Elections 2010 Malecela aangukia pua kwa mara nyingine...

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,950
711
Habari kutoka Dodoma zinadai kuwa aliyekuwa mbunge wa Mtera Mh. Malecela amepigwa chini wakati akiwa anategemea kurudishwa kwenye ugombea wa jimbo hilo. Habari vilevile zinadai kuwa Mzee Ruksa ndiye aliyegongelea msumari kwenye kipara cha mzee Malecela baada ya kuwashawishi wajumbe wa NEC wamtose J4 baada ya kuona upepo mbaya kwa SISIEMU.

My take: Viongozi wa SISIEMU wanajikosha kwa wananchi kuwa Slaa na Chadema si kitu, lakini in behind the scene wanakiri kuwa UPEPO si mzuri kabisa kwa SISIEMU. Hongera Mzee Ruksa kwa kutambua hilo, waache akina Makamba waendelee kuhubiri hizo ngonjera.
 
Mwinyi amtosa Malecela

• Awaambia wajumbe NEC mwacheni aende

na Mwandishi wetu, Dodoma

HARAKATI za baadhi ya wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliobwaga kwenye kura za maoni hivi karibuni za kurejeshwa katika kinyang'anyiro cha kuwania udiwani, ubunge na uwakilishi zimeota mbawa.

Miongoni mwa wanasiasa wakongwe waliokuwa wakitarajia busara za Halmashauri Kuu ni aliyekuwa mbunge wa Mtera, John Samwel Malecela, ambaye alibwagwa na mwanasiasa mchanga, Livingstone Lusinde.


Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, ndiye aliyeongoza jahazi lililomzamisha Malecela, ambapo aliwataka wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wasithubutu kurejesha jina la mkongwe huyo.


Habari kutoka ndani ya kikao hicho kilichoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete, zilisema kuwa suala la Malecela ambaye aliwasilisha malalamiko kupinga kushindwa kwake, liliwagawa wajumbe wa NEC, huku idadi kubwa wakitaka arejeshwe ulingoni.


Kwa mujibu wa chanzo kimoja cha habari cha Tanzania Daima Jumapili, kutoka ndani ya NEC, kilisema kuwa Mwinyi aliwaambia wajumbe wa mkutano huo kuwa hali ya upepo wa kisiasa si nzuri kwa CCM kama waatanza kuwarejesha wagombea walioshindwa kwenye kura za maoni.


"Suala la mzee Malecela lilitusumbua sana, lakini mzee Mwinyi alifanikiwa kuwashawishi wajumbe kwa kuwataka wamwache Malecela aende zake, kwani hali ya upepo wa kisiasa nchini si nzuri kwa CCM, hasa katika kipindi hiki kama tutawabadilisha wagombea waliochaguliwa na wananchi," alisema.


Kwa hatua hiyo, matumaini ya mzee Malecela kurejea bungeni kama alivyoahidi kwamba atamsaidia Samuel Sitta kurejea kwenye kiti cha uspika kupitia jimbo, yamefutika na sasa ana subiri huruma ya Rais Kikwete kupitia nafasi kumi za

uteuzi alizonazo kwa mujibu wa Katiba.

Mbali na hatua hiyo, NEC imeridhia mawaziri wote walioshindwa kwenye kura za maoni wasirejeshwe kwa mlango wa nyuma, licha ya kuwapo kwa baadhi ya shinikizo la kutaka warejeshwe kutokana na mchango wao walioutoa.


Duru za siasa kutoka ndani ya kikao hicho zilisema kuwa NEC haikutaka kuangalia malalamiko na mapingamizi yaliyowasilishwa katika baadhi ya majimbo ya mawaziri walioanguka, lakini wana haki ya kutafuta haki zao kwenye vyombo vya sheria.

Hata hivyo ndoto za aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka nchini (TFF), Fredrick Mwakalebela, kuwania ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini, zilitoweka baada ya NEC kwa kauli moja kuamua kulikata jina lake, kwa madai kuwa amefunguliwa kesi ya kutoa rushwa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU).

