Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,882
Majuzi tulusoma kwenye vyombo vya habari kwamba Mzee Jumanne ilibidi akimbie ukumbi baada ya Msekwa kuwa nominated kuwa mgombea pekee wa nafasi yake. Hadi leo sijajua kwa nini Mzee alikimbia ukumbi ule wakati jana alisifiwa baada ya kukatwa mtama kwamba ni mvumilivu wa vishindo kama Kawawa.
Lakini siku za nyuma niliwahi kuuliza Mzee John Jumanne Samwel Malecela atakumbukwa kwa lipi. Leo narudia kuuliza what will be his legacy ndani ya Chama na Serikali?
Mzee aliluwa mtemi na busara chache. Alikuwa na maneno machafu lakini alitumiwa kugombea majimbo na kuzima migogoro ndani ya CCM. Mzee yeye CCM kama JK ilikuwa ya kwanza Tanzania na Watanzania baadaye. Ndiyo maana aliwahi kutamka maneno ya dharau dhidi ya Watanzania sawa na Msuya kwamba "Go to hell".
Msuya alisha sahaulika na hata kuingia katika migogoro ya kidini huko kwao. Malecela kapewa kifuta jasho kuwa mjumbe hadi kufa ila sijajua na Ubunge sasa ataachia kwa kuwa kazeeka ama ataendeleza kulifanya mali yake.
Baada ya haya yangu naomba kusikia toka kwako. Ni nini itakuwa Legacy ya Mzee huyu aliyeshindwa kusoma alama za Nyakati sawa na Msekwa ilivyo tokea?
Lakini siku za nyuma niliwahi kuuliza Mzee John Jumanne Samwel Malecela atakumbukwa kwa lipi. Leo narudia kuuliza what will be his legacy ndani ya Chama na Serikali?
Mzee aliluwa mtemi na busara chache. Alikuwa na maneno machafu lakini alitumiwa kugombea majimbo na kuzima migogoro ndani ya CCM. Mzee yeye CCM kama JK ilikuwa ya kwanza Tanzania na Watanzania baadaye. Ndiyo maana aliwahi kutamka maneno ya dharau dhidi ya Watanzania sawa na Msuya kwamba "Go to hell".
Msuya alisha sahaulika na hata kuingia katika migogoro ya kidini huko kwao. Malecela kapewa kifuta jasho kuwa mjumbe hadi kufa ila sijajua na Ubunge sasa ataachia kwa kuwa kazeeka ama ataendeleza kulifanya mali yake.
Baada ya haya yangu naomba kusikia toka kwako. Ni nini itakuwa Legacy ya Mzee huyu aliyeshindwa kusoma alama za Nyakati sawa na Msekwa ilivyo tokea?