Malalamiko ya Tozo za miamala na kodi za majengo kupitia Luku yamepungua, safi sana

Kwani wangetoka halmashauri wakaenda moja kwa moja TANROAD kungekuwa na tatizo gani?
Majukumu yao ni tofauti toka asili. Ndio maana nimesema kuwa hawa wataalam wa TARURA na kazi zao zilikuwepo hata wakati ule TANROAD ilishaanzishwa. Na walikuwa wakifanya shughuli zao za ujenzi wa bara bara hata wakati ule. Na kwa wakati huu majukumu yao hayajabadilika ni yale yale, sasa kwanini waunganishwe TANROAD. Kumbuka TANROAD hawataki na wala hawakuwa na majukumu ya wataalam hawa wa TARURA, hivyo ingekuwa ni kuwaongezea mzigo juu ya mzigo.
 
Watanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu

Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.

Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.

Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.
WE NI MPUUZI SANA🙄🙄🙄😃😃🤣🤣🤣
 
Majukumu yao ni tofauti toka asili. Ndio maana nimesema kuwa hawa wataalam wa TARURA na kazi zao zilikuwepo hata wakati ule TANROAD ilishaanzishwa. Na walikuwa wakifanya shughuli zao za ujenzi wa bara bara hata wakati ule. Na kwa wakati huu majukumu yao hayajabadilika ni yale yale, sasa kwanini waunganishwe TANROAD. Kumbuka TANROAD hawataki na wala hawakuwa na majukumu ya wataalam hawa wa TARURA, hivyo ingekuwa ni kuwaongezea mzigo juu ya mzigo.
Nadhani huelewi hata unatetea nini, kwani majukumu hayawezi kuunganishwa na core activity ni barabara?
 
MI-5 tena. Yaani mtu kanisaidia shida yangu, watoto wangu walikuwa wanasomea chini ya miti, kajenga madara. Hivi kibinaadamu hapo unasema nini. Mi wazazi wangu walinifundisha nisema:

Asante sana na ubarikiwe, Shukran, M Mungu aendelee kukujaza hayo maarifa na akili katika kutuongoza, Wewe ni chaguo la M Mungu akuongezee umri mrefu na uendelee kuiongoza TZ.

Hayo ndio baadhi ya maneno niliyofundishwa kuyasema nikifanyiwa mazuri, sio kukashifu.
Wewe utakuta ni wale waliotolewa bongo zao,kisha wanaendeshwa kwa remote,pumbav.
 
Nadhani huelewi hata unatetea nini, kwani majukumu hayawezi kuunganishwa na core activity ni barabara?
Unajua serikali inapotenga maeneo kama hayo, maana yake mkuu mmoja anaelemewa na usimamizi wa shughuli hiyo. Kwa mfano kwa nini utengenezaji wa barabara kuu kama Dar - Moshi, Mtwara - Ruvuma hawapewi TANROAD?
 
Unajua serikali inapotenga maeneo kama hayo, maana yake mkuu mmoja anaelemewa na usimamizi wa shughuli hiyo. Kwa mfano kwa nini utengenezaji wa barabara kuu kama Dar - Moshi, Mtwara - Ruvuma hawapewi TANROAD?
Kazi ya TANROAD na TARURA ni kusimamisha na siyo kutengeneza ndiyo maana wanatangaza tenda mkuu
 
Tumegundua tunaweza kuanzisha digital bank na kukwepa tozo siyo za serikali tu bali na za mabenki, makampuni ya simu na ya uhamishaji wa fedha.


Jiunge na hii APP itakayokumilikisha digital bank ambayo ndani ya miaka mitatu tutaachana na uteja wa miamala kandamizi tajwa na kuvuna hela za nguvu.

Kujiunga na hii digital bank bofya hiyo link na tumia nywila "asakila" kujiunga. Ukibofya hiyo link inakupeleka kwenye play store download hiyo APP ifungue na fuata maelekezo yake yote.

Pi is a new digital currency developed by Stanford PhDs, with over 23 million members worldwide. To claim your Pi, follow this link Pi Network and use my username (asakila) as your invitation code.
 
Watanzania ni watu poa sana, huko nje kila mtu anataka kuishi Tanzania. Si unaona mwenyewe Wa - Ethiopia wanavyokimbilia bongo pamoja na kuwa nchi yao ni kubwa kuliko yetu. Sijawasema akina .................... Jaribu tu kuachia mipaka uone wakenya na majirani watavyofurika TZ.
You are right
 
Watanzania sasa wamemuelewa Mama na kukubali kulipa Tozo na kodi kwa moyo mmoja. Katika mitandao malalamiko hayo yamepungua, na leo kulikuwa na Thread moja tu ya kulalamikia kuchelewa kwa muamala kwa ajili ya Tozo na si lalamiko la tozo. Ni suala la utendaji tu

Hii imetokana na watanzania kuelezwa matumizi ya pesa hizo za mwezi mmoja tu kujenga madarasa 560 watayosomea watoto wetu na kujengwa kwa zahanati zaidi ya 90 tutazotumia sisi wenyewe.

Ni mwendawazimu tu anaweza kuendelea kulalamika katika faida hizo kwa mwezi mmoja. Fikiria kwa mwaka mmoja tutakuwa wapi. Mama endelea watanzania tupo nyuma yako, na yataposimama madarasa na zahanati vicheko vitazidi.

Mama, Rais SSH endelea kuzungumza na watanzania kwa lugha wanayoielewa, na wao watakuelewa tu.
Unajitekenya. Kamuulize akwambie anapata Tshs ngapi kwa mwezi ndio utajua hujui
 
Back
Top Bottom