Malawi's Banda courts Tanzania President on disputed lake

Du kwa hapa ww ndio umelikoroga sijui kwa nini huyo Mama unamuogopa kwa MRISHO J.K. atapiga magoti tu
Mbaya zaidi wamalawi wanatoa maoni ya kuwatukana watanzania kama vile wataifa, nawalaumu sana Lowassa, Sitta na membe kwa kutoa maneno ya kejeli yaliyowa-provoke zaidi wamalawi.

 
Du kwa hapa ww ndio umelikoroga sijui kwa nini huyo Mama unamuogopa kwa MRISHO J.K. atapiga magoti tu
Mbaya zaidi wamalawi wanatoa maoni ya kuwatukana watanzania kama vile wataifa, nawalaumu sana Lowassa, Sitta na membe kwa kutoa maneno ya kejeli yaliyowa-provoke zaidi wamalawi.


mmmh! hii picha huyu mwanamke ni nani?
 
Aibu sana kama Jk akishindwa kwa point na maelezo ya huyo mama.

Kuna political commentator wa Malawi rafiki yangu FB siku moja status update yake ilisema kwamba anamlaumu kuna mwanasheria inasemekana alimpa Joyce Banda ushauri wa kuweka wazi suala la utafiti wa mafuta ziwa Nyasa. Alimwambia kwamba wana haki kwakuwa ziwa ni lao

Rafiki yangu huyo Mmalawi alisema Bingu wa Mutharika alikuwa akiendesha mkakati huo kwa siri kwakuwa alishapata baraka za KIKWETE na ingekuwa vizuri kama wangeendelea kwa mtindo huo.

My take: Inawezekana ikawa ukweli au uongo ila tukumbuke kwamba kuna mbunge aliyeuibua mjadala huu bungeni kule Dodoma Huyo mbunge asingechokonoa haya tungeyajulia wapi? Vyombo vya usalama vilikuwa wapi?

Kwa mtindo wa huyu mama kukutana na JK tuwe makini
 
JK atangaze vita tu tugeuze Malawi jalala la kutupia mabomu chakavu yanayolipuka hovyo Gongo la mboto na Mbagala, kuda dadeki zao.
 
Rekebisha heading mana haijazingatia grammar mkuu. Hilo neno 'courts' linaharibu maana nzima uliyokusudia.
 
Sitta, Lowasa, Membe Big Up!.... Utafiti kama unaendelea ni lazima tusogee mpakani!... Shusha chini ndege moja, watakubali kurudi mezani!...Tukichelewa hawa jamaa wataanza hata kuua Wakisi, wapangwa, wanyakyusa, n.k. wanaotumia ziwa hilo!....
 
Kuna political commentator wa Malawi rafiki yangu FB siku moja status update yake ilisema kwamba anamlaumu kuna mwanasheria inasemekana alimpa Joyce Banda ushauri wa kuweka wazi suala la utafiti wa mafuta ziwa Nyasa. Alimwambia kwamba wana haki kwakuwa ziwa ni lao

Rafiki yangu huyo Mmalawi alisema Bingu wa Mutharika alikuwa akiendesha mkakati huo kwa siri kwakuwa alishapata baraka za KIKWETE na ingekuwa vizuri kama wangeendelea kwa mtindo huo.

My take: Inawezekana ikawa ukweli au uongo ila tukumbuke kwamba kuna mbunge aliyeuibua mjadala huu bungeni kule Dodoma Huyo mbunge asingechokonoa haya tungeyajulia wapi? Vyombo vya usalama vilikuwa wapi?

