Undugu wetu na Malawi ni mkubwa mno hata kuliko undugu wetu na Zanzibari. Zanzibar-Pemba wao wako karibu kiundugu na wakenya. No war between brothers and sisters of same clan
Kwa Cartoon hiyo inamaana RAIS WA TZ ANAONEKANA KAMA MWOGA FLANI EEH?
Unalimalizaje kwa amani kama kila upande unashikilia msimamo wake? Labda kama unasema Tanzania ipo tayari kuwaachia ziwa lote wamalawi kama wanavyotaka!Let us not make the same mistake our former leader made, let us finish this dispute peacefully. And finish it now, rather than let it drag for future generations.
Kwa Cartoon hiyo inamaana RAIS WA TZ ANAONEKANA KAMA MWOGA FLANI EEH?
Bonge la Meseji aise kweli picha moja ni zadi ya maneno 1,000,000,000.00