zaidi ya hapa nilipo.
2.Ombaomba_Sasa hivi kuna lindi la watu katika jamii yetu hawataki kufanya kazi,wao ni kupiga mizinga kwa kwenda mbele.
3.Marafiki wanafiki_Yes hili nimelianza muda sana,najua kabisa jinsi unavyoongeza marafiki ndivyo unavyoongeza maaadui mimi nimeanza kuwachuja!
SIKU ZILIZOBAKI KUMALIZA MWAKA NI CHINI YA HAMSINI HATA INGEKUWA PESA HAITOSHI HATA KUNUNUA ANDAZI...TUSHARE PAMOJA MAWAZO,JE WEWE UNA MALENGO GANI? J.PILI NJEMA TUSOGEE IBADANI MUDA HUU.
1.Wanawake wasiojitambua_ Hawa watu wamefanikiwa kunirudisha sana miaka 5 iliyopita naamini ningekuwa nao mbali ningekuwa zaidi ya hapa nilipo.
2.Ombaomba_Sasa hivi kuna lindi la watu katika jamii yetu hawataki kufanya kazi,wao ni kupiga mizinga kwa kwenda mbele.
3.Marafiki wanafiki_Yes hili nimelianza muda sana,najua kabisa jinsi unavyoongeza marafiki ndivyo unavyoongeza maaadui mimi nimeanza kuwachuja!
SIKU ZILIZOBAKI KUMALIZA MWAKA NI CHINI YA HAMSINI HATA INGEKUWA PESA HAITOSHI HATA KUNUNUA ANDAZI...TUSHARE PAMOJA MAWAZO,JE WEWE UNA MALENGO GANI? J.PILI NJEMA TUSOGEE IBADANI MUDA HUU.