Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
kwa jinsi watanzania tulivyo mambumbumbu kama watangazaji wa clouds FM, chenge anaweza kupewa uspika hivi hivi tunaangalia!!!!!!!! wakati inajulikana anataka kwenda kurekebisha kitu gani, clouds waropokaji tu na wanawania UDC hasa kibonde mshamba tu.
Hivi Malaria Sugu ataambulia hata ukuu wa Wilaya au alikuwa anashikia mapembe.
Hivi Malaria Sugu ataambulia hata ukuu wa Wilaya au alikuwa anashikia mapembe.