Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Kama unakunywa doze na kumaliza kuna haja ya kucheki izo dawa zisije zikawa zimexpire bure as juzi tuu mtu kapewa dawa experied kaumuka mwili mzima.
Nami ilishanitokea kutopona malalia nikaenda pima typhoid ikaonekana ninayo so nikaanza dose ya typhoid kwanza bse nasikia otherwise huponi.
Za kienyeji kuna mtu alinambia SHUBILI ni dawa nzuri waweza jaribu
Nami ilishanitokea kutopona malalia nikaenda pima typhoid ikaonekana ninayo so nikaanza dose ya typhoid kwanza bse nasikia otherwise huponi.
Za kienyeji kuna mtu alinambia SHUBILI ni dawa nzuri waweza jaribu