Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
hahahahaha. naogopa amani iliopo kupotea, naogopa kumpa kura yangu dk slaa kwani amani na utulivu bado naupenda isonge mbele.
namuheshimu sana dk slaa kama mtanzania mwenzangu. lkn siamini kama anaweza angalau kpata 13% ya kuraza watz.
natamani rais wangu Jk AZidi kungara, ashinde kwa kishindo.
dk slaa endapo atapata 20% ya kura basi watz tutakuwa mandondocha
Usisahau kumwombea afya njema pia! si unajua lile tatizo lake?hahahahaha. naogopa amani iliopo kupotea, naogopa kumpa kura yangu dk slaa kwani amani na utulivu bado naupenda isonge mbele.
namuheshimu sana dk slaa kama mtanzania mwenzangu. lkn siamini kama anaweza angalau kpata 13% ya kuraza watz.
natamani rais wangu Jk AZidi kungara, ashinde kwa kishindo.
dk slaa endapo atapata 20% ya kura basi watz tutakuwa mandondocha
Dk slaa hawezi kuongoza tz, kwanza anahasira sana, pili sio mvumilivu, tatu ahaddi anazotoa ni kiini macho, nne chadema haina sera, haina muono, haina mkakati wa maendeleoi
juu ya yote hayo. tumpe kura Jk october 2010
Usisahau kumwombea afya njema pia! si unajua lile tatizo lake?
:yield::llama:
Chachachachadedeemamama
Nimejaribu kumfuatilia MS na nimegundua kuwa ni mpenzi sana wa Dr. Slaa may be posho anayopata upande wa pili ndiyo inamfanya asitoe msimamo wake hadharani. Ukiangalia kwa undani thread zake nyingi anazoleta ni za kusaidia kupandisha chart ya Dr. Slaa zaidi ya kumbomoa na hana thread yeyote ya kumsaidia JK na CCM kwa ujumla.
MS na wezako karibuni kwenye mapambano. Dr. Slaa for Prez!!!!
labda niwe nimelala ndio nimpigie kura dK SLAA, tena usingizi wa pono
malaria sugu bado anataka amani iwepo, idumu na iendelea.
ukimpa dk slaa nchi itauzwa, itanunuliwa hatimae machafuko.
nchi bila ya kikwete 2010-2015 ni ndoto tena za mchana huku ukiwa unanjaa
yaani wanachadema mpka mnaota ndoto mchana?
malaria sugu bado anataka amani iwepo, idumu na iendelea.
ukimpa dk slaa nchi itauzwa, itanunuliwa hatimae machafuko.
nchi bila ya kikwete 2010-2015 ni ndoto tena za mchana huku ukiwa unanjaa
labda niwe nimelala ndio nimpigie kura dK SLAA, tena usingizi wa pono
Dk slaa hawezi kuongoza tz, kwanza anahasira sana, pili sio mvumilivu, tatu ahaddi anazotoa ni kiini macho, nne chadema haina sera, haina muono, haina mkakati wa maendeleoi
juu ya yote hayo. tumpe kura Jk october 2010
Hahahah. Sidanganyiki october 31