Malaysian firm picked to produce Tanzania National IDs

Mkuu sina uhakika na nimetolea mfano wa watoto tu kuonyesha lakini nadhani kuna sababu au kuna phase. Ukweli kwa mfano wangu wa watoto tu haiwezi kubwa sababu pekee.

Sawa mkuu. Huu mradi sijui!!! Manake kuna siku Mh. Masha alishasema mchakato wa suala la vitambulisho ulianza kabla mama yake hajazaliwa lakini leo tunapata contractor wa kuvitengeneza. Isije ikawa ni kichefuchefu kingine tena!!
 
Sijui watoto wanakuwa na umri gani na wanaweza kuwa karibia nusu ya Wa TZ wote kweli. Hawa NIDA wamepata wapi hizo data hadi waingie mkataba wa ID 25 million au ndio mambo ya data warehousing and data mining!!!

There are allegations that IRIS is not capable of producing eight million passports in a year and have not issued a minimum of 25 million passports in other countries. Could that be the reason why they agreed to issue only 25 million ID cards?

:The Daily Star: Internet Edition
 
Kaka ni ukweli usiopingika kwamba serikali inakuwa na miradi miiingi imbayo iko fragmented. Nimeifurahia hii elimu yako kwa huyo jamaa ambaye alionyesha kejeli na mbwembwe nyiiingi ila nadhani amekuelewa kama anataka kuelewa. Ila nawe umeconclude vibaya kwa kumwambia uelewa wake mdogo. Hii ingejionyesha tu kwenye post yako haina haja ya kuisema. Keep up

Serekali kuwa na Miradi mingi Fragmented sio kitu cha kushangaa, ndio maana hata nchi zilizoendelea zinakuwa na Project kubwa za Intergration, huwezi kuanza kuintergrate bila kuwa bila sababu maalum, hizo project zote fragmanted kama unavyodai zinakuwa Independent projects interms of Funding and Scope, Kampuni yeyote ndogo inaanza na small projects wanapoaanza kukuwa ndio Scope zinaanza kuwa Intergrated then ndio Intergration Projects zinaanza

Project kubwa kama hiii Ndio itakayosaidia Intergration process na Naamini wataalamu walioko kwenye huu mradi walishafanya mchachato wa kutosha kuhusu hilo, Project kama hizi zinakuwa na Intergration architect na Intergration Developers kumbukeni ni miaka kama minne watu walikuwa wanafanya uchambuzi, I believe hakuta kuwa na redundancy mahali wanapoweza kupull Information watafanya hivyo na mahali pa kupush information watafanya na Intergration Architect hiyo ndio kazi yake kubwa kumake sure that Interface is viable
 
huwa natamani sometimes kukimbia hii nji ila sasa ntakimbilia wapi na tz ndo home
hitimisho: nakomaa humuhumu hata kama kunawaka moto!!
 
With so much personal information stored on the card, IRIS itself have acknowledged inherent privacy risks: "[h]aving the smart card will probably increase theft . . . because the attraction is there. There is a lot of personal information stored [on the card], including buying patterns which would attract (card cloning) syndicates," according to IRIS analyst Jafizwaty Ishahak. It is widely known that anyone with a card reader can access all information contained in the card. Almost 2.1 million cases of lost or stolen Malaysian MyKad cards have been reported since the program's inception.
 
Just a comparative analysis with Kenya
..............................

"It is mandatory that all Kenyans aged 18 and above be issued with National Identity Cards. Once you attain 18 years, you must present yourself within 90 days before a registration officer and apply for an identification card. If you are late, you might be asked to present a court affidavit to prove who you are and why you are late.

Once you have registered, you will be issued with Application for Registration Certificate form Reg. 103 which you will surrender in exchange for a new identity card. This process takes 60 days. You can track online the status of your ID or through SafariCom SMS number 2031 by sending the 9 digit serial number on the form 103.

Kenya National Identity Card is the main and legal identification document recognized in Kenya. You must provide it to open a bank account, register a business, for employment, acquire a driving license, and transact mobile phone banking and many other uses that require proof of identity."

-----------------------------
 
Unajua hata hao wanaoleta maneno sasa wanajua kwamba hakuna hata kampuni moja ya kitazania yenye uwezo huo. Wanachokasirikia ni kukosa uwakala (udalali) ambao unsababisha kupanda kwa bei na wao kujipatia cha juu kwa mfano ule wa mikataba ya ununuzi wa rada na ndege ya rais. Baada ya kuikosa kandarasi hiyo ya uwakala ndo sasa hasira zimegeukia kwa kampuni hii ya Malaysia na kunyooshea vidole kwa JK na Membe. Utoto mtupu!
#

Sasa mkuu unaona hiyo bei ya $6 kwa card ipo sawa ?
Sio unajisemea tuu kitu usichkijua kwa taarifa yako kampuni kibao waliomba hiyo tenda sema kuna mikono ya watu
 
That part of NIDA giving $9 million to Gotham International sounds fishy! We give NIDA a job to do and they simply hire someone else to do it, at our cost!

