Malawi vows to continue oil-gas exploration, dismissing demand by Tanzania which claims half

Hawa Waingereza wanaweza kutusababishia vita wanachojali wao ni pesa tu wameishaanza kuwapa pesa Wamalawi watashindwa kuwapa silaha.
 
nipeni bunduki yangu,,,niwahi,,,,tatizo watu wanawaza posho za vikao vya usuluhishi,,,,hawaangalii madhara ya kuuacha mgogoro huu ukue,,,,,,wamalawi wanatakiwa wajue hii ni nchi ina dola,,,,msilete siasa katika mambo nyeti yanayotishia ustawi wa taifa,,,maamuzi magumu,,,,piga malawi,,,sababu tunazo,,,tumekosa nia nda hatuna uwezo,,,,toba,,,
 
Tuwachape haraka sana, watawalamba mpaka wake zetu tukijifanya wastaraabu sana
 
Naamini ni sababu za kisiasa tu. Mwanzoni kabisa wakati ameanza kupewa majukumu ya uwaziri, nakumbuka alikuwa akitambulishwa kwa title hiyo. Kwa sasa naona anapendelea zaidi "Dr" - shame!

hapana mkuu ...huyu bwana alifanya kitu cha ajabu sana wakati akiwa monduli hadi akaondoka kwa njia za panya huko na hataki kabisa kuzungumzia tena maisha yake ya jeshini...
 
Hii vita inanukia, na ni vita kubwa kuliko mnavyodhania. Haitakuwa vita ya mmalawi na mtanzania, itakuwa vita ya Mwingereza na allies wake dhidi ya Mchina, JIANDAENI KULIA NA KUSAGA MENO!
 
Sasa huyo balozi wetu mbona hata sija wahi msikikia akitoa msimamo wa serikali yake???
Na kwa nini bunge letu lisilete
hoja nzito juu ya hili jambo maana linapokwenda ni kubaya ila sito shangaa Dhaifu akisema
...NI UPEPO TU....
 
Kipindi hiki ilitakiwa tuwe na kiongozi thabiti, migomo madaktari, walimu, mgogoro wa muungano, mfumuko wa bei, sasa mgogoro wa mpaka umepamba moto. Je ni kweli kuwa tumefika hapa kutokana na Udhaifu wa Rais, uzembe wa bunge na upuuzi wa ccm?
 
Ni upepo tu huuu utapita!!!!!!!!!!! aaah kwanza hili swala lipo mahakamani halipaswi kuongelewa....... I can see these answers in the minds of our leaders,in Fact when the top leadership is weak every organ of the government becomes weak too,JWTZ kwa sasa hivi haina uwezo wa kuingia front na nchi iliyojiandaa kwa vita for more than 20yrs cause akina Shimbo wapo busy na 3tr zao huko SA,Mwamunyange na wenzake wako busy kununua silaha feki kwa ajili ya 10% etc.We better resolve the dispute peacefully guys unafikiri hawa Wamalawi ni wajianga kuanza hizi chokochoko zao sasa hivi? Kwanini hawakulianzisha kipindi cha Ben achilia mbali kwa Mwl? Ni vyema tukajitambua ndugu zangu tusubiri hadi 2015 huu upepo utakapopita tukapata kiongozi shupavu (ndani au nje ya Magamba).
 
Hii vita inanukia, na ni vita kubwa kuliko mnavyodhania. Haitakuwa vita ya mmalawi na mtanzania, itakuwa vita ya Mwingereza na allies wake dhidi ya Mchina, JIANDAENI KULIA NA KUSAGA MENO!
Uko sahihi kabisa mkuu, tutakachokishuhudia hapa ni sisi wananchi hizi nchi mbili kuumia au kuathirika na hili saga huku nishati hiyo ya geni ikichukuliwa kiulaini kwa biashara za siraha. Ila sidhani kama china atakubali kujiingiza kwenye vita.
 
JK is very weak.... PIGA HAWA MALAWI FASTER TUMEWAACHIA MUDA WANAZIDI KUCLAIM ZIWA LOTE LAO SISI TUNANYAMAZA, ni kuwapiga it seems diplomatic talks failed & here we have to be CLEAR NO NEGOTIATIONS, mipaka ni katikati ya ziwa kama INTERNATIONAL WATER LAWS explain clearly boundary of States in water bodies ( half-way) period....

Unajua nilitembelea banda JWTZ katika maonyesho ya 7/7 mwaka huu. Nilichokikuta pale kinatia shaka juu ya uwezo wa askari wetu kukabiliana na adui kutokana vifaa duni walivyonavyo, najua hawawezi kudisplay kila kitu. lakini nilitegemea kuwepo na kitengo ambacho kinaelezea mambo ya kuboresha teknolojia ya ulizi hasa zile basic, sikuona hilo.

Kwa maneno mengine, inabidi ufikirie mara mbili kwenda kumshikisha adabu mmalawi.
 
quote_icon.png
By Lilian Masilago

Ina maana hiyo gas/oil ipo upande wa ziwa ambao ni wa Tanzania??? au wanataka ukorofi tu?

Waache wafanye utafiti wao na kuwakabidhi hao wazungu wachimbe. Kwa mfumo wa sasa wa "Globalization" madini, ardhi na mafuta yote yanatakiwa wakabidhiwe wageni wawekezaji (wakoloni wapya) ili wachimbe huku huku kwetu kwa kutumia wananchi vibarua na kusomba kila kitu kupeleka kwao bila kulipa kodi wala kutoa gawio lililo sawa. Najua Malawi hawataendelea hata kama kuna mafuta. Watachukua wenyewe kwa staili ile ile wanayochukua madini, ardhi na mafuta yetu.

Tukianza vita na Malawi itakuwa faida nyingine kwao. Watatuuzia silaha kote kote. Malawi na Tz. Vita itatupunguza kweli kwa idadi ya watu na kuharibiwa miundombinu na tutakuwa maskini zaidi. Watatoa "ofa" ya kuja kutusaidia kujenga uchumi wetu tena kote kote Malawi na Tz. Tutapaswa kulipa madeni ya vita (vile vya Kagera bado tunalipia) na madeni mapya yanayotokana na "ofa" mpya. Namshauri Membe kama hawataki kutuachia hata uchochoro wa kuvua samaki, waachiwe tu! Tz hatutaki kugombana na Banda huyu wakati Muluzi alikuwa rafiki! Vita hailipi!
 
I don't miss Lowassa or any other past leader. In fact they are the reason we are in stuck in the current economic quagmire. We need a complete paradigm shift in leadership and I don't see Lowassa fitting in the new leadership order.

You are not obliged to support or even to conceptualize in the same way.....thats why i said i.... and not we....
 
Air defence ya wamalawi inasimamiwa na wayahudi na mwaka huu january wamefunga military radar km kama 2 hv jirani na boda ya kalonga na walipitisha ndege za kivita maeneo ya Lituhi hadi Manda mwezi wa 2 tu hapo, wachunguzi wa mambo wanadai Malawi wamekuwa wanajiandaa kufanya vita na Tanzania kwa miaka zaidi ya 20 kwa kufanya yafuatayo

1. Wamemodernize jeshi lao hasa la anga kwa kuingia ubia na israel
2. Wamenunua tokea marekani boti za kivita 14 ambazo zinafanya patrol ziwa nyasa 24/7!
3. Wamefunga vituo vipya vya radar

Jamaa wanadai endapo Malawi watasonga kwa miguu basi entry position yao itakuwa mbeya hasa eneo la wilaya ya Ileje kutokana na hali ya milima ambayo inawapa unafuu wao.

Pia Malawi wameanza kudai kwa nguvu hilo ziwa sasa kukujua kuwa Tanzania inatatizo la viongozi wa ngazi za juu na pili Tz inataabika na matatizo yake ya ndani kama migomo, uchumi na miundombinu na siasa na mwisho ni migongano ya viongozi wakuu jeshini, polisi, tiss na serikalini

My Take:
Tanzania ya leo sio ya kuombea vita coz askari wetu, tiss na polis wapo kwa miaka mingi kuzuia vyama vya upinzani, kupiga wazenji, ma-dr na kupiga kwata pale taifa wamejisahau kufanya mambo yao ya msingi kwa muda mrefu msishangae jk akakimbilia uarabuni akatuacha wanyasa watunyoshe kama anakimbia migomo sembuse vita!

Ngoja nikamtoe bibi yangu Tukuyu

Really!!!
 
That the way things are Wamalawi wamejiandaa ndio maana wakafanya walichofanya UKIWA DHAIFU UTAONEWA TU tangu mdogo nilijifunza nchi hii haiwezi kupigana vita jeshi la majini hata kuopoa maiti hawakuwamo,waziri wa ulinzi kafumba ndomo, kamati ya bunge ya ulinzi imejaa mafisadi na siasa za chuki- Membe na Lowasa hawaelewani watalindaje nchi?

JK nimemuona akila futari mahali,jana sijui kama ali hutubia mi nilikuwa anangalia Olimpic sikuona mtanzania kabisa ,TISS ndo hiyo yakina Jack Nzoka mpaka Malawi wanaingia mikataba wao walikuwa busy wanamvizia Ulimboka..............................ziwa limekenda na mafuta na gesi wazizi nchi hii imekuwa dhaifu kama mkate kila mtu anamega kipande chake.............Spika atasemaje jambo hili liko kwenye meza ya mazungumzo hatuwezi kuliongea mjengoni ............hapa napo watu watakula wataenda kufungua kesi huko majuu watu wachote....mabilioni..

just wait and see.
 
Vijamaa vimetukashifu sana,yaani na ufukara wao wa kupitiliza vinathubutu kututukana namna hii?


kuna mdau amewapa makavu live ujumbe wake huu hapa chini


78
thomas Says: August 1st, 2012 at 7:23 am



nyie wamalawi acheni usenge..mpka unapit katikati ya ziwa..hilo ziwa kuitwa nyasa sio kigezo cha nyie kusema ziwa lote ni lenu. mwaka 1967 mulianzisha chochoko kama hizi na tulimuonyesha adabu rais wenu banda na meli zenu tulipindua.
sasa kama vipi tupigane tuone ..washenzi ninyi..kwanza nchi yenu haina chakula cha kutosha tutawafundisha adabu.wehu wakubwa ninyi mpaka wa hilo ziwa unapita katikati…kenge ninyi..pumbavu kabisa.
joyce banda tutamfundisha adabu..

Like Thumb up 1
 
Alisemaaaa, alisema.
Alisema Nyerere alisema,
Vijana wangu wote mmelegea,
Sharti tuanze mchakamchaka.......
 
Back
Top Bottom