Ustadh tongwe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 584
- 1,522
Hivi ndugu zangu hivi hili tatizo ni kwangu tu au mpaka nyinyi mmelipata maana siku ya 4 sijapata token wala pesa hawataki kurudisha wamesema ndani ya masaa 24 watarudi pesa sasa hv masaa 96 hila vodacom umeme unanunulika