Malalamiko: Tigo Tanzania

tafakari kali

JF-Expert Member
Oct 16, 2012
211
39
Tarehe 27/11/2014 niliweka vocha ya sh 3500 kwenye simu na kisha kujiunga na kifurushi cha wiki cha 3500 lakini paka leo hawajanipa huduma hiyo nimewapigia mara 2 wakiniambia subiri kidogo wanakata simu baada ya hapo napiga simu nasubiliwa kuunganishwa kwa muda wa dk 19 na sek 38 na bila kuunganishwa.

Nawashahuri wadau kuweni makin na mtandao huu. Ila hii pesa lazima warudishe hata kama itanigharimu zaidi.
 
Bado makampuni ya simu, wanatuescrow kushoto kulia mungu tu ndio anajua. Sijui tutampataje kafulila kwa ajili ya simu!
 
Ni kweli kabisa hata juzi ya 28th walitukosesha mawasiliano ya enter net then wakaja na sty ya kuomba samahani lkn unapewa mb za 24hrs but chaajabu ukikubali unaambiwa we can charge from your tigo account
 
Ndugu zangu wana JamiiForums,

Tarehe 27/11/2014 niliweka vocha ya sh 3500 kwenye simu na kisha kujiunga na kifurushi cha wiki cha 3500 lakini paka leo hawajanipa huduma hiyo nimewapigia mara 2 wakiniambia subiri kidogo wanakata simu baada ya hapo napiga simu nasubiliwa kuunganishwa kwa muda wa dk 19 na sek 38 na bila kuunganishwae.

Nahisi hawa jamaa wa Tigo kuna kamchezo wanacheza kawizi wizi, nilishawahi kusikia tabia yao hii kwa mtu mwingine sasa imenitokea mwenyewe, sisemi muache kutumia tigo la hasha ila Nawashahuri wadau kuweni makini na mtandao huu. Hii pesa lazima warudishe hata kama itanigharimu zaidi.
 
Tigo ni wezi kabisa.

Serikali ipo inaangalia hivi vimitandao mchwala.

Leo wamenitumia 220 kama mkopo na kuniambia eti mtarejesha 250 nikiweka salio wakati hata sijaomba huo mkopo wao.

Hii nchi imejaa escrow kila kona.

Ila kuna siku haya yote yatakuwa historia maana wananchi wameshachoka.

Mtandao wenye kuaminika hapa tanzania ni airtel tu, hayo mengine ni uchafu tu.
 
Unachoongea ni sahihi kabisa. Mimi nilinunua kifurushi cha internet cha mwezi 20,000/=GB 35 lakini internet yao imekuwa low au hakuna kabisa. Sehemu nilipo ni Mabibo hostel wengi wanasema maybe kwa kuwa watumiaji ni wengi. Sasa kama kampuni wanatakiwa wajue spatio-problems ya huduma zao!
 
Eti mimi naambiwa siwezi kujiunga na kifurushi cha Gb 20 eti kisa namba yangu hijateuliwa, yaaani huduma niitake mie halafu uniambie mpaka hapo nitakapo subiri uteue namba yangu nimeshawahama siku nyingi sana.
 
Ha! Ha! Haaaa!!! Yaani ni kama kuuziwa mche wa sabuni ukidhani twanga pepeta , pole sana kijana .
 
Naomba mods muiache hii, li itumike kusolicit maoni ya wananchi kuhusu huduma za Tigo. Mimi binafsi ni muhanga wa vitendo hivi vya wizi kupitia mtandao wa tigo..miezi miwili iliyopita sikunmoja niliweka vocha ya shilingi elfu 10 kupitia maxmalipo.

Hapo hapo baada ya vocha kuingia nikakatwa shilingi elfu tano, zikabaki elfu tano, nikaamua kuunfa kifurushi cha wiki. Kabla sijaoiga nikatumiwa meseji kwamva kifurushi changu kimeisha, nikapeleka lalamikoblangu oale Tigo ktk ofis zilizoko palm residency pale Ocean Road nikarecord malalamiko yangu, kwa bahati nzuri nina copy ta malalamiko hayo, lakini hadi leo hiyo pesa yangu haijawahi kurudi.

Naamini mauza uza haya ya kipuuzi na kijinai hayatukuta sisi peke yetu...mamilioni ya pesa yanaibwa kila siku kuputia mitandao ya dimu.

Ni wakati muafaka sasa kwa bunge kuingilia suala hili. Wasiwasi wangu, inawezekana kuna syndicate kubwa ambayo inawezekana inawahusisha wafanyakazi umma na mamlaka wanazifanyia kazi, wanasiasa nk. Ajbayo inafacilitate upigaji wa pesa kupitia mitandao.

tuliombe bunge lianzishe uchunguzi,,kinyume chake tunatengeneza utamaduni wa watu kufanya wizi tena mkubwa bila kuwajibika
 
Mmeshindwa kukomaa kuhusu mabilioni ya escrow mnakuja kudai elfu 3000 kama vipi mpigie simu ruge au chenge akupunguzie.tuanze na ishu kubwakubwa hawa wadogo tutawamudu wats 3500 mbele ya 306 bilioni.
 
Ni kweli hata mimi ni muhanga wa tatizo hili pia! Siku ya tarehe 28 nilinunua vocha ya buku, na nikajiunga, ila ndani ya dakika 1 tu oesa yote hakuna!

Nafikiri hawa jamaa system yao huwa wanrekebisha kuwaibia wateja wao kwa muda furani.

Sent from my iPad using JamiiForums.
 
Na internet ya tigo hapa Dodoma ni kero sana.Kwa mfano,ukiwa baadhi ya maeneo ya Kikuyu hasa St.John's university ndani ya chuo,net ya tigo ni ya hovyo mno ni kero kwakweli.