Nafasi hiyo ya Mwakalebela sasa itazibwa na mbunge aliyemaliza muda wake, Monica Mbega, ambaye alikuwa akikabana koo na katibu mkuu huyo wa zamani wa TFF.

Mgombea mwingine aliyeonja chungu ya NEC ni Hussein Bashe, aliyemshinda Mbunge wa Nzega, Lucas Selelii, ambapo NEC ilibariki uamuzi wa Kamati Kuu wa kutengua ushindi wake kutokana na utata wa uraia alionao kada huyo.

"Kwa kifupi katika maeneo mengi, NEC imerejesha majina yale yale ya washindi wa kura za maoni, lakini bado tuna mikoa kumi ambayo haijapitiwa na tunatarajia kurejea saa tatu usiku kumalizia mikoa mingine, wabunge wa viti maalumu na Baraza la Wawakilishi," alisema.


Mawaziri ambao walitemwa katika kinyang'anyiro hicho ni Diodarus Kamala (Ushirikiano wa Afrika Mashariki), Shamsha Mwangunga (Maliasili na Utalii) na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mwantum Mahiza.


Wengine ni Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Aisha Kigoda na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera.


Tanzania Daima Jumapili imedokezwa kuwa baadhi ya wagombea walioshindwa hivi sasa wana mpango wa kuhamia vyama vya upinzani lakini wanaogopa kushughulikiwa na chama chao, hasa kwa wale wanaotuhumiwa kwa kutoa rushwa.


Wagombea hao wana hofu kuwa iwapo watahama, CCM inaweza kuweka mkono wake kwa TAKUKURU ili kuwafikisha mahakamani kwa lengo la kuwakomoa.


Miongoni mwa wanaotajwa kujiunga na CHADEMA ni aliyekuwa Mbunge wa Maswa, John Shibuda, ambaye wiki iliyopita aliweka wazi kuwa kura za maoni za chama hicho zilitawaliwa na rushwa.


Shibuda aliweka wazi nia yake ya kuhama chama hicho iwapo malalamiko yake hayatafanyiwa kazi na vikao vya juu vya chama hicho vilivyoketi mjini Dodoma.
 
Kutoka NEC wagombea wa CCM ni hawa


ARUSHA

i. Arusha: Dr. Batilda BURIANI
ii. Arumeru East: Jeremiah SUMARI
iii. Arumeru West: Goodluck Ole MEDEYE
iv. Karatu: Dr. Wilbald LORRI
v. Longido: Michael LAIZER
vi. Monduli: Edward LOWASSA
vii. Ngorongoro: Saning’o Ole TELELE

IRINGA

i. Iringa Urban Monica MBEGA (Fredrick Mwakalebela - NJE)
ii. Isimani: William LUKUVI
iii. Kalenga: William MGIMWA
iv. Kilolo: Prof. Peter MSOLLA
v. Ludewa: Deo FILIKUNJOMBE
vi. Makete: Dr. Binilith MAHENGE
vii. Mufindi North: Mohamed MGIMWA
viii. Mufindi South: Menrad KIGOLA
ix. Njombe North: Deo SANGA (Jah People)
x. Njombe South: Anne MAKINDA
xi. Njombe West: Gerson LWENGE

KAGERA

i. Nkenge: Assumpter MSHAMA
ii. Bukoba Urban: Khamis KAGASHEKI

iii. Bukoba Rural: Jasson RWEIKIZA
iv. Muleba North: Charles MWIJAGE
v. Muleba South: Anna TIBAIJUKA
vi. Chato: John MAGUFULI
vii. Kyerwa: Eustace KATAGIRA
viii. Karagwe: Gosbert BLANDES
ix. Biharamulo: Oscar MUKASA
x. Ngara: Deogratias NTUKAMAZINA

KIGOMA

i. Kigoma Urban: Peter SERUKAMBA
ii. Kigoma South: Gulam KIFU
iii. Kasulu Urban: Neka NEKA
iv. Kasulu Rural: Daniel NSANZUGWANKO
v. Manyovu: Albert NTABALIBA
vi. Buyungu: Christopher CHIZA
vii. Muhambwe: Jamal TAMIMU
viii. Kigoma North: Rabinson LEMBO

