Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,626
CIC Malema mwanasiasa mwenye misimamo mikali ameleta hali ya wasiwasi huku SA, hii ni baada ya kuwaambia wanachama na mashabiki wake kujiandaa kuuvamia mji unaokaliwa na Wakulima weupe uitwao SENEKAL. Malema kwa kujiamini amesema ni lazima atakeleze hilo na hamna namna nyingine. Vuguvugu la kuivamia Senekal linakuja baada ya mfanyakazi mweusi kuuliwa na boss wake ambae ni mkulima mweupe. Msikilize hapa chini