Mjirekebishe.
 
Duh! Nchi hii sheria taratibu kanuni maadili na misamiati inayofanana na hiyo ilishanyofolewa kwenye kamusi.
 
Tigo ni wezi kabisa.

Serikali ipo inaangalia hivi vimitandao mchwala.

Leo wamenitumia 220 kama mkopo na kuniambia eti mtarejesha 250 nikiweka salio wakati hata sijaomba huo mkopo wao.

Hii nchi imejaa escrow kila kona.

Ila kuna siku haya yote yatakuwa historia maana wananchi wameshachoka.

Mtandao wenye kuaminika hapa tanzania ni airtel tu, hayo mengine ni uchafu tu.
Hamna mtandao wa kuaminika ndugu, yote wizi wizi na chenga tu.
 
Naomba mods muiache hii, li itumike kusolicit maoni ya wananchi kuhusu huduma za Tigo. Mimi binafsi ni muhanga wa vitendo hivi vya wizi kupitia mtandao wa tigo..miezi miwili iliyopita sikunmoja niliweka vocha ya shilingi elfu 10 kupitia maxmalipo.

Hapo hapo baada ya vocha kuingia nikakatwa shilingi elfu tano, zikabaki elfu tano, nikaamua kuunfa kifurushi cha wiki. Kabla sijaoiga nikatumiwa meseji kwamva kifurushi changu kimeisha, nikapeleka lalamikoblangu oale Tigo ktk ofis zilizoko palm residency pale Ocean Road nikarecord malalamiko yangu, kwa bahati nzuri nina copy ta malalamiko hayo, lakini hadi leo hiyo pesa yangu haijawahi kurudi.

Naamini mauza uza haya ya kipuuzi na kijinai hayatukuta sisi peke yetu...mamilioni ya pesa yanaibwa kila siku kuputia mitandao ya dimu.

Ni wakati muafaka sasa kwa bunge kuingilia suala hili. Wasiwasi wangu, inawezekana kuna syndicate kubwa ambayo inawezekana inawahusisha wafanyakazi umma na mamlaka wanazifanyia kazi, wanasiasa nk. Ajbayo inafacilitate upigaji wa pesa kupitia mitandao.

tuliombe bunge lianzishe uchunguzi,,kinyume chake tunatengeneza utamaduni wa watu kufanya wizi tena mkubwa bila kuwajibika
Hapo itakuwa wanaccm wanatafuta mashiko wa kampeni.
 
Ndugu zangu wana JamiiForums,

Tarehe 27/11/2014 niliweka vocha ya sh 3500 kwenye simu na kisha kujiunga na kifurushi cha wiki cha 3500 lakini paka leo hawajanipa huduma hiyo nimewapigia mara 2 wakiniambia subiri kidogo wanakata simu baada ya hapo napiga simu nasubiliwa kuunganishwa kwa muda wa dk 19 na sek 38 na bila kuunganishwae.

Nahisi hawa jamaa wa Tigo kuna kamchezo wanacheza kawizi wizi, nilishawahi kusikia tabia yao hii kwa mtu mwingine sasa imenitokea mwenyewe, sisemi muache kutumia tigo la hasha ila Nawashahuri wadau kuweni makini na mtandao huu. Hii pesa lazima warudishe hata kama itanigharimu zaidi.

Kama unafikiri hawa wana kuibia jaribu Smart huone moto wake. Niliweka sh 10,000/ikakatwa elfu nane kwa mkupuo. nikarudia kuweka elfu kumi nikakatwa nne. Nikazila. Haya mambo ya ESCROW yamefanya niirudie baada ya mtandao niliokuwa natumia kusumbua. Nilipoweka elfu tano hapohapo nikachinjwa 2200. Nilipowauliza wakanambia nimetumia kwenye internet, ilibidi nicheke tu. Ila internet yao ni za fastest.
 
mmeshindwa kukomaa kuhusu mabilioni ya escrow mnakuja kudai elfu 3000 kama vipi mpigie simu ruge au chenge akupunguzie.tuanze na ishu kubwakubwa hawa wadogo tutawamudu wats 3500 mbele ya 306 bilioni
Kila tu na evel yake, acha sisi tunaoibiwa tulalamike, 2000 ni nyingi

tiGo ni wezi hasa mm nimeachana nao katika mtandao kwani nimeingiza zaidi ya hizo 2,000 na jana wakaniambia wamenipa 100Mb za bure nizitumie ndani ya masaa 24. Nilipojaribu kuingia tu nikajibiwa hakuna salio na hata mtandao hakuna kabisa. Tigo acheni wizi
 
Ndugu zangu wana JamiiForums,

Tarehe 27/11/2014 niliweka vocha ya sh 3500 kwenye simu na kisha kujiunga na kifurushi cha wiki cha 3500 lakini paka leo hawajanipa huduma hiyo nimewapigia mara 2 wakiniambia subiri kidogo wanakata simu baada ya hapo napiga simu nasubiliwa kuunganishwa kwa muda wa dk 19 na sek 38 na bila kuunganishwae.

Nahisi hawa jamaa wa Tigo kuna kamchezo wanacheza kawizi wizi, nilishawahi kusikia tabia yao hii kwa mtu mwingine sasa imenitokea mwenyewe, sisemi muache kutumia tigo la hasha ila Nawashahuri wadau kuweni makini na mtandao huu. Hii pesa lazima warudishe hata kama itanigharimu zaidi.

Serikali hii yaani hadi iwe escrow scandal ndo wanashughulikia tena kwa ubishi na kuitana tumbili.
 
tigo wapuuzi kweli kweli ukiwa udom humanity university promotion haipatikani mtandao wa ovyo ovyo huu
 
Back
Top Bottom