KILIMANJARO

i. Moshi Urban: Justin SALAKANA
ii. Moshi Rural: Dr. Cyril CHAMI
iii. Rombo: Basil MRAMBA
iv. Same East: Anne MALECELA
v. Same West: David DAVID
vi. Hai: Fuya KIMBITA
vii. Vunjo: Chrispin MEELA
viii. Mwanga: Prof. Jumanne MAGHEMBE
ix. Siha: Aggrey MWANRI

MANYARA

i. Babati Urban: Kisyeri CHAMBIRI
ii. Babati Rural: Jitu SONI
iii. Hanang: Dr. Mary NAGU
iv. Kiteto: Benedict Ole NANGORO
v. Mbulu: Philip MARMO
vi. Simanjiro: Christopher Ole SENDEKA

MARA

i. Musoma Urban: Vedasto MATHAYO Manyinyi
ii. Musoma Rural: Nimrod MKONO
iii. Mwibara: Alphaxard LUGOLA
iv. Bunda: Stephene WASSIRA
v. Rorya: Lameck AIRO
vi. Tarime: Nyambari NYANGWINE
vii. Serengeti: Dr. Stephene KEBWE

MBEYA

i. Mbeya Urban: Benson MPESYA
ii. Mbeya Rural: Luckson MWANJALA
iii. Kyela: Dr. Harrison MWAKYEMBE
iv. Mbarali: Dickson KILUFI
v. Lupa: Victor MWAMBALASWA
vi. Songwe: Philipo MULUGO
vii. Rungwe East: Prof. Mark MWANDOSYA
viii. Rungwe West Prof. David MWAKYUSA
ix. Ileje: Aliko KIBONA
x. Mbozi Mashariki: Godfrey ZAMBI
xi. Mbozi West: Dr. Luka SIAME

MOROGORO

i. Morogoro Urban: Aziz ABOOD
ii. Morogoro South East: Dr. Lucy NKYA
iii. Morogoro South: Innocent KALOGERIS
iv. Mvomero: Amos MAKALA
v. Ulanga East: Celina KOMBANI
vi. Ulanga West: Haji MPONDA
vii. Gairo: Ahmed SHABIBY
viii. Kilosa: Mustafa MKULO
ix. Mikumi: Abdulsalaam SULEIMAN
x. Kilombero: Abdul MTEKETA

MTWARA

i. Mtwara Urban: Murji MOHAMED
ii. Mtwara Rural: Hawa GHASIA
iii. Masasi: Mariam KASEMBE
iv. Lulindi: Jerome BWANAUSI
v. Tandahimba: Juma NJWAYO
vi. Newala: George MKUCHIKA
vii. Nanyumbu: Dunstan MKAPA

MWANZA

i. Ilemela: Anthony DIALLO
ii. Nyamagana: Laurence MASHA
iii. Busega: Dr. Kamani MLENGENYA
iv. Magu: Dr. Festus Limba
v. Kwimba: Sharif MANSOOR
vi. Sumve: Richard NDASA
vii. Geita: Donald MAX
viii. Nyang’wale: Hussein AMAR
ix. Sengerema: William NGELEJA
x. Buchosa: Charles TIZEBA
xi. Misungwi: Charles KITWANGA
xii. Ukerewe: Getrude MONGELA.

RUVUMA

i. Songea Urban: Emmanuel NCHIMBI
ii. Peramiho: Jenister MHAGAMA
iii. Namtumbo: Vita KAWAWA
iv. Tunduru South: Mtutura MTUTURA
v. Tunduru North: Ramo MAKANI
vi. Mbinga West: Capt. John KOMBA
vii. Mbinga East: Gaudence KAYOMBO

TABORA

i. Tabora Urban: Ismail RAGE
ii. Tabora North: Sumar MAMLO
iii. Urambo East: Samuel SITTA
iv. Urambo West: Prof. Juma KAPUYA
v. Igunga: Rostam AZIZ
vi. Sikonge: Said NKUMBA
vii. Igalula: Athuman MFUTAKAMBA
viii. Bukene: Seleman ZEDI
ix. Nzega: Hamis KIGWANGALA (Hussein Bashe - NJE)

Matokeo ya Mikoa mingine bado.
 
