hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Siku ya Leo imekuwa mbaya Sana kwangu,
Nilikuwa natuma pesa Kwa bimkubwa wangu huko kijijini kwetu kwa ajili ya matibabu yake
Nimetuma pesa asubuh kwa SIM banking kwenda mpesa, tangu hiyo asubuh mpaka muda huu hiyo pesa haijafika,
Nimepiga simu Sana huduma Kwa wateja wanasema shida sio crdb ni mpesa, nikipiga simu Vodacom naambiwa shida ni CRDB sio wao
Usiku huu nimepiga tena simu CRDB wananiambia Leo kulikuwa na maboresho ya mfumo wao so pesa yangu itarudi kesho saa 12 jioni
Yan kesho sio Leo usiku hapana kesho tena saa 12 jioni
Sasa hoja yangu, kama wanajua wanafanya maboresho ya mfumo why hawatangazi Kwa sie wateja wao?
Na kama wanaboresha mfumo why wanaruhusu mtu akituma pesa ziende wakati wanajua hazitofika Kwa mlengwa?
Dah imeniumiza sana
Nilikuwa natuma pesa Kwa bimkubwa wangu huko kijijini kwetu kwa ajili ya matibabu yake
Nimetuma pesa asubuh kwa SIM banking kwenda mpesa, tangu hiyo asubuh mpaka muda huu hiyo pesa haijafika,
Nimepiga simu Sana huduma Kwa wateja wanasema shida sio crdb ni mpesa, nikipiga simu Vodacom naambiwa shida ni CRDB sio wao
Usiku huu nimepiga tena simu CRDB wananiambia Leo kulikuwa na maboresho ya mfumo wao so pesa yangu itarudi kesho saa 12 jioni
Yan kesho sio Leo usiku hapana kesho tena saa 12 jioni
Sasa hoja yangu, kama wanajua wanafanya maboresho ya mfumo why hawatangazi Kwa sie wateja wao?
Na kama wanaboresha mfumo why wanaruhusu mtu akituma pesa ziende wakati wanajua hazitofika Kwa mlengwa?
Dah imeniumiza sana