Malasusa unachoifanyia Dayosisi yako Mungu atakulipa

Huyo shetani wako wa chato alikuchapa akiwa hai na bado anakuchapa akiwa mfu ndio maana huuachi kumtaja.

Narudia tena, wewe huna cheo chochote, popote ndani ya KKKT ni kidagaa tu so hujui chochote.

Pole sana roho mbaya ya yule hawara yenu mchawi inawatafuna hadi Leo
 
Huyo shetani wako wa chato alikuchapa akiwa hai na bado anakuchapa akiwa mfu ndio maana huuachi kumtaja.

Narudia tena, wewe huna cheo chochote, popote ndani ya KKKT ni kidagaa tu so hujui chochote.

Hujajibu swali bado, ni wachagga wangapi maaskofu ndani ya KKKT?

Halafu unalalama humu michango ya dayosisi Ilhali hata uwezo wa kutoa sadaka ya elf 10 huna we fukara
 
Hujajibu swali bado, ni wachagga wangapi maaskofu ndani ya KKKT?

Halafu unalalama humu michango ya dayosisi Ilhali hata uwezo wa kutoa sadaka ya elf 10 huna we fukara
Huna akili!

Wachaga ndani ya KKKT usiangalie kwa nafasi ya maaskofu tu!

Hapa DMP katika migogoro tunayosuluhisha 90% imeanzishwa na wachaga.

Ukiona sehemu ina wazee wa kanisa wengi wachaga ujue na mchungaji au Mwinjilisiti nae ni mchaga. Ikiwa tofauti ujue mtaitwa kusuluhisha migororo.

Mie nakwambia hujui chochote, sie tulioko ndani ya KKKT tunajua kila kitu.

Wewe endelea kutetea ujinga kisa siasa.
 
Huyo jamaa ni kumwambia Muumba amchukue akajibu mashtaka! Mara mke wa muumini mara sasa fedha! Aisee watu shetani kawapofusha! Kwa nini asifanyie uraiani anaenda kumbipu Muumba ambae kashikilia pumzi yake? Kama kweli Muumba yupo basi huyo ndugu mamuhurumia!
Hapo kwenye mke wa muumini hebu fafanua!
 
Huu ujinga wa kukimbilia kwenye mitandao hutafanikiwa unamwalika hata mtu asiyehusika badala ya kulaumu ofisi ya mtunza hazina unamlaumu Askofu wakati fulani ficheni uijinga wenu
Kwani huyo Malasusa huwa anakupa kiasi gani!?
 
Huna akili!

Wachaga ndani ya KKKT usiangalie kwa nafasi ya maaskofu tu!

Hapa DMP katika migogoro tunayosuluhisha 90% imeanzishwa na wachaga.

Ukiona sehemu ina wazee wa kanisa wengi wachaga ujue na mchungaji au Mwinjilisiti nae ni mchaga. Ikiwa tofauti ujue mtaitwa kusuluhisha migororo.

Mie nakwambia hujui chochote, sie tulioko ndani ya KKKT tunajua kila kitu.

Wewe endelea kutetea ujinga kisa siasa.

Jibu swali ni maaskofu wangapi ni wachagga ndani ya KKKT?
 
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.
Jambo lingine ni Malasusa kuhamisha wachungaji atakavyo , hivi KKKT haina utaratibu ? mchungaji anahamishwa kwa mwaka hadi mara 4 , hivi hana watoto wanaosoma shule ? kila baada ya miezi mitatu unahamisha watoto shule , hili linawezekanaje ?
 
Jambo lingine ni Malasusa kuhamisha wachungaji atakavyo , hivi KKKT haina utaratibu ? mchungaji anahamishwa kwa mwaka hadi mara 4 , hivi hana watoto wanaosoma shule ? kila baada ya miezi mitatu unahamisha watoto shule , hili linawezekanaje ?
KKKT inawapa wakati mgumu sana wachungaji hasa wa chini yaani wanaoanza.
 
hivi ni nchi nzima au ni Huku kwa Malasusa tu ?
Mimi naona ni kote tu.