List of the endorsed candidates

08_10_2jaqvc.jpg
The list of the names of parliamentary aspirants endorsed by the CCM National Executive Committee:

ARUSHA

i. Arusha: Dr. Batilda BURIANI
ii. Arumeru East: Jeremiah SUMARI
iii. Arumeru West: Goodluck Ole MEDEYE
iv. Karatu: Dr. Wilbald LORRI
v. Longido: Michael LAIZER
vi. Monduli: Edward LOWASSA
vii. Ngorongoro: Saning’o Ole TELELE

IRINGA

i. Iringa Urban Monica MBEGA
ii. Isimani: William LUKUVI
iii. Kalenga: William MGIMWA
iv. Kilolo: Prof. Peter MSOLLA
v. Ludewa: Deo FILIKUNJOMBE
vi. Makete: Dr. Binilith MAHENGE
vii. Mufindi North: Mohamed MGIMWA
viii. Mufindi South: Menrad KIGOLA
ix. Njombe North: Deo SANGA (Jah People)
x. Njombe South: Anne MAKINDA
xi. Njombe West: Gerson LWENGE

KAGERA

i. Nkenge: Assumpter MSHAMA
ii. Bukoba Urban: Khamis KAGASHEKI

iii. Bukoba Rural: Jasson RWEIKIZA
iv. Muleba North: Charles MWIJAGE
v. Muleba South: Anna TIBAIJUKA
vi. Chato: John MAGUFULI
vii. Kyerwa: Eustace KATAGIRA
viii. Karagwe: Gosbert BLANDES
ix. Biharamulo: Oscar MUKASA
x. Ngara: Deogratias NTUKAMAZINA

KIGOMA

i. Kigoma Urban: Peter SERUKAMBA
ii. Kigoma South: Gulam KIFU
iii. Kasulu Urban: Neka NEKA
iv. Kasulu Rural: Daniel NSANZUGWANKO
v. Manyovu: Albert NTABALIBA
vi. Buyungu: Christopher CHIZA
vii. Muhambwe: Jamal TAMIMU
viii. Kigoma North: Rabinson LEMBO

KILIMANJARO

i. Moshi Urban: Justin SALAKANA
ii. Moshi Rural: Dr. Cyril CHAMI
iii. Rombo: Basil MRAMBA
iv. Same East: Anne MALECELA
v. Same West: David DAVID
vi. Hai: Fuya KIMBITA
vii. Vunjo: Chrispin MEELA
viii. Mwanga: Prof. Jumanne MAGHEMBE
ix. Siha: Aggrey MWANRI

MANYARA

i. Babati Urban: Kisyeri CHAMBIRI
ii. Babati Rural: Jitu SONI
iii. Hanang: Dr. Mary NAGU
iv. Kiteto: Benedict Ole NANGORO
v. Mbulu: Philip MARMO
vi. Simanjiro: Christopher Ole SENDEKA

MARA

i. Musoma Urban: Vedasto MATHAYO Manyinyi
ii. Musoma Rural: Nimrod MKONO
iii. Mwibara: Alphaxard LUGOLA
iv. Bunda: Stephene WASSIRA
v. Rorya: Lameck AIRO
vi. Tarime: Nyambari NYANGWINE
vii. Serengeti: Dr. Stephene KEBWE

MBEYA

i. Mbeya Urban: Benson MPESYA
ii. Mbeya Rural: Luckson MWANJALA
iii. Kyela: Dr. Harrison MWAKYEMBE
iv. Mbarali: Dickson KILUFI
v. Lupa: Victor MWAMBALASWA
vi. Songwe: Philipo MULUGO
vii. Rungwe East: Prof. Mark MWANDOSYA
viii. Rungwe West Prof. David MWAKYUSA
ix. Ileje: Aliko KIBONA
x. Mbozi Mashariki: Godfrey ZAMBI
xi. Mbozi West: Dr. Luka SIAME

