Elections 2010 Malalamiko ya Chadema yaiweka NEC njia panda........kunyoa au kusuka......

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,422
911,172
NEC imekuwa ikshutumiwa kuwa inaendeshwa na makada wakareketwa wa CCM sasa huu ndiyo mtihani wao mkubwa kuliko yote.................

Baada ya Chadema kudai kura za vituoni hazijaheshimiwa katika kutangaza matokeo ya kura, NEC kama kweli ni chombo cha kutenda haki ungelikitegemea kusimamisha zoezi zima la kutangaza matokeo yenye harafu kali ya kuchakachuliwa na kuagiza wasimamizi wa majimbo kuwaletea nakala halisi za kura zilizopigwa vituoni ili wazihakiki na kuhakikisha haki inatendeka.......

Sasa NEC ipo njia panda kwa sababu kama ikiendelea kutangaza matokeo huku kuna tuhuma nzito dhidi ya matokeo wanayoyatangaza ni dhahiri wao watatuthibitishia ni wakala wa CCM kwenye uchaguzi huu na haki kamwe haiwezi kutendeka....................

Wakiamua kusimamisha zoezi la kutangaza matokeo na kuyachunguza madai ya Chadema wapigakura watafurahi lakini JK na CCM yake watakasirika na kuwachukia NEC..............Hii ndiyo njia panda kwa NEC...........na hadhi yao machoni pa wapigakura ipo hapo......sijui hata kama wananaliona hili........KUTENDA HAKI KWA MASILAHI YA NCHI KWANI KAMA NEC HAISEMI UKWELI NCHI HII HAITATAWALIKA.....NA HUU NDIYO UTAKUWA URITHI WA JK AMBAO ATATUACHIA...................What a legacy to bequeath his nation...............violence and loss of discipline......chaos.........sporadic fracas.........lost value of Tshs...........hperinflation...........Another MUGABE.......THE LIST IS ENDLESS...
 
NEC imekuwa ikshutumiwa kuwa inaendeshwa na makada wakareketwa wa CCM sasa huu ndiyo mtihani wao mkubwa kuliko yote.................

Baada ya Chadema kudai kura za vituoni hazijaheshimiwa katika kutangaza matokeo ya kura, NEC kama kweli ni chombo cha kutenda haki ungelikitegemea kusimamisha zoezi zima la kutangaza matokeo yenye harafu kali ya kuchakachuliwa na kuagiza wasimamizi wa majimbo kuwaletea nakala halisi za kura zilizopigwa vituoni ili wazihakiki na kuhakikisha haki inatendeka.......

Sasa NEC ipo njia panda kwa sababu kama ikiendelea kutangaza matokeo huku kuna tuhuma nzito dhidi ya matokeo wanayoyatangaza ni dhahiri wao watatuthibitishia ni wakala wa CCM kwenye uchaguzi huu na haki kamwe haiwezi kutendeka....................

Wakiamua kusimamisha zoezi la kutangaza matokeo na kuyachunguza madai ya Chadema wapigakura watafurahi lakini JK na CCM yake watakasirika na kuwachukia NEC..............Hii ndiyo njia panda kwa NEC...........na hadhi yao machoni pa wapigakura ipo hapo......sijui hata kama wananaliona hili........KUTENDA HAKI KWA MASILAHI YA NCHI KWANI KAMA NEC HAISEMI UKWELI NCHI HII HAITATAWALIKA.....NA HUU NDIYO UTAKUWA URITHI WA JK AMBAO ATATUACHIA...................What a legacy to bequeath his nation...............violence and loss of discipline......chaos.........sporadic fracas.........lost value of Tshs...........hperinflation...........Another MUGABE.......THE LIST IS ENDLESS...

