Wakuu naomba msaada wa tiba ya malaria sugu tangu ujana wangu hadi leo nakaribia 50yrs nimekuwa nauguwa na kutibu malaria kila mwezi, tangu wakati wa chroloquine, fansider, Halfan,Metakhafin, Amodiaquine, mseto,,,,dawa za asili mshana, mwarobaini, soku-masai, n.k kwa yeyote atakae niwezesha kukaa angalau kila baada ya mwaka mmoja naahidi kutoa zawadi nono shs 100,000 hadi shs 2,000,000.
Nimekuwa na mawazo kuwa immunity yangu kwa malaria ni very weak, sababu sijasumbuliwa na magonjwa mengine labda kdg tonslitis kwa mwaka x2, minyoo x3 kwa mwaka, Mafua ndio mara kwa mara kila dalili za malaria tu
Swali langu je pana namna yeyote ya kuongeza immunity(kinga) ya mwili hasa dhidi ya malaria ?
NILIELEKEZWA HIYI DAWA NA PROF MMOJA WA KIHINDI KTK CHUO NILICHOSOMA UNDERGRADUATE MIAKA YA TISINI,NA NIMESHAWAELEKEZAWATU WENGI SANA! NAKUELEKEZA BUREEEE!TENA DAWA INAUZWA HADI KATIKA PHARMACY ZA WAHINDI!inaitwa ZANDU!ukiinunua niambie nikuelekeze jinsi ya kuitumia ili malaria isirudirudi tena kwako.ni dawa ya asili ya wahindi na inatibu magonjwa mengi sana hata typhoid,amoeba n.k,nk
Wakuu tunawashukuru wote waliotoa michango yao ya mawazo na ushauri lakini bado tunahitaji misaada hiyo zaidi na hasa ya kitaalam, TUNAOMBA USHIRIKIANO WENU
Nakubaliana na wewe, mimi hiyo hali ilinkumba na kuniendesha kwa muda. Ilifikia kipindi nikawa nakunywa dawa in advance. Ila nilipochoka nikamuomba MUNGU na kumuambia sitaki tena utumwa wa malaria na malaria sio ugonjwa wangu. Tangu kipindi hicho inaweza ikapita mwaka nikaugua malaria kwa mbaaali tena mara mojaMwombe Mungu ndo daktari wa madaktari! Huyo hashindwi na lolote! Nategemea kurushiwa Hilo donge!
Wakuu naomba msaada wa tiba ya malaria sugu tangu ujana wangu hadi leo nakaribia 50yrs nimekuwa nauguwa na kutibu malaria kila mwezi, tangu wakati wa chroloquine, fansider, Halfan,Metakhafin, Amodiaquine, mseto,,,,dawa za asili mshana, mwarobaini, soku-masai, n.k kwa yeyote atakae niwezesha kukaa angalau kila baada ya mwaka mmoja naahidi kutoa zawadi nono shs 100,000 hadi shs 2,000,000.
Hupima kuhakiki ni malaria kabla matibabu, pia namshukuru mungu sijawahi kulazwa kwa malaria, naomba msaada hata wa ushauri tu.
Nimekuwa na mawazo kuwa immunity yangu kwa malaria ni very weak, sababu sijasumbuliwa na magonjwa mengine labda kdg tonslitis kwa mwaka x2, minyoo x3 kwa mwaka, Mafua ndio mara kwa mara kila dalili za malaria tu
Swali langu je pana namna yeyote ya kuongeza immunity(kinga) ya mwili hasa dhidi ya malaria ?
mkuu ni pm,kuna dawa toka kijijini ni komesha!unakunywa na chai ya rangi.malaria kwangu historia
mkuu,ngoja niitafute hapa Mwanza nikiipata tu ntakutafuta unielekeze.
Tafiti zinaonesha 40% ya dawa africa ni feki na ili huchangia usugu wa malaria
Kuna dawa niliwai pewa na mmsai mmoja ni mzizi unatafuna ilikuwa ifakara nilidunda mwaka bila malaria sasa tatizo amefariki na mwanae iyo dozi haijui shida tupu
On a serious note malaria so kuna watu kila mwezi wagonjwa
Bongolala nimekupm jibu basi