Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Habari kutoka Dodoma zinadai kuwa aliyekuwa mbunge wa Mtera Mh. Malecela amepigwa chini wakati akiwa anategemea kurudishwa kwenye ugombea wa jimbo hilo. Habari vilevile zinadai kuwa Mzee Ruksa ndiye aliyegongelea msumari kwenye kipara cha mzee Malecela baada ya kuwashawishi wajumbe wa NEC wamtose J4 baada ya kuona upepo mbaya kwa SISIEMU.
My take: Viongozi wa SISIEMU wanajikosha kwa wananchi kuwa Slaa na Chadema si kitu, lakini in behind the scene wanakiri kuwa UPEPO si mzuri kabisa kwa SISIEMU. Hongera Mzee Ruksa kwa kutambua hilo, waache akina Makamba waendelee kuhubiri hizo ngonjera.
My take: Viongozi wa SISIEMU wanajikosha kwa wananchi kuwa Slaa na Chadema si kitu, lakini in behind the scene wanakiri kuwa UPEPO si mzuri kabisa kwa SISIEMU. Hongera Mzee Ruksa kwa kutambua hilo, waache akina Makamba waendelee kuhubiri hizo ngonjera.