Malaysian firm picked to produce Tanzania National IDs

Ni kampuni gani inaweza kutengeneza IDs za teknolojia ya smart card Tz? tusilaumu bila kujua ukweli wa jambo. Zabuni si ilitangazwa, mbona wawekezaji wa ndani waliingia mitini?

Unajua hata hao wanaoleta maneno sasa wanajua kwamba hakuna hata kampuni moja ya kitazania yenye uwezo huo. Wanachokasirikia ni kukosa uwakala (udalali) ambao unsababisha kupanda kwa bei na wao kujipatia cha juu kwa mfano ule wa mikataba ya ununuzi wa rada na ndege ya rais. Baada ya kuikosa kandarasi hiyo ya uwakala ndo sasa hasira zimegeukia kwa kampuni hii ya Malaysia na kunyooshea vidole kwa JK na Membe. Utoto mtupu!
 
Inamaana zile pesa alizopewa na Gadafi zimekwisha kabla ya 2015?

topic hii hapa:

https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/1669-tanzania-national-identities-6.html


habari mnaweza kuona ililetwa mwaka gani

Huo ni uongo wa hali ya Juu Bwana Rama Mwikalo amesaidia sana tena kutumia muda wake mwenyewe kutokana na Taaluma yake kuusaidia Mradi ufike ulipofika sasa na hiyo Kampuni ya Gotham imeweka wataalam wa hali ya Juu , wao ndio waliosaidia kusifanyike usanniii wa kuleta Technolojia ya Zamani, can you imagine kama wasingewatumia Gotham na Rama sasa hivi tungekuwa tunaweka technologia ya Bar Code, Gotham wamefanya kazi kubwa sana kama sio wao ingekua another Richmond

Hongera Gotham for once Tanzania tutakua na Mradi usio na Makucha ya Mafisadi
 
Kutengeneza ID moja ni about $6mil jamani? Kweli hii figure ni sahihi? Hata ukiweka overhead costs, kweli ID moja ina-cost $6mil?
 
Yani hii ID moja inakufanya uwe millionare! ID ni ghali zaidi ya gari la aina yeyote!
Hapa tumepigwa bao! TENA LA KISIGINO....
 
Kutengeneza ID moja ni about $6mil jamani? Kweli hii figure ni sahihi? Hata ukiweka overhead costs, kweli ID moja ina-cost $6mil?

Chapakazi,

Umefanya hesabu vibaya..

$ 149,000,000
----------------
$ 25,000,000

Ambayo ni $5.96 tukiestimate ni kama $ 6.00 Kwa kila kadi. Tukibadili kwenda Tshs kwa rate ya 1,500 ni Tshs 9,000 kwa kila kadi moja.
 
Chapakazi,

Umefanya hesabu vibaya..

$ 149,000,000
----------------
$ 25,000,000

Ambayo ni $5.96 tukiestimate ni kama $ 6.00 Kwa kila kadi. Tukibadili kwenda Tshs kwa rate ya 1,500 ni Tshs 9,000 kwa kila kadi moja.

thanks. Error noted!! Duh...nilikuwa nianzishe fujo huku! Lakini hii cost bado ipo around reasonable prices?
 
kwa nini wanatengeneza 25mil tu na wakati estimated pop ni around 42mil?


Kwenye nchi za wenzetu hizi National IDs wanapewa hata watoto waliozaliwa siku chache tu, sasa sijui ni kwanini imeamuliwa vitambulisho 25 millioni badala ya 40 + millioni ya idadi ya Watanzania. Sijui hii namba ya 25 millioni wameikokotoa toka wapi.
 
hivi hizi card ni za nini? ndio zinaanza au zilikuwepo tokea mwanzo bado sijaelewa ,ni kwa kila mtanzania au inakuaje
 
That part of NIDA giving $9 million to Gotham International sounds fishy! We give NIDA a job to do and they simply hire someone else to do it, at our cost!

Kuna upuuzi hapa. Kwanini NIDA wapo kama sio wenyewe wanasimamia? Mie nadhani tumelizwa tena na mafisadi.

Ukimfahamu Gotham ni nani wala hautajuliza haya maswali
 
Natoa comment zangu kama mtaalamu wa IT niliyebobea na sio kama mwana siasa au mwanaharakati.note that is very important.
First: tuna wataalamu wazawa waliojiriwa na NIDA for the sake ya kulearn from the project implementation so the can take over and produce the rest of ID after mkataba wa hawa wamalesia kuisha.i.e knowledge transfer
Second: sio ID kama ID tu ndio final sollution kuna issue za Databases (kiswahili mnaita daftari la kutunza kumbukumbu za raia) interfaces na system zingine pamoja na issue za infrastructures zipo taken care of.

To me naona kama price ni sawa kabisa (i.e win win situation)
 
Natoa comment zangu kama mtaalamu wa IT niliyebobea na sio kama mwana siasa au mwanaharakati.note that is very important.
First: tuna wataalamu wazawa waliojiriwa na NIDA for the sake ya kulearn from the project implementation so they can take over and produce the rest of ID after mkataba wa hawa wamalesia kuisha.i.e knowledge transfer
Second: sio ID kama ID tu ndio final sollution kuna issue za Databases (kiswahili mnaita daftari la kutunza kumbukumbu za raia) interfaces na system zingine pamoja na issue za infrastructures zipo taken care of.

To me naona kama price ni sawa kabisa (i.e win win situation)
 
Kwenye nchi za wenzetu hizi National IDs wanapewa hata watoto waliozaliwa siku chache tu, sasa sijui ni kwanini imeamuliwa vitambulisho 25 millioni badala ya 40 + millioni ya idadi ya Watanzania. Sijui hii namba ya 25 millioni wameikokotoa toka wapi.

Ila mnajua kudanganya watu, teh teh teh.

Nchi karibu zote duniani hazitoi National Identity Card kwa watoto chini ya miaka 18. Mtoto passport anapata lakini ID hapati mpaka awe mtu mzima.

Naweza kuwa siko sahihi, ili tukuamini ktk hilo tutajie nchi 3 tu zinazotoa ID kwa watoto.
 
ni nchi ya kitu kidooogoo
ni nchi ya watu wadoogooo
ukitaka chai wewe kaka nunua tatepa

ukitaka pesa wee kaka
fanya serikaliiini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom