Malawi refers lake border dispute with Tanzania to UN

Unaona ni rahisi kama mnavomsumbua Lema basi na hao ndio mtaweza!
Jaribuni watazamaji tupo
Namsumbua Lema mimi na nani ? Halafu hapa tunaongelea maslahi ya nchi ,usiniletee upuuzi wa chadema na ccm hapa
 
huyo raisi wa sasa wa Malawi hajielewi amtafute Joyce banda amwelezee kilichomkuta baada ya kuendekeza huo ugomvi hana hamu na Tanzania alilia kama mtoto baada ya Tanzania kufanya vitu vyake alitolewa ikulu kama kibaka Huyu raisi wa sasa wa Malawi alikuwa Tanzania inaelekea haijui Tanzania vizuri ajiandae kuondoka kwa machozi makubwa kuliko Joyce banda.Kama haielewi Tanzania amtafute Joyce Banda amuulize eti watanzania kuna lolote walikufanyizia? Huyu raisi wa sasa maruhuni mkubwa haelewi kuwa mikakati tote ya yeye kuwa raisi ilipangwa Tanzania ili kumpiga chini Mwehu Joyce banda .Anatutafuta watanzania atatukoma maruhuni mkubwa
Teh japo nasapoti unachosema ila Watanzania kwa mdomo tu ,yaani hadi Mmarekani na Mrusi wanaweza wakatuogopa ..
 
huyo raisi wa sasa wa Malawi hajielewi amtafute Joyce banda amwelezee kilichomkuta baada ya kuendekeza huo ugomvi hana hamu na Tanzania alilia kama mtoto baada ya Tanzania kufanya vitu vyake alitolewa ikulu kama kibaka Huyu raisi wa sasa wa Malawi alikuwa Tanzania inaelekea haijui Tanzania vizuri ajiandae kuondoka kwa machozi makubwa kuliko Joyce banda.Kama haielewi Tanzania amtafute Joyce Banda amuulize eti watanzania kuna lolote walikufanyizia? Huyu raisi wa sasa maruhuni mkubwa haelewi kuwa mikakati tote ya yeye kuwa raisi ilipangwa Tanzania ili kumpiga chini Mwehu Joyce banda .Anatutafuta watanzania atatukoma maruhuni mkubwa
Tiss wabaya sana,Banda alikosa kura hadi alipozaliwa!
 
Malawi hajanza Leo ukibaraka. Wenzake walikuwa wanajipanga kumtwanga Kaburu SA yeye anakula njama na kaburu kuhujumu wenzake (Waafrika).
Stupid them... hapa Tanzania kwanza
 
huyo raisi wa sasa wa Malawi hajielewi amtafute Joyce banda amwelezee kilichomkuta baada ya kuendekeza huo ugomvi hana hamu na Tanzania alilia kama mtoto baada ya Tanzania kufanya vitu vyake alitolewa ikulu kama kibaka Huyu raisi wa sasa wa Malawi alikuwa Tanzania inaelekea haijui Tanzania vizuri ajiandae kuondoka kwa machozi makubwa kuliko Joyce banda.Kama haielewi Tanzania amtafute Joyce Banda amuulize eti watanzania kuna lolote walikufanyizia? Huyu raisi wa sasa maruhuni mkubwa haelewi kuwa mikakati tote ya yeye kuwa raisi ilipangwa Tanzania ili kumpiga chini Mwehu Joyce banda .Anatutafuta watanzania atatukoma maruhuni mkubwa
Umeongea ujinga mtupu.
 
Huyu peter si ndio yule aliemwsmbiaga jk,njoo bwana tule samaki wa ziwa letu.
Sasa leo anaanza kilopoka!
 
Naona km wa tz tunapenda kushabikia vita, kumbukeni vita ikitokea wakusimama front line si wanajeshi wanakuwa ni raia wa kawaida, wanaume wote mnaopiga domo mtasombwa na kupelekwa mafunzoni JWTZ wanakuwa nyuma kabisa. Waulize mashujaa wetu waliopiga vita vya kagera km wanahamu tena na haya mambo.
Tatizo watu tunafanya ref ya kushinda vita ya kagera ya miaka hiyo kuwa hata ikija nyingine tutashinda. Tuache upuuzi wa kushabikia vita.
Kilichotufanya kushinda vita ile ni kuwa wapiganaji wa Uganda walikuwa walevi wa gongo kupindukia wakawa wanasahau hata namna ya kutumia siraha.
Hali hii haiwezi jitokeza karne hii. Ukiona mtu anakuchokoza ujue kasha kujua na amejiandaa.
Ni kwa njia ya amani tumalize huu mgigoro
 
Malawi refers lake border dispute with Tanzania to UN

December 5, 2016 Nyasa Times Reporter
Malawi has formally protested to the international community including United Nations (UN), government has confirmed.

The border of Lake Malawi , which is potentially rich in oil and gas, is a subject of conflict between Malawi and with Tanzania .

Malawi disputes Tanzania’s claim to half the lake – Africa’s third biggest.
Tanzania is promoting a new map showing that the east African country owns part of the Lake Malawi.

Ministry of Foreign Affairs and International Corporation has advised international community to disregard Tanzania’s new map.

“Malawi government would not have just remained silent because that would mean acknowledgeing the purported new map,” said spokespeeson for Ministry of Foreign Affairs and International Corporation.

The neighbours have disagreed over their border since independence, and report that the lake had vast oil and gas reserves has reignited the ongoing dispute over the boundaries on Lake Malawi.

Malawi has awarded oil exploration licences to international firms such as Hamra Oil of United Arab Emirates to search for oil in the lake, which Tanzania calls Lake Nyasa.

Chief Secretary George Mkondiwa has advised the officials to disregard the “half truth”s by Tanzania by rejecting use of any document bearing such misinformation.

“Malawi will never, and has never, at any time, acquiesced to Tanzania’s unwarranted and unjustified territorial claims,” Mkondiwa said.

Mkondiwa added:“Malawi government would like to call upon all officials in government ministries, departments, and agencies to be alert on this matter and to continue rejecting and refusing to use all such maps appearing in any form or media including calendars, diaries, official documentation or other documents for any purpose or business.”

Meanwhile, Malawi wants the international community, including the UN to resolve the dispute.
George Mkondiwa must be crazy !
 
Wanadai wamepewa na Wakoloni (Helgoland Treaty), Sisi tutadai tumepewa na Mungu...haiingii akilini watu wameishi miaka maelfu na ziwa lao eti leo unawaambia Ziwa sio lenu mpaka upo mwaloni kisa Helgoland ; Seriously??

Source kubwa ya maji ya Ziwa Nyasa (inflows) ... yanatoka mito ya Tanzania (mto Ruhuhu)..huu nao ni ushahidi kuwa sehemu ya Ziwa ni yetu maana tunachangia hayo maji....
 
Tiss wabaya sana,Banda alikosa kura hadi alipozaliwa!

Joyce banda ni kweli alikosa kura hadi kwao na aliondoka kwa kilio.Kuna mengine siandiki hapa.Ila ninachoweza sema huyo Raisi wa sasa wa Malawi akae kwa Amani na Tanzania akitaka akaulize kwa nini Raisi Kamuzu Banda aliamua kuacha uadui na Tanzania na kusalimu amri.Kama hajui ngoja nimmegee kidogo.Mipaka ya Tanzania kila upande tulikuwa tunasumbuliwa.Uganda kulikuwa na shida ya akina Idi AMIN,Rwanda kulikua na shida,Burundi kulikuwa na shida,Congo mobutu alikuwa anatusumbua,Malawi alikuwa Kamuzu BANDA anatusumbua,Msumbiji wareno wakawa wanatusumbua.Tanzania ikaamua kuwa huo usumbufu lazima ukome kwa hiyo ikaamriwa kuanzisha mashambulizi ya mfululizo kote kuhakikisha wasumbufu wote wanang`ooka ili nchi ikae salama.Ikaanza ng`oa.Banda akapata taarifa kuwa watanzania wameamua kuskushughulikia akanywea.KIMBUNGA kilipoanza akanusurika maana Tanzania iling`oa IDD amin IKAWEKA wapenda Tanzania akina museveni,Rwanda maruhuni waliokuwepo wakang`olewa wakawekwa akina Kagame,Burundi akina BUYOYA waliokuwa wakitusumbua wakang`olewa WAKAWEKA wapenda Tanzania akina NKRUNZINZA,Kongo MOBUTU akang`olewa akawekwa mtoto wa MBEZI BEACH mkazi wa Tanzania MZEE kabila baba yake Raisi kabila aliyepo.Mozambique tukawasaidia vita mreno akang`olewa wakawekwa watanzania wa msumbiji akina Samora machel.Kile kimbunga Raisi Kamuzu BANDA kikamkosa sababu aliamua kusalimu amri mapema na akawa rafiki wa Tanzania hadi alitembelea Tanzania na akaachana na choko choko

Sasa hivi mipaka yote imetulia kasoro huo wa Malawi ndio unaleta fyoko.Ina maana akileta fyoko sasa hivi ni rahisi sababu nguvu zote zitaelekezwa malawi kumshughulikia barabara.

Huo mgogoro wa mpaka anaotunga utamgharimu
 
Back
Top Bottom