MOROGORO

i. Morogoro Urban: Aziz ABOOD
ii. Morogoro South East: Dr. Lucy NKYA
iii. Morogoro South: Innocent KALOGERIS
iv. Mvomero: Amos MAKALA
v. Ulanga East: Celina KOMBANI
vi. Ulanga West: Haji MPONDA
vii. Gairo: Ahmed SHABIBY
viii. Kilosa: Mustafa MKULO
ix. Mikumi: Abdulsalaam SULEIMAN
x. Kilombero: Abdul MTEKETA

MTWARA

i. Mtwara Urban: Murji MOHAMED
ii. Mtwara Rural: Hawa GHASIA
iii. Masasi: Mariam KASEMBE
iv. Lulindi: Jerome BWANAUSI
v. Tandahimba: Juma NJWAYO
vi. Newala: George MKUCHIKA
vii. Nanyumbu: Dunstan MKAPA

MWANZA

i. Ilemela: Anthony DIALLO
ii. Nyamagana: Laurence MASHA
iii. Busega: Dr. Kamani MLENGENYA
iv. Magu: Dr. Festus Limba
v. Kwimba: Sharif MANSOOR
vi. Sumve: Richard NDASA
vii. Geita: Donald MAX
viii. Nyang’wale: Hussein AMAR
ix. Sengerema: William NGELEJA
x. Buchosa: Charles TIZEBA
xi. Misungwi: Charles KITWANGA
xii. Ukerewe: Getrude MONGELA.

RUVUMA

i. Songea Urban: Emmanuel NCHIMBI
ii. Peramiho: Jenister MHAGAMA
iii. Namtumbo: Vita KAWAWA
iv. Tunduru South: Mtutura MTUTURA
v. Tunduru North: Ramo MAKANI
vi. Mbinga West: Capt. John KOMBA
vii. Mbinga East: Gaudence KAYOMBO

TABORA

i. Tabora Urban: Ismail RAGE
ii. Tabora North: Sumar MAMLO
iii. Urambo East: Samuel SITTA
iv. Urambo West: Prof. Juma KAPUYA
v. Igunga: Rostam AZIZ
vi. Sikonge: Said NKUMBA
vii. Igalula: Athuman MFUTAKAMBA
viii. Bukene: Seleman ZEDI
ix. Nzega: Hamis KIGWANGALA
 
Big UP Mhandisi Ramo Makani wherever you are....you are one of the most effective people i have ever met...
 
CCM ni muflisi kisiasa;Mramba na Chenge hawakustahili hata kugombea;hawa wana kashfa za wazi kabisa na ni doa lingine kwa wana CCM hilo,anyway nakupongeza Dr Kigwangala kwa kupata nafasi hiyo Nzega ingawaje umeipata kwa kutumia demokasia-tata!

Ndugu yangu Sikonge nahisi hapo ulipo ni maumivu tu,Said Nkumba karudi tena eheheheheheh!
 
CC/NEC wametengua ushindi wa Fredrick Mwakalebela aliyekuwa mshindi wa kura za Maoni Iringa Mjini,Ni wazi kuwa Ushindi wa Waziri Margreth Sitta (Viti maalumu Jumuiya ya wanawake - Tabora),Fadhili Ngajilo (UVCCM - Iringa) na Easter Mambali (UVCCM - Tanga) utatenguliwa kwa sababu wote wameshitakiwa na Takukuru kwa madai ya kukiuka sheria ya Gharama za Uchaguzi.
 
CCM ni muflisi kisiasa;Mramba na Chenge hawakustahili hata kugombea;hawa wana kashfa za wazi kabisa na ni doa lingine kwa wana CCM hilo,anyway nakupongeza Dr Kigwangala kwa kupata nafasi hiyo Nzega ingawaje umeipata kwa kutumia demokasia-tata!

Ndugu yangu Sikonge nahisi hapo ulipo ni maumivu tu,Said Nkumba karudi tena eheheheheheh!

