Subiri tuanze kuuza gas 2016 ndo watajua kuwa sisi ni nani! If we react now things might turn bad as long as the chemistry Malawians have in mind is not known yet. Let us analyse the elements making this compound, possibly Americans and the UK are their.wale hawana kitu cha maana sema tu watz hatutaki vita ila wale inafaa mnawapiga kwao kama USA afanyavyo
Subiri tuanze kuuza gas 2016 ndo watajua kuwa sisi ni nani! If we react now things might turn bad as long as the chemistry Malawians have in mind is not known yet. Let us analyse the elements making this compound, possibly Americans and the UK are there.wale hawana kitu cha maana sema tu watz hatutaki vita ila wale inafaa mnawapiga kwao kama USA afanyavyo
Mbona kama Mkono wa JK unakoelekea sipo....na jamaa kaandika ..I can prophesise ...
Hiyo suti ni ya YANGA au ya CCM? Maana kote yupo
halafu kule nyuma ya JK kichakani kuna wanajeshi,halafu JK mwenyewe kama kashika bastola,ndo mana mmama haamini,halafu angalia kuna helikopta kwa chini yake wameandika "smile",ina maana jamaa mpaka wanafaham smile ya JK?