NEC wanatekeleza mkakati ulioandaliwa siku nyingi na hawana jinsi lazima wamtangaze JK kuibuka na ushindi. Kauli mbiu ya ushindi ni lazima inatimizwa, juzi umemsikia kinana amemaliza kazi.
Nadhani kuna ulazima sana wa watanzania kuamua kuchukua hatua madhubuti ili tuondokane na hii biashara ya NEC kutuchagulia viongozi badala ya kuheshimu matakwa ya wapiga kura.
 
NEC imekuwa ikshutumiwa kuwa inaendeshwa na makada wakareketwa wa CCM sasa huu ndiyo mtihani wao mkubwa kuliko yote.................

Baada ya Chadema kudai kura za vituoni hazijaheshimiwa katika kutangaza matokeo ya kura, NEC kama kweli ni chombo cha kutenda haki ungelikitegemea kusimamisha zoezi zima la kutangaza matokeo yenye harafu kali ya kuchakachuliwa na kuagiza wasimamizi wa majimbo kuwaletea nakala halisi za kura zilizopigwa vituoni ili wazihakiki na kuhakikisha haki inatendeka.......

Sasa NEC ipo njia panda kwa sababu kama ikiendelea kutangaza matokeo huku kuna tuhuma nzito dhidi ya matokeo wanayoyatangaza ni dhahiri wao watatuthibitishia ni wakala wa CCM kwenye uchaguzi huu na haki kamwe haiwezi kutendeka....................

Wakiamua kusimamisha zoezi la kutangaza matokeo na kuyachunguza madai ya Chadema wapigakura watafurahi lakini JK na CCM yake watakasirika na kuwachukia NEC..............Hii ndiyo njia panda kwa NEC...........na hadhi yao machoni pa wapigakura ipo hapo......sijui hata kama wananaliona hili........KUTENDA HAKI KWA MASILAHI YA NCHI KWANI KAMA NEC HAISEMI UKWELI NCHI HII HAITATAWALIKA.....NA HUU NDIYO UTAKUWA URITHI WA JK AMBAO ATATUACHIA...................What a legacy to bequeath his nation...............violence and loss of discipline......chaos.........sporadic fracas.........lost value of Tshs...........hperinflation...........Another MUGABE.......THE LIST IS ENDLESS...
NEC HII INAYOPENDA GIZA NA KUFUNIKAFUNIKA itaumbuka mwaka huu
 
NEC HII INAYOPENDA GIZA NA KUFUNIKAFUNIKA itaumbuka mwaka huu

Itaumbukaje? Kumbuka NEC sio chombo huru, kinafanya mambo kwa kuelekezwa na CCM so kitaumbukaje?
Hizo ni ndoto tena za mchana.
 
Wonderfull information Mr Ruta, let the trueth from NEC be transparent for every body to see, then the NEC respect will be restalled.
NEC IS ACTUALY PART AND PARCELL OF THE RULING PARTY. Ret us strive to remove these malfanction institutions, used by this demonic ruling bureaucratic system for the sake of our liberation.
Go Go our hero Dr W Slaa GO.
 
Napendekeza wanaharakati wachukue hatua za haraka za kuandaa maandamano ya watu wote wenye
mapenzi mema na taifa hili, ya kwenda makao makuu ya NEC kwaajili ya kuhimiza tume hiyo kuyafanyia kazi madai ya chadema kabla hayajatumbukiza nchi yetu katika mgogoro husio wa lazima, kwani wanachodai chadema kinaeleweka; wanachosema ni kwamba idadi ya kura iliyohesabiwa vituoni siyo inayotangazwa na tume. Kuna ugumu gani kwa tume kuyafanyie kazi kwa uwazi madai hayo, ili kuepusha mawazo yanayoanza kujengeka kuwa tume hiyo ina ajenda ya siri.
 
kilichijitokeza jijini mwanza chaweza tokea tanzania nzima kama NEC wataendeleza ujinga wao kama wanaoufanya sasa
 
my final call ni kuwa vita vianzishwe tuuwane ndo CCM itaelewa na huu ushenzi wao..iam ready kuchangia pesa za kununua mapanga na mikuki
uh??????
mkuu hata mie nina hasira lakini bado sijafikiria kuua mtu shekhe.
but nina hasira mbaya kweli
 
NEC imekuwa ikshutumiwa kuwa inaendeshwa na makada wakareketwa wa CCM sasa huu ndiyo mtihani wao mkubwa kuliko yote.................

