Malaria yapata Chanjo na WHO imeithibisha, utafiti ulianza mwaka 1980

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,779
141,668
Uingereza imefanikiwa kutengeneza chanjo ya Malaria ugonjwa unaosumbua sana Afrika.

Majaribio ya Chanjo hii yalifanyika katika nchi tatu za Ghana, Kenya na Malawi ambapo watoto zaidi ya 800,000 wamechanjwa.

Chanjo hii imelengwa maalumu kwa ajili ya Afrika hivyo nchi zote barani humo zitapatiwa chanjo hii.

Source: BBC Dira ya Dunia

======

Children across much of Africa are to be vaccinated against malaria in a historic moment in the fight against the deadly disease.

Malaria has been one of the biggest scourges on humanity for millennia and mostly kills babies and infants.

Having a vaccine - after more than a century of trying - is among medicine's greatest achievements.

The vaccine - called RTS,S - was proven effective six years ago.

Now, after the success of pilot immunisation programmes in Ghana, Kenya and Malawi, the World Health Organization says the vaccine should be rolled out across sub-Saharan Africa and in other regions with moderate to high malaria transmission.

Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, director-general of the WHO, said it was "a historic moment".

"The long-awaited malaria vaccine for children is a breakthrough for science, child health and malaria control," he said. "[It] could save tens of thousands of young lives each year."

Deadly parasite

Malaria is a parasite that invades and destroys our blood cells in order to reproduce, and it's spread by the bite of blood-sucking mosquitoes.

Drugs to kill the parasite, bed-nets to prevent bites and insecticides to kill the mosquito have all helped reduce malaria.

But the greatest burden of the disease is felt in Africa, where more than 260,000 children died from the disease in 2019.

It takes years of being repeatedly infected to build up immunity and even this only reduces the chances of becoming severely ill.

Dr Kwame Amponsa-Achiano piloted the vaccine in Ghana to assess whether mass vaccination was feasible and effective.

"It is quite an exciting moment for us, with large scale vaccination I believe the malaria toll will be reduced to the barest minimum," he said.

Constantly catching malaria as a child inspired Dr Amponsa-Achiano to become a doctor in Ghana.

"It was distressing, almost every week you were out of school, malaria has taken a toll on us for a long time," he told me.

Saving children's lives

There are more than 100 types of malaria parasite. The RTS,S vaccine targets the one that is most deadly and most common in Africa: Plasmodium falciparum.

Trials, reported in 2015, showed the vaccine could prevent around four in 10 cases of malaria, three in 10 severe cases and lead to the number of children needing blood transfusions falling by a third.

However, there were doubts the vaccine would work in the real world as it requires four doses to be effective. The first three are given a month apart at five, six and seven months old, and a final booster is needed at around 18 months.

Source: BBC
 
Tatizo watu wataikubali hìi sababu utafiti ulianza toka 1980, bila ya kujua hii ya Corona ilianza miaka hiyo hiyo...ni variation tu.. wakati huo ikijulikana kama mafua ya saaz...yaliua wengi wengi mno.

Ila kwa chanjo ya malaria hata kesho ntakwenda.
 
Vipi wao hawachanji hiyo ya marelia.?

Vipi watestie nchi za Afrika tu?
Malaria ipo maeneo ya tropical but mostly Africa Ila hata ukienda Tropical Australia na tropical South America malaria ipo. .

Wazungu wengi especially wanaotoka Ulaya north pole huwa wakiwa wanakuja maeneo yenye mbu huwa wanapata hiyo chanjo kabla ya kuja.

Test zilishafanyika miaka kadhaa sasa ni maamuzi tu Ila malaria inaua zaidi ya ukimwi na covid
 
Si kweli
Tatizo watu wataikubali hìi sababu utafiti ulianza toka 1980, bila ya kujua hii ya Corona ilianza miaka hiyo hiyo...ni variation tu.. wakati huo ikijulikana kama mafua ya saaz...yaliua wengi wengi mno.

Ila kwa chanjo ya malaria hata kesho ntakwenda.
 
Back
Top Bottom