Niliwahi kuwa na jirani muinjilisti wa huko KKKT,dah jamaa alikuwa ananyanyasika Sana.

Hujuma nyingi,ndani ya mwaka tu akahamishwa..halafu maslahi mabovu huku familia inamtegemea .

KKKT Mungu anawaona,hela wanabubuna wachache tu .
 
Mimi naona ni kote tu.

Niliwahi kuwa na jirani muinjilisti wa huko KKKT,dah jamaa alikuwa ananyanyasika Sana.

Hujuma nyingi,ndani ya mwaka tu akahamishwa..halafu maslahi mabovu huku familia inamtegemea .

KKKT Mungu anawaona,hela wanabubuna wachache tu .
Aiseee !!
 
Rc huwezi kuta kashfa hizi

Rc ni wasiri sana hawapayuki kama hawa walioleta habari hii Rc kuna michango mingi hasa kuanzia jumuiya mara watoe 500000 lakini wenzetu wamefundishwa kutii mamlaka iliyo juu kama hutoki kutoa si unyamaze sasa kwa kuandika humu umepata faida gani au tatizo lako limetatuliwa Hivi Askofu ndiye anayeshika hela au mchungaji ndiye anayeshika hela
 
Shoo kada wa chadema aliwachangisha wana dayosisi ya kaskazini zaidi ya bilion 2 mpaka wakaota vipara. Vipi yeye alimkabidhi Mbowe?

Sasa hayo ni matusi kwa baba Askofu Shoo hivi inaingia akilini kuwa alikuwa anamchangia Mbowe mbona tunakosa adabu kwa viongozi wetu dini kama umetumwa kawaambie nimewakosa
 
Rc ni wasiri sana hawapayuki kama hawa walioleta habari hii Rc kuna michango mingi hasa kuanzia jumuiya mara watoe 500000 lakini wenzetu wamefundishwa kutii mamlaka iliyo juu kama hutoki kutoa si unyamaze sasa kwa kuandika humu umepata faida gani au tatizo lako limetatuliwa Hivi Askofu ndiye anayeshika hela au mchungaji ndiye anayeshika hela
Ni Bora aandike watu wajue. Mtaendelea kukamuliwa Hadi lini?
 
Huku kwetu morogoro, Jimbo katoliki linadaiwa 3billion+ maelezo hakuna!
 
Sasa hayo ni matusi kwa baba Askofu Shoo hivi inaingia akilini kuwa alikuwa anamchangia Mbowe mbona tunakosa adabu kwa viongozi wetu dini kama umetumwa kawaambie nimewakosa
Haya maneno umemwambia pia nliemnukuu?
 
Leo tuliitwa sehemu tukaambiwa Dayosisi ya mashariki na pwani ina deni la bilion 1.6
Haijulikani ni deni limetokana na nini. Hatukupewa kabisa nafasi ya kuhoji,. Yani imepigwa blaa blaa tu na kuambiwa tuchangie kulipa hilo deni.

Deni limegawanywa kila kituo yani sharika na mitaa, na inatakiwa liwe limelipwa ndani ya miezi 2.

Nmeumia sana kwasababu ni hela nyingi sana na ni mzigo kwa washarika ambao wanajithidi kuinua sehemu zao za kuabudia lakini wanabebeshwa zigo lingine ambalo halijulikani linatokana na nini,

Malasusa mimi nlikuwa nakuunga mkono sana ila kwa hili umenikwaza sana. Unawapa wakati mgumu sana Wainjilisti na wachungaji wako. Hebu fikiria Mwinjilisti au mchungaji anaenda kuwambia washarika tunatakiwa kulipa milioni 10 bila kuambiwa inatokana na nini?

Hapo makao makuu ya Dayosisi napo sijui pana shida gani maana katibu mkuu hajahudumu hata miaka 2 tayari tukasikia nafsi ya katibu mkuu iko wazi.

Mnatukosea sana! Hata kama mnapiga lakini hiyo ni too much.
Malasusa ni mwanaccm mwenzenu na kuna uwezekano mkubwa hio pesa ilikua itumike kwenye campaign za akina Makonda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom