Wadau tuwekane sawa hapa! Hili tatizo kubwa mno huku kusini mwa jangwa la Sahara (Maralia)! ni kweli ufumbuzi wake ni huu tunaotangaziwa na Wizara ya afya na vijiwe vya mawaziri na ndugu zao(NGOs)?
Ati tuyatokomeze maralia kwa kutumia vyandarua vyenye dawa hii inaingia akilini kweli? vyandarua sasa vinatumika kwa uvuvi wa dagaa kule Kilombero na kungineko na shamelessly tunashindwa ku-admit! Ni kweli dawa mseto yenye (rangi ya kijani )!!! itatokomeza malaria, je ni kweli kwamba malaria haikubaliki huku Afrika! Swali kwa wadau wote ,Je mwajua ya kwamba enzi za mapinduzi ya kilimo Marekani ilikuwa na kiwango cha juu cha mbu wanaoeneza malaria? tunajiuliza kweli kwamba walifanya nini kuwaangamiza?
Ni gharama kiasi gani kama kweli TZ imefanya tathmini na kugundua kwamba labda kiasi kinachihitajika ni shs ngapi? tunawaacha ma armatures kama kina Marry Nagu akishahongwa kwamba atapata mgao iwapo malaria yataendelea kuwepo ili Viwanda vya kutengeneza Vyandarua na Dawa za malaria pamoja na research institutions zisikumbwe na unemployment je tunajua huu uhusiano jamani?????
Niwaambie ukweli ni kwamba, tukifanya tatmini, tuka piga na mahesabu ya fedha kiasi gani zinahitajika kutokomeza malaria nchi nzima bila ufisadi hapo i am telling you, in one month malaria will be a history in this world! Otherwise MALARIA INAKUBALIKA MNO NA SERIKALI NDO MAANA INADHAMINI MATANGAZO YENYE UHAFIFU NA KUKARIBISH VIFO!!!
Natoa hoja!
Ati tuyatokomeze maralia kwa kutumia vyandarua vyenye dawa hii inaingia akilini kweli? vyandarua sasa vinatumika kwa uvuvi wa dagaa kule Kilombero na kungineko na shamelessly tunashindwa ku-admit! Ni kweli dawa mseto yenye (rangi ya kijani )!!! itatokomeza malaria, je ni kweli kwamba malaria haikubaliki huku Afrika! Swali kwa wadau wote ,Je mwajua ya kwamba enzi za mapinduzi ya kilimo Marekani ilikuwa na kiwango cha juu cha mbu wanaoeneza malaria? tunajiuliza kweli kwamba walifanya nini kuwaangamiza?
Ni gharama kiasi gani kama kweli TZ imefanya tathmini na kugundua kwamba labda kiasi kinachihitajika ni shs ngapi? tunawaacha ma armatures kama kina Marry Nagu akishahongwa kwamba atapata mgao iwapo malaria yataendelea kuwepo ili Viwanda vya kutengeneza Vyandarua na Dawa za malaria pamoja na research institutions zisikumbwe na unemployment je tunajua huu uhusiano jamani?????
Niwaambie ukweli ni kwamba, tukifanya tatmini, tuka piga na mahesabu ya fedha kiasi gani zinahitajika kutokomeza malaria nchi nzima bila ufisadi hapo i am telling you, in one month malaria will be a history in this world! Otherwise MALARIA INAKUBALIKA MNO NA SERIKALI NDO MAANA INADHAMINI MATANGAZO YENYE UHAFIFU NA KUKARIBISH VIFO!!!
Natoa hoja!