Malaya

Mtoboasiri hivi unaishi dar au mji gani? Saa ya ukombozi ni sasa.....kinamama have declared freedom ......if you can buy they can as well buy.....

Niambie huo mtaa sasa hivi niende (ukichukulia WEWE huyo umenitilia fitna ili Kongosho aniteme). nataka NIKAUZE kibamia changu sasa hivi! Na nilivyo chacha!

Btw: Kungekuwa kuwa na opportunity ya wanaume kujiuza WEWE si ungeshajiuza zamani ili ukwepe kulipa deni la Bayport???
 
Niambie huo mtaa sasa hivi niende (ukichukulia WEWE huyo umenitilia fitna ili Kongosho aniteme). nataka NIKAUZE kibamia changu sasa hivi! Na nilivyo chacha!

Btw: Kungekuwa kuwa na opportunity ya wanaume kujiuza WEWE si ungeshajiuza zamani ili ukwepe kulipa deni la Bayport???
Hahahahaha kumbe kelele zote unamtaka Kongosho? Mtoboasiri hivi una ubavu wa kumfikisha Kongosho, sio unawinda tembo kwa manati....
 
Last edited by a moderator:
Imebidi nicheke sana. Labda niulize, huyo anayeitwa malaya anafanya huo umalaya na nani na miti? Kama anafanya na mtu kwanini mmoja aitwe malaya na mwingine sio! Anayeuza na kununua mwili wote malaya. Labda tukiliongelea kwa definition sawa lakini ki vitendo wote wapo kwenye kapu moja.
 
Hivi hujui Bishanga kaniuzia? Tena kwa bei chee sana

Niambie huo mtaa sasa hivi niende (ukichukulia WEWE huyo umenitilia fitna ili Kongosho aniteme). nataka NIKAUZE kibamia changu sasa hivi! Na nilivyo chacha!

Btw: Kungekuwa kuwa na opportunity ya wanaume kujiuza WEWE si ungeshajiuza zamani ili ukwepe kulipa deni la Bayport???
 
Last edited by a moderator:
Haina maana kuwa kwa kuwa watu wakioana basi wote wataitwa waume au wake, vivyo hivyo mwanamke anayeuza mwili wake ni kahaba na yule anayetembea na wanaume wengi kimapenzi pasipo kujiuza ni malaya na kwa wanaume wanaotembea na wanawake wengi kimapenzi wao huitwa fuska.
 
Ni umalaya na nani Malaya? Malaya ni msichana au mwanamke ambaye anafanya mapenzi na mtu asiyekua si mumemwe wa hahalali. kuna namna tatau za umalaya nazo 1. Malaya wa kwanza ni yule ambaye hutafuta pesa kwa kila njia ya kwa kuuza mwili wake, ikiwa kwenye geto, baa au njiani ( bara barani). 2. Aina ya Malaya mwengine yule anayekaa au naishi na mtu si mumewe wanaishi kama mtu na mume. ama wa 3. Malaya huyu hana mtu maalamu wala hana haja ya pesa yeye akijiwa na hamu ya kutaka kufanya mapenzi atakayempata yeyote atakaye mridhisha siku ile ni sawa kwake.:heh:
wewe uko kundi gani kati ya hayo?
 
hii si maana halisi ya MALAYA. mala ya ni mwanamke au mwanaume na ni tabia ya mtu, maana ya malaya ni kuwa
na mpenzi zaidi ya m moja au kubadilisha wapezi ovyo
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom