Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,900
ukienda na mwili wako mdogo unaambiwa mwanafunzi kasome khiii
Hovyo sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukienda na mwili wako mdogo unaambiwa mwanafunzi kasome khiii
Aliruhusiwa baada ya kutoa kibunda..
Ina maana ile club imekufa mkuu?
mbona mimi ni mfupi na silalamikiWakuu Weki Iendelee.
Kumekuwa na Malalamiko Mengi sana Dhidi ya Wamiliki Wa Bar Ya Bambalaga iliyoko Dodoma Kwamba Wanawabagua bahadhi Ya Wateja.
Either Kwa Kuangalia miili Au Personality ya Mtu Husika Wanakuzuia Kuingia ndani Na Mabaunsa Wa Hyo Bar.
Kuna Siku Nilishuhudia Jamaa amekuja na Demu Wake ni mfupi na ana Mwili mdgo Mshikaji akaruhusiwa Kuingia Ndani Ila Demu Wake wakamkataza na Wakamwambia ww MwanFunzi Nenda Kalale. Huu ni udhalilishaji Sana.
Nadhani Wamiliki Wa Bar Husika Waliangalie hili Maana uhai Wa Bar ni wateja Haujalishi ni Aina Gani Ya Mteja.
Karibuni Viwanja vya Ikulu, Hafla Ya Chief Hangaya Akiwapongeza Wachezaji Wa Team Ya Taifa Ya Watu Wenye UlemavuView attachment 2035842
Ninyi mpo karibu na jua?Kwani mnachaji solar panel?Hamjaonewa ...jua haliwachomi kama sisi.
Kumbe uko Dom?Nilivo mvivu kuzurura sasa...
Na hata hapo pia waliwazuia?Iko kule capital mall
Tena ukienda na Hubby ndo kabisaaa wanaweza wasije hapo kwny meza yenu. Na wakija wanafanya kama wamelazimishwa mr ndo anawakomeshaga ikibaki hata mia tano atadai mpk wampe.Kiukweli Dodoma kwetu hapa customer care ni mbovu mnoo sio huko bar, lounge, Hotel, cafe kote huduma ni mbovu..
Kama hapo bambalanga mameneja ndani wanakuforce ununue vinywaji vingi wakati nachagua ninywe kiasi gani..
Kuna siku nilikuwa sehemu moja hapa nikaagiza msosi dakika 40 ndio wakaleta na wakati wanadai wana fast food..!
Waiters wenyewe wamekariri matajiri fulani ndio wanahudumia vizuri. Ukiwa wewe hakujui anakupita kama hakuoni..
Mimi huwa nawanyandua tu ndio utapata service vizuri,
Dawa ndo hiyo kuwa kauzu, huduma wakupe mbovu na bado uwaachie tip hata ya 200 ..! Itakuwa ujinga dai..Tena ukienda na Hubby ndo kabisaaa wanaweza wasije hapo kwny meza yenu. Na wakija wanafanya kama wamelazimishwa mr ndo anawakomeshaga ikibaki hata mia tano atadai mpk wampe.
Mhh mkuu au labda unapenda flavour fulani mbona naona wanajitahidi.Dj's wao wabovu sana, watafute dj's hata dar
Mkishawajua mnawakwepa tuuDawa ndo hiyo kuwa kauzu, huduma wakupe mbovu na bado uwaachie tip hata ya 200 ..! Itakuwa ujinga dai..
Hao wanataka faida ya haraka. Mfano wanapoingiza madada poa wao ndani ili tununue, sasa mmeo akija na wewe atanunuaje? Si wanapata hasara?
Pia akiwa na wewe atapunguza matumizi tofauti na akienda mwenyewe atawanunulia wale Dada poa mpka basi..
Lakini hivi wanavyofanya sio powa Mimi nilijua pale capital watakuwa na huduma nzuri kumbe..
Tatizo wanachungulia watu usoni na kusema ni watoto wakati wengine wameolewa tayari na wana watotoHahahaaaa...
Ngoja niwasiliane na bwana mdogo FM nimfikishie malalamiko yenu.
Ila nanyi wateja muwe na uelewa,pale sio "Buza kwa Mpalange".
Nendeni kiheshima na watu wa heshima wanaostahili.
Saivi nimeona samak moro amerudi kwa kasi huku starpark akifulia. Hizi biashara aijui zina siri gn aseeFrank Nilishamwambia Sana Hili Jambo Ila naona Kama Bado ana kibuli cha kuonekana ana Sehemu Nzuri na classic, Haya mambo ndio yalimfanya samaki² Moro watu wakamkimbilia Star park Kwa huo undava wao.
KhaaaaPana ujinga mwingi mno.... Pakishajaa wahudunu wanahudunia kwa cash na ukiwapa cash wanatoroka humuobi tena sehemu ulipo. Juzi nilimkaba mmoja alichukua 20 akatoweka hamadi natoka chooni nikamuona anaenda jikoni nilimletea noma bahati nzuri kuna baunsa mmoja aliona wakati Nampa pesa akamg'ang'ania akarudisha otherwise alikua ameshanikana.