Kafara
JF-Expert Member
- Feb 17, 2007
- 1,396
- 411
kama mbunge wa muda mrefu na kiongozi wa serikali bungeni kwa kipindi cha miaka miwili el anajua fika kwamba alistahili kujitetea kwanza bungeni. kama bunge lingempiga mkwara hapo ndipo naamini angeweza kukimbilia kwa wananchi au vyombo vya sheria na kusema yale alozuiwa kusema bungeni.