Malaya wa Tabata wana bei kubwa

nusuhela

JF-Expert Member
Jan 26, 2014
5,733
6,970
Ijumaa niliamua nikaunguze wallet maeneo ya The great pale barakuda. Bahati mbaya siku hiyo sikua na kampani hivyo nikajipanga kupata mlimbwende mmoja ambaye nitamlisha, nitamnywesha na nitaenda kumpa utamu.

Baada ya kufika sehemu tajwa hapo juu, nikakutana na jamaa mmoja ambaye tulisoma o level pamoja. Hivyo nikawa nimepata kampani ya kula gambe maana walikua wapo kama watatu hivi wote wana.

Gambe lilipokolea si ndo nikaamua kujitafutia malaya mmoja nikafanye naye mambo japo kwa usiku mmoja.

Nilipomgusa wa kwanza bei aliyonitajia, nikadhani labda sio muuzaji. Nikaamua kuachana naye maana palikua na wavaa nusu uchi wengi.

Nikamfuata wa pili, bwana wee, bei ni zile zile. Yaani kuanzia saa nane mpaka saa kumi mtu anakuambia umpe 70000. Nikaamua nimfuate wa tatu, bei ni ile ile.

Nikaona nihame bar. Nikaenda 40 40. Kugusa bado bei ni ile ile. Hapo ni saa tisa bado nahangaika na malaya.

Nilipoona bei imenishinda, nikaamua kusepa kwenda kulala na 30000 niliyokua nimepanga kumpa malaya nikaamka na supu na chenji ikabaki ya kutosha.

Hakika tabata balaaaaaa kwa bei za malaya
 
Tabu zote za nini unakaa mpaka mbu wanakuuma.
Siku nyingine azima mpira(gari) weka mafuta mida ya weekend utembelee mitaa ya Tabata mida ya mchana.

Wakikuona unatembea ukiwa umekaa kisha unapata mziki taratibu utawaokota nakuhakikishia wengine utawakimbia.

Jioni unavuta simu wanakuja wenyewe.

Uchawi wa mzungu mwanamke haruki.
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom