Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,636
- 22,240
Baada ya mahakama ya katiba kufuta ushindi wa rais wa Malawi uliotawaliwa na bwana Tip ex kuzibadili kura za wananchi Bunge la Malawi limepanga uchaguzi wa marudio use May 19 2020, hongera Malawi kwa kuonesha heshima kwa kura za wananchi.