Hiki chama cha mafisadi ama kweli hakina mwelekeo, itakuaje umuengue Mwakalebele kwa shutuma za kutoa rushwa na hata bado hajafikishwa mahakamani halafu in the same breath ukawapitisha [Mramba na Chenge] watu waliofikishwa mahakamani kwa shutuma za rushwa babu kubwa[ MEGA_ CORRUPTION]!! Double standard ya namna hii haijawahi kutokea.Hii lack of consistency itakiyumbisha sana hiki chama.
 
TABORA

i. Tabora Urban: Ismail RAGE
ii. Tabora North: Sumar MAMLO
iii. Urambo East: Samuel SITTA
iv. Urambo West: Prof. Juma KAPUYA
v. Igunga: Rostam AZIZ
vi. Sikonge: Said NKUMBA
vii. Igalula: Athuman MFUTAKAMBA
viii. Bukene: Seleman ZEDI
ix. Nzega: Hamis KIGWANGALA

Huyu si alikuja hapa kusema amegaragazwa? Wapi Selelii waliyesema alikuwa #2?
 
Huyu si alikuja hapa kusema amegaragazwa? Wapi Selelii waliyesema alikuwa #2?


Mazee kama wabunge wenyewe ndio type hizi tunazoziona hapa (CHADEMA Regia Mtema, CCM Hamis Kigwangala ) basi tumekwisha.

Hamna CHADEMA wala CCM, kwa mtaji huu wote waganga njaa tu.
 
Mazee kama wabunge wenyewe ndio type hizi tunazoziona hapa (CHADEMA Regia Mtema, CCM Hamis Kigwangala ) basi tumekwisha.
Hamna CHADEMA wala CCM, kwa mtaji huu wote waganga njaa tu.

Of course mimi nafanya u-bandwagon tu hapa, as i know 4 sure nothing serious or good can come out of politix. Unahitaji architecture kudesign jumba kama la Sydney Oprah House, unahitaji mwandishi mjuvi kutunga vitabu vyenye uoni kama akina Jules Verne, unahitaji mhandisi kujenga barabara zilizoiviriga kama nyoka wanaofanya mating, and the list goes on..sasa swali la kujiuliza mwasiasa anawezaje kuwa bosi wa hawa wote while s/he knows NOTHING??

Jibu ni rahisi tu, huezi kuvuna madafu kwa kupanda chelewa.
 
Hiki chama cha mafisadi ama kweli hakina mwelekeo, itakuaje umuengue Mwakalebele kwa shutuma za kutoa rushwa na hata bado hajafikishwa mahakamani halafu in the same breath ukawapitisha [Mramba na Chenge] watu waliofikishwa mahakamani kwa shutuma za rushwa babu kubwa[ MEGA_ CORRUPTION]!! Double standard ya namna hii haijawahi kutokea.Hii lack of consistency itakiyumbisha sana hiki chama.

Sahihisho kwa Bulesi;

Mheshimiwa Andrew Chenge HAJAWAHI kufikishwa mahakamani kwa kosa lolote linalohusiana na rushwa;kesi yake iliyopo kwenye mahakama moja ya Jijini Dar inahusiana kuendesha gari vibaya na hivyo kusababisha vifo,anashtakiwa pia kwa kosa la kuendesha gari bila kuwa na BIMA!

Ni kawaida kwa binadamu kusahahu!
 
Sahihisho kwa Bulesi;

Mheshimiwa Andrew Chenge HAJAWAHI kufikishwa mahakamani kwa kosa lolote linalohusiana na rushwa;kesi yake iliyopo kwenye mahakama moja ya Jijini Dar inahusiana kuendesha gari vibaya na hivyo kusababisha vifo,anashtakiwa pia kwa kosa la kuendesha gari bila kuwa na BIMA!

Ni kawaida kwa binadamu kusahahu!