Baada ya Chadema kudai kura za vituoni hazijaheshimiwa katika kutangaza matokeo ya kura, NEC kama kweli ni chombo cha kutenda haki ungelikitegemea kusimamisha zoezi zima la kutangaza matokeo yenye harafu kali ya kuchakachuliwa na kuagiza wasimamizi wa majimbo kuwaletea nakala halisi za kura zilizopigwa vituoni ili wazihakiki na kuhakikisha haki inatendeka.......

Sasa NEC ipo njia panda kwa sababu kama ikiendelea kutangaza matokeo huku kuna tuhuma nzito dhidi ya matokeo wanayoyatangaza ni dhahiri wao watatuthibitishia ni wakala wa CCM kwenye uchaguzi huu na haki kamwe haiwezi kutendeka....................

Wakiamua kusimamisha zoezi la kutangaza matokeo na kuyachunguza madai ya Chadema wapigakura watafurahi lakini JK na CCM yake watakasirika na kuwachukia NEC..............Hii ndiyo njia panda kwa NEC...........na hadhi yao machoni pa wapigakura ipo hapo......sijui hata kama wananaliona hili........KUTENDA HAKI KWA MASILAHI YA NCHI KWANI KAMA NEC HAISEMI UKWELI NCHI HII HAITATAWALIKA.....NA HUU NDIYO UTAKUWA URITHI WA JK AMBAO ATATUACHIA...................What a legacy to bequeath his nation...............violence and loss of discipline......chaos.........sporadic fracas.........lost value of Tshs...........hperinflation...........Another MUGABE.......THE LIST IS ENDLESS...

J.L Makame amesema kwamba wao(NEC) kama tume ndo watakiwa kuhakiki kura zilizo pigwa na simsimamizi wa uchaguzi jimboni.hivyo imelazimika wao kuzihakiki na zilizokuwa na kasoro wakazirekebisha(chakachua).hivyo hakunasababu ya kuzihesabu upya kwani wao(NEC) wamehakiki kwa mara nyingine tena.
:A S angry::A S angry::doh::doh::tape::tape:
 
NEC hawana njia nyingine zaidi ya kumtangaza Kikwete mshindi hata kama wananchi wamemkataa
 
Leo asubui nimewasha TV nikakuta Kinana alikuwa anaojiwa na TBC1 akasema kuwa Dr.Slaa ni Dokta wa DINI (KIKRISTO)kwa msistizo na pia ni Dokta wa UWONGO (Slaa hana evidence) sasa nikashindwa kumwelewa huyu baba anamaanisha nini kuongea maneno kama hayo kwenye TV ya TAIFA. nimejiuliza maswali mengi sana sijapata jibu.
1. Kinana anataka kuchochea mambo ya UDINI?
2. Kinana anawadanganya WANANCHI kuwa CCM hawajaiba kura?
3. Kinana anachochea virugu Tanzania?
4. Kinana anathibitisha kuwa CCM ni chama cha KIDINI - UISLAMU?
5. Kinana anaagenda gani na NEC?
6. Kinana anawafanya WATANZANIA ni mambumbu hawajui kitu?
7. Kinana anatetea uhalifu wake?
8. Je Kinana alitumwa aje kuongea hayo alio yaongea kwenye chombo cha UMMA kwa manufaa ya waliomtuma?

NIKO NJIA PANDA SIJUI PA KWENDA NISAIDIENI WANA JAMVI :A S confused:
 
watu tunawakataa viongozi tusio wataka kwa kura zetu, na NEC inawarudisha kwa hujuma na wizi! Lol nchi hii itaripuka muda si mrefu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom