mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Lets be patient,kiukweli kama serikali ingekuwa inaenda mbio kama wachangiaji wengi humu wanavoombea tungekuwa tushavurugana
Mshamba kikwete hata padri nyerere hampati kwa hekima busara na umakini na uelewa wa mambo,
Mkatoliki nyerere aliacha haya matatizo bila ufumbuzi
Aliacha tatizo la zanzibar bila ufumbuzi kikwete akalimaliza
Aliacha burundi bila ufumbuzi kikwete akaliweza
Kenya aliwapatanisha
Comoro aliweza
Na malawi ataliweka sawa wakati huyo bwana wenu nyerere kaacha matatizo kwani hakuwa kiongozi mwenye busara aliamini kwenye nguvu
Hivo huyu mswahili wa bagamoyo atatua chia maelewano na malawi
Zidumu fikra za mwalimu! Na zidumae fikra za wagalitia
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hivi Kikwete ndiye aliyekuwa mpatanish Burundi baada ya kifo cha Nyerere? Na Mandela ndiye alikuwa akimbebea mikoba?