Malafyale Heshima Mkuu
Ni kweli Mr Chenge hajaenda mahakamani bado, lakini anatuhuma na amekili ana pesa kwenye kisiwa cha jersey (Billions) ambazo anaziita Visenti na ambazo kwa Mashahara wake na marupurupu hata akefanya serving nzuri hasingeweza kuzifikisha hizo fedha, swali linakuja amezipata wapi hizo pesa? mojamoja kwa moja hiyo ilikuwa ni "disco"
Chenge anaungana na hawa Mramba, Rage ambaye alishafungwa kwa wizi za fedha za by then FAT, R Azizi, E Lowasa,
 
Acha mafisadi waangushane wao kwa wao! Sisi ni watazamaji tu, na mwisho wa siku tutabaki tunadunda kwa ushindi wetu wa kulikomboa taifa kutoka katika kunyonywa kwa muda mrefu. Nawasihi waliojiandikisha kupiga kura wajitokeze kwa wingi siku ya Oktoba 31 ili kutimiza haki yao ya msingi.
 
Wagombea hao wana hofu kuwa iwapo watahama, CCM inaweza kuweka mkono wake kwa TAKUKURU ili kuwafikisha mahakamani kwa lengo la kuwakomoa.

Penye red: Nilikuwa naamini tangu mwanzo kwamba TAKUKURU hufanya kazi yake kutokana na maelekezo na msukumo kutoka viongozi wa CCM.
 
CCM ni muflisi kisiasa;Mramba na Chenge hawakustahili hata kugombea;hawa wana kashfa za wazi kabisa na ni doa lingine kwa wana CCM hilo,anyway nakupongeza Dr Kigwangala kwa kupata nafasi hiyo Nzega ingawaje umeipata kwa kutumia demokasia-tata!

Ndugu yangu Sikonge nahisi hapo ulipo ni maumivu tu,Said Nkumba karudi tena eheheheheheh!

Nauliza: Hivi Selelii alikamatwa kwa vitendo vya rushwa katika zoezi la kura ya maoni? Kama aliibuka No 2 kwa nini asipewe yeye badala ya Bashe? Mimi naona kwamba Seleli ni victim wa kwanza wa maamuzi ya CC/CCM-NEC kutokana na msimamo wake madhubuti wa kupinga ufisadi. Hii ndiyo CCM -- imejionyesha waziwazi kwamba haipendi viongozi wanaoutuhumu utawala kuhusu ufisadi.
 
Malafyale Heshima Mkuu
Ni kweli Mr Chenge hajaenda mahakamani bado, lakini anatuhuma na amekili ana pesa kwenye kisiwa cha jersey (Billions) ambazo anaziita Visenti na ambazo kwa Mashahara wake na marupurupu hata akefanya serving nzuri hasingeweza kuzifikisha hizo fedha, swali linakuja amezipata wapi hizo pesa? mojamoja kwa moja hiyo ilikuwa ni "disco"
Chenge anaungana na hawa Mramba, Rage ambaye alishafungwa kwa wizi za fedha za by then FAT, R Azizi, E Lowasa,

Huyu Rage hivi imekuwaje? alishafungwa huyu sio? Sasa imepigwa pasi ya kisigino au imekueje?
 
Nauliza: Hivi Selelii alikamatwa kwa vitendo vya rushwa katika zoezi la kura ya maoni? Kama aliibuka No 2 kwa nini asipewe yeye badala ya Bashe? Mimi naona kwamba Seleli ni victim wa kwanza wa maamuzi ya CC/CCM-NEC kutokana na msimamo wake madhubuti wa kupinga ufisadi. Hii ndiyo CCM -- imejionyesha waziwazi kwamba haipendi viongozi wanaoutuhumu utawala kuhusu ufisadi.

Ni kwa ajili ya kujenga tu umoja ndani ya chama, na kisiasa wameifanya homwework yao vizuri sana,wamempa furaha Mpiganaji Seleli na wafuasi wake kwa kumuondoa mbaya wake aliyemsumbua kwa muda mrefu na kumwangusha katika kura za maoni lakini pia wamempooza Bashe na wafuasi wake kwa kutomteua adui yake.

Mwisho wa siku wote watafarijika na kumpigia kampeni Dr Hamisi Kigwangala.
 
Ila hii ya Dr HAMIS NAONA MBELEKO YA WAZI KABISA!! Kweli NEC kuna maamuzi ya Ajabu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom