Wapi huko ulikosoma kwamba Malecela alikimbia ukumbi? Wengine hatujaona hayo maandishi mahali popote.
Malecela katumikia CCM na serikali miaka mingi sana, inabidi kumpa heshima yake kwa hilo.
Muda wote kuna watu kung'atuka au kuachia madaraka, sioni kama hilo ni tatizo.
Malecela katumikia CCM na serikali miaka mingi sana, inabidi kumpa heshima yake kwa hilo.
Muda wote kuna watu kung'atuka au kuachia madaraka, sioni kama hilo ni tatizo.