Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
- Thread starter
- #61
Majukumu yao ni tofauti toka asili. Ndio maana nimesema kuwa hawa wataalam wa TARURA na kazi zao zilikuwepo hata wakati ule TANROAD ilishaanzishwa. Na walikuwa wakifanya shughuli zao za ujenzi wa bara bara hata wakati ule. Na kwa wakati huu majukumu yao hayajabadilika ni yale yale, sasa kwanini waunganishwe TANROAD. Kumbuka TANROAD hawataki na wala hawakuwa na majukumu ya wataalam hawa wa TARURA, hivyo ingekuwa ni kuwaongezea mzigo juu ya mzigo.Kwani wangetoka halmashauri wakaenda moja kwa moja TANROAD kungekuwa na tatizo gani?