Malawi President Mrs Joyce Banda is scheduled to travel to United States of America this weekend

Kwa nini tusiwe na vinu vya kufua na kusafisha dhahabu hapo hapo Tanzania badala ya kuipeleka nje? Tunajua ni kiasi gani kinapelekwa nje kila wiki?


Geita, Bully, Nzega na migodi yote mikubwa inasafisha dhahabu kwa asilimia 99.8. Kufikia purity ya 99.999%, inabidi mitambo tofauti zaidi ambayo haileti sense kuijenga kwenye kila mgodi. Mtambo wa namna hiyo upo S. Africa, unaitwa Rand Refinery, na unahudumia karibu migodi yote ya Africa. Huu mtambo hutenganisha "uchafu" wa silver kutoka kwenye dhahabu

Kuna mitambo mingine hutoa "uchafu" wa copper na cobalt. Viwanda hivi ni vichache sana ulimwenguni. Dhahabu ya Bully ni mfano wa dhahabu yenye uchafu huu. Huwa inapelekwa Japan, kama jinsi migodi mingine ya dunia yenye dhahabu ya namna hiyo yanavyofanya.

Pamoja na hiyo, bado shughuli ya kusafisha dhahabu kufikia 99.8% ni shughuli pevu hasa, na ni moja ya shughuli inayokula kipande kikubwa cha ile 60% ya mauzo ya tofali la dhahabu.
 
Mwache aende lakini hakitoki kitu hapa!!! Halafu wakimaliza maongezi pengine wataanza kuwashawishi labda Kenya na wataambiwa wadai Mlima wa Kilimanjaro....Mhh! inabidi watuchonganishe tudundane halafu wote kwa ujumla tununue silaha za kuuwana wenyewe kwa wenyewe ili wajiokoe kiuchumi.Ngoja tuone...:hat:
 
Malawi President Mrs. Joyce Banda arrived in Washington DC, USA, on Friday at 13.00 hrs (08.00am hrs Malawi local time) from London, Britain.
The President who was accompanied by the First Gentleman retired Chief Justice Richard Banda was in flight number BA217.
On arrival she was welcomed by US ambassador to Malawi Jeanine Jackson, Malawi's Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Ephraim Mganda Chiume and Malawi's Ambassador to USA, Steve Matenje, at Dulles International Airport.
Joyce+Banda+Queen+Elizabeth+II+Attends+Commonwealth+chFQ3bZ12ahl-e1339240883704-246x300.jpg

President Banda: Jets in US

The Malawi leaders with the retired Chief Justice Banda were subsequently driven to Four Seasons Hotel in Washington DC where she met Malawi's Deputy Ambassador to USA Jane Nankwenya and diplomatic members of staff and their spouses.
A little girl, Regina Lindeire presented President Banda with a large bouquet of flowers while a boy Patrick Mphepo pinned a small flowerer on the retired Chief Justice Banda's lapel, respectively.
According to a programme released by the Malawi Embassy in Washington DC, President Banda is expected to undertake various important activities including meeting top officials of the Millennium Challenging Corporation, Daniel Yohannes, Vice President Patrick Fine for Compact Implementation; James Parks Vice President for Policy and Evaluation and Ms Alicia Mandaville Director for Policy and Country selection.
The President will also hold a briefing with Whitaker Group led by Ms Rosa Whitaker former Assistant United States of America Representative; Honourable Toby Moffet former Congressman for Connecticut, US ambassador to Malawi Jeanine Jackson and John Castello Chief Executive Officer of Citizen Network for Foreign Affairs(CNFA).
The State President will also hold discussions with Paul Hinks Chief Executive Officer for Symbion Power and Chris Campanovo Country Director for Tanzania.
She is also scheduled to have a meeting for the Malawian Diasporas and have an interview with Al-jazeera -Talk to Al-Jazeera; Voice of America (VOA).
The Malawi leader is expected to have audience with Dr. Rajiv Shah administrator of United States Agency for International Development(USAID), Ms Helen Clark administrator United National Development Programme(UNDP), Managing Director of International Monetary Fund(IMF) in Pennsylvania Avenue and Ms Sri Mulyani Indrawati Managing Director of the World Bank.
joyce-banda-with-queen-600x400.jpg


President Banda greets the Queen

COMMON-600x405.jpg


President Banda and Commonwealth leaders with the Queen in London
 
Kumbe ni kawaida kwa Pres kuingia US bila hata Obama Admin kuwa na taarifa na kuwapokea!wanajipokea wenyewe tu na kuendelea na issue zilizowapeleka!!!kama JK pia na yeye huwa anazurula hata mwezi mzima hajakanyaga White House!unashinda na CEO tu wa makampuni makubwa na mabalozi!!sawa sawa!!!
 
URAIS wenyewe huo ni wa kudandia tu kupewa bure baada ya mshikaji kufariki,....angechaguliwa si ndo ingekuwa balaa....hana lolote uyo, anahitaji rais mwenzie wa kumzalisha.kumpumulia.
 
jamani huyo rais wa malawi kwenda US inatuhusu nini? is it an international news? mbona hamsemi rais wa kenya botswana zimbabwe na wengineo wakiwa safarini?
 
Tunamfuatilia kila hatua anayokanyaga au unajifanya hujui anataka kulichukua ziwa Nyasa ha ha ha ha ha ha.

jamani huyo rais wa malawi kwenda US inatuhusu nini? is it an international news? mbona hamsemi rais wa kenya botswana zimbabwe na wengineo wakiwa safarini?
 
Back
Top Bottom