Kwa mtindo wa huyu mama kukutana na JK tuwe makini

Kama viongozi wetu wamediriki kuruhusu mikataba ya madini kwa bei ya kutupwa ije kuwa hili ziwa???? ardhi yetu wanauza kama njugu wametafuta loopholes za mpaka huu na kugundua watavyosepa.Nina wasiwasi kuwa huenda kuna baraka watu wetu wamkula mkwanja laaiiiiiiioni hafafu tusipoamka mapema watu wako karibu kutoka Magogoni waendelee kula migawo safi toka malawi.Tuchukue hatua zaidi
 
Kwanini hizo ndege zinazoendelea kuendesha utafiti katika half ya ziwa ya Tanzania ZISIDUNGULIWE kuonesha kwamba tuko serious!

Hii ndiyo inanifanya niwakumbuke MAGENERALI WETU akina Black Mamba, Mti Mkavu, Mhogo Mchungu etc. Hii JWTZ ya akina SHIMBO ni bure kabisa, kazi kufanya biashara za ufisadi.
 
mimi ninawashangaa sana viongozi wa malawi;Hivi ni kwa nini waendelee kufanya utafiti wakati majadiliano hayaisha?ni kwa nini viongozi wa malawi waseme hakuna eneo la ziwa litachukuliwa na Tz na wakati huo wanasema tutatue mgogoro kwa majadiliano?This is really contradiction!!sasa kama hutakubaliana na maamuzi(in case kama ni kugawana) unakaa kujadili nini?
Kwa lugha nyingine ni kuwa wamalawi hawahitaji majadiliano.Hivyo nakubaliana na onyo zilizotolewa na viongozi wetu(sitta,membe na lowasa)

Na wewe mleta mada sikubaliana na maoni,hata hivyo nimeshindwa kukuelewa una tetea nini.......

Nipo pamoja na wewe sijamuelewa mtoa mada lengo lake hasa lipi!!
 
Malawi knows that they have to give us our share of the lake regardless of the 19th c document they claim is their source of the claim. Practically no other country in the World which share a border with another country has exclusive rights over the large water body between them. It is just not practical.

If this thing goes to UN, or any international court Tanzania will get their share as international community's opinion is very much against claims of colonial origins. It is just a shame that one poor African country is fond of claiming resources based on senseless and baseless colonial documents.
 
tusimwangalie huyu mama,somebody behind her,hawezi olewa tanzania kashaolewa tayari na wazungu.pambav kabisa.
tena nina walinzi wamalawi kwangu ntawafukuza waende kwo.
 
dah afadhali.....mama lazima atulizwe atapoa na na kuwa bardiii, chezea hendisamu wa msoga ww.....
JAMANI TUKUMBUKE HUYU MAMA KAINGIA MKATABA NA UINGEREZA KUCHIMBA MAFUTA, kuwanyima wasiendelee maana yake sio wao wanapata hasara ni uingereza, hivyo wameamua kuendelea kwa kuwa uingereza imewaaagiza
 
JAMANI TUKUMBUKE HUYU MAMA KAINGIA MKATABA NA UINGEREZA KUCHIMBA MAFUTA, kuwanyima wasiendelee maana yake sio wao wanapata hasara ni uingereza, hivyo wameamua kuendelea kwa kuwa uingereza imewaaagiza

tutayafanya hayo mafuta na hiyo gas kua the most exepensive in the World... halafu guone kama wataendelea na hiyo biashara hawa wamalawi na maboss wao waingereza waliowapa hivyo vichwa
 
Du kwa hapa ww ndio umelikoroga sijui kwa nini huyo Mama unamuogopa kwa MRISHO J.K. atapiga magoti tu
Mbaya zaidi wamalawi wanatoa maoni ya kuwatukana watanzania kama vile wataifa, nawalaumu sana Lowassa, Sitta na membe kwa kutoa maneno ya kejeli yaliyowa-provoke zaidi wamalawi.

Mkuu unafikiri maneno ya Sitta,Membe na Lowassa ni maneno matupu?

You are dead wrong.
Waulize walio karibu na "eneo la tukio " ndo utajua Tanzania inavyooperate.
Nduli alitukamata off guard, not this time!
 
Back
Top Bottom