Kuna upuuzi hapa. Kwanini NIDA wapo kama sio wenyewe wanasimamia? Mie nadhani tumelizwa tena na mafisadi.


Watetezi wa Mafisadi hawalikubali hili.
 
The civil liberties angle, the senseless totalitarianism nature of our existing power structure, coupled with the low level of integrity in the ranks of our misleaders raises my concerns to an even higher level.

This whole deal raises more questions than it answers, is more expensive than it's actual worth and it is almost certainly a vogue for gullible and corrupt governments.

One has to just look at who is embracing it ( Kenya ) and who is rejecting it (The U.K ) and the reasons for doing so.

You see the patterns, you read between the lines, you find the debauchery, you contrast that with the poverty, you see the lack of prioritization.

The bitter truth is that these oligarchs will do what they want, despite the highfallutin' pitter patter here.

More needs to be done to register dissatisfaction.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Sawa mkuu. Huu mradi sijui!!! Manake kuna siku Mh. Masha alishasema mchakato wa suala la vitambulisho ulianza kabla mama yake hajazaliwa lakini leo tunapata contractor wa kuvitengeneza. Isije ikawa ni kichefuchefu kingine tena!!

Usituletee hadithi za mjinga huyo hapa. Kashindwa kuwawakilisha vijana badala yake akapeleka taswira mbali kwa wananchi kuwa vijana ndivyo tulivyo. Hivi unakubaliana na maneno yake kama waziri wa mambo ya ndani kuwa mradi huu ulipoanza hata mama yake alikuwa hajazaliwa? Hayo ndio maneno waliyokuwa wanayataka watanzanzia?
 
huwa natamani sometimes kukimbia hii nji ila sasa ntakimbilia wapi na tz ndo home
hitimisho: nakomaa humuhumu hata kama kunawaka moto!!

Bado hujasema kitu. Ukizaliwa unatakiwa kuchagua kuishi kama mwanaume au mwanamke. Baada ya hapo unatakiwa kutumikia maamuzi yako.
 
The civil liberties angle, the senseless totalitarianism nature of our existing power structure, coupled with the low level of integrity in the ranks of our misleaders raises my concerns to an even higher level.

This whole deal raises more questions than it answers, is more expensive than it's actual worth and it is almost certainly a vogue for gullible and corrupt governments.

One has to just look at who is embracing it ( Kenya ) and who is rejecting it (The U.K ) and the reasons for doing so.

You see the patterns, you read between the lines, you find the debauchery, you contrast that with the poverty, you see the lack of prioritization.

The bitter truth is that these oligarchs will do what they want, despite the highfallutin' pitter patter here.

More needs to be done to register dissatisfaction.

UK was rejecting it because they did not want to be exposed, Poor British! But now they have no choice than to go for smart card national identity cards technology. The Americans are following the same.
 
Just a comparative analysis with Kenya
..............................

"It is mandatory that all Kenyans aged 18 and above be issued with National Identity Cards. Once you attain 18 years, you must present yourself within 90 days before a registration officer and apply for an identification card. If you are late, you might be asked to present a court affidavit to prove who you are and why you are late.

Once you have registered, you will be issued with Application for Registration Certificate form Reg. 103 which you will surrender in exchange for a new identity card. This process takes 60 days. You can track online the status of your ID or through SafariCom SMS number 2031 by sending the 9 digit serial number on the form 103.

Kenya National Identity Card is the main and legal identification document recognized in Kenya. You must provide it to open a bank account, register a business, for employment, acquire a driving license, and transact mobile phone banking and many other uses that require proof of identity."

-----------------------------
This is Kenyan national identity cards process, what is it to do with Tanzanian one? Lets talk about our national identity cards please.
 
Imefika wakati tujifunze kupembua jambo jema na baya na sio kupinga kila kitu ilihali lina manufaa kwa wananchi na mchakato wake hauna dalili au chembe chembe ya u RACHEL.
tecnnology itakayotumika ipo advanced na itasaidia kupunguza gharama pindi tutakapo taka hamia kwenye mfumo kisasa zaidi.leo hii watu watasema ni gharama ila in the long run ndio utakao tufaa kwa miaka mingi ijayo.
na ijulikane kwamba gharama za vitambulisho hazipigwi kwa kadi moja sh kadhaa ila lazima mjue kuwa kuna gharama nyingine za uendeshaji kuelekea kufanikisha kupatikana kwa kadi hizo.
its very lame to argue hivyo.
 
Watetezi wa Mafisadi hawalikubali hili.

Tanzania haijawahi kutekeleza mradi wa Vitambulisho vya Taifa. Hii ni mara yake ya kwanza. Haina watu wenye uzoefu wa kufanya kazi hii. Ilihitaji kampuni kwa ajili ya kuandaa mchanganuo wa mradi utakaotoa mwelekeo wa utekelezaji. Kazi hii haiwezi kufanywa na Serikali. Iliamua kumteua Gotham International Ltd kufanya kazi hii baada ya kuwashinda Chuo Kikuu cha Dar es salaam na National Bereua of Statistics. Kwa kawaida Project Management Consultant hulipwa kati ya aslimia 10 na 12. Piga hesabu zako na uone kama hizo $. 9 zinafikia asilimia hiyo. Usikurupuke kusema tu, fanya utafiti kwanza.
 
Imefika wakati tujifunze kupembua jambo jema na baya na sio kupinga kila kitu ilihali lina manufaa kwa wananchi na mchakato wake hauna dalili au chembe chembe ya u RACHEL.
tecnnology itakayotumika ipo advanced na itasaidia kupunguza gharama pindi tutakapo taka hamia kwenye mfumo kisasa zaidi.leo hii watu watasema ni gharama ila in the long run ndio utakao tufaa kwa miaka mingi ijayo.
na ijulikane kwamba gharama za vitambulisho hazipigwi kwa kadi moja sh kadhaa ila lazima mjue kuwa kuna gharama nyingine za uendeshaji kuelekea kufanikisha kupatikana kwa kadi hizo.
its very lame to argue hivyo.

Hata huyo anayesema technology hii ni gharama inabidi atuambie gharama yake ikoje? Hapa kuna watu wanadanganyana sana, na wanataka kuupotosha umma. Ni vizuri zaidi akasema ukubwa wa gharama zake akilinganisha na upi.
 
Project kubwa kama hiii Ndio itakayosaidia Intergration process na Naamini wataalamu walioko kwenye huu mradi walishafanya mchachato wa kutosha kuhusu hilo, Project kama hizi zinakuwa na Intergration architect na Intergration Developers kumbukeni ni miaka kama minne watu walikuwa wanafanya uchambuzi, I believe hakuta kuwa na redundancy mahali wanapoweza kupull Information watafanya hivyo na mahali pa kupush information watafanya na Intergration Architect hiyo ndio kazi yake kubwa kumake sure that Interface is viable


  • Kwa nn isingekuwa project ya uboresha wa daftri la mpiga kura la NEC ambalo tayari wana database na wana baadhi ya taarifa. ipanuliwe iweze kuinvovle National ID project? kama ni smart card basi ingepunguza gharama ya kiasi fulani ya kukusanya data zile zile walizonazo upya.
  • Kwa nini tuanaze moja wakati tuna kianzio. Hivi bejeti yetu inaruhsu sisi kujidai hivi
  • Au kwa nini National ID iswe buit on alredy Passprt project. Hivi natianl Id itakusanya data gani za ajabu amabazo haziko kwenye miradi ya Passport na daftar la mpiga kura.
Hayo unasema kuintregrate baaade sio rahisi sababu ni kitu hawakukifikiria toka mwanzo. Na itakuwa ni mradi mwingine tena expensive zaidi

Simple kwangu badala ya kuwa na kitambulisho cha mpiga kura na national ID kama project mbili tofauti ingeuwa vizuri ziwe chini ya mwamvuli mmoja.
 
Tuwe Makini na comments zinazoonyesha upunguani.., Hivi niyajieni kampuni ya kitanzania inayoweza kutoa Smartcard? Pamoja na system yote kutumia biometric data capture system? labda Mimi sijui . why go with old and cheap technology wakati we can get the best and improve our nation to the best?
 
Usituletee hadithi za mjinga huyo hapa. Kashindwa kuwawakilisha vijana badala yake akapeleka taswira mbali kwa wananchi kuwa vijana ndivyo tulivyo. Hivi unakubaliana na maneno yake kama waziri wa mambo ya ndani kuwa mradi huu ulipoanza hata mama yake alikuwa hajazaliwa? Hayo ndio maneno waliyokuwa wanayataka watanzanzia?

Dah Passport matumizi yake ni kusafiria tu .........................:rofl:
 
With so much personal information stored on the card, IRIS itself have acknowledged inherent privacy risks: "[h]aving the smart card will probably increase theft . . . because the attraction is there. There is a lot of personal information stored [on the card], including buying patterns which would attract (card cloning) syndicates," according to IRIS analyst Jafizwaty Ishahak. It is widely known that anyone with a card reader can access all information contained in the card. Almost 2.1 million cases of lost or stolen Malaysian MyKad cards have been reported since the program’s inception.

What you are trying to write here is a cut and paste from website. Unfortunately you have not yet cut and paste the truth behind MyCard. Can you do that before I do? This is just for your credibility sake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom