Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

Niliwahi kufanya utafiti nakupa hiyo kaa mda mrefu bila kutumia vifurushi vyao mfano anza na mtandao mmoja tigo au voda bila kununua vifurushi japo mwezi unaruka siku tano unanunua cha jero tu utaona wanakubembeleza kwa bure mb au gb na vifurushi wanakuuzia bei chee mfano gb2 kwa buku tu, ukiwa unawaungisha sana tena kuanzia buku tatu tano ... Wanakuona wewe ni kigogo nakupa hilo
 
Terehe 23 hadi 27 January kifurushi cha 3000 unapata dakika 120 SMS 100 na GB1

Ila kuazia jana mambo yame badilika kufurishi cha 5000 ndo unapata kama hapo juu, na cha 3000 imekuwa vichekesho kwa kweli dakika 100 MB 500 sijui na SMS ngapi.

Kweli number lazima tuisome kwenye nchi ya kijani kitupu.

Mitano tena

View attachment 1688753
Nataka niachane nao rasmi
 
Nna line ya Tigo na Voda tu.

Voda kwa ajili ya mihamala kupokea simu na text pia


Ila Tigo ndo nanunua vifurushi na huduma zote
 
Nna line ya Tigo na Voda tu.

Voda kwa ajili ya mihamala kupokea simu na text pia


Ila Tigo ndo nanunua vifurushi na huduma zote
Upo kama mimi voda siitumiagi kabisa hata menue yao nimesahau inafananaje
Line ya tigo ndio natumia kwenye biashara cos na deliver products hadi kwa mteja, sasa toka jana nimeshidwa kununua kifurushi cha kupiga ghali sana
Nchi hii, mitano tena
 
Niliwahi kufanya utafiti nakupa hiyo kaa mda mrefu bila kutumia vifurushi vyao mfano anza na mtandao mmoja tigo au voda bila kununua vifurushi japo mwezi unaruka siku tano unanunua cha jero tu utaona wanakubembeleza kwa bure mb au gb na vifurushi wanakuuzia bei chee mfano gb2 kwa buku tu, ukiwa unawaungisha sana tena kuanzia buku tatu tano ... Wanakuona wewe ni kigogo nakupa hilo
Kweli kabisa mkuu.
Wana tabia ya ajabu sana wakiona wewe ni mteja wa kudumu Na upo active sana kwenye ununuaji wana kupandishia gharana hawa jamaa.
Mimi ninazo tigo Na voda nakumbuka kuna kipindi niliipotezea voda kabisa nikawa nafumia tigo walikuaa Na bundles nzuri sana with time wakanibadilikia vifurushi vikapanda ghafla.

Nikaswitch to voda nao wakawa Na vifurushi vizuri ila now its been three weeks since wamenibadilikia nao.

Kwa sisi ambao tunatumia internet heavily wanatuumiza sana.
Yani bora wakaze dk Na SMS sio MB aisee wanatunyonga sana.
 
Kweli kabisa mkuu.
Wana tabia ya ajabu sana wakiona wewe ni mteja wa kudumu Na upo active sana kwenye ununuaji wana kupandishia gharana hawa jamaa.
Mimi ninazo tigo Na voda nakumbuka kuna kipindi niliipotezea voda kabisa nikawa nafumia tigo walikuaa Na bundles nzuri sana with time wakanibadilikia vifurushi vikapanda ghafla.

Nikaswitch to voda nao wakawa Na vifurushi vizuri ila now its been three weeks since wamenibadilikia nao.

Kwa sisi ambao tunatumia internet heavily wanatuumiza sana.
Yani bora wakaze dk Na SMS sio MB aisee wanatunyonga sana.
Hahahahah kwani wao wajinga hadi wakomae na dakika na sms! Kila mtu ni mtumiaji wa mtandao nikisema hivyo namaanaisha wamiliki wa smartphone by 70% wanatumia mitandao ambayo bila bundle za internet ni mtihani.

So huko ndio kwenye mwanya mkubwa wa mapato hawawezi acha. Halafu internet is very addicting.
 
MALALAMIKO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA WADAU:
Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi Wananchi wanyonge.


=====

---

---


---

---

---

---


=====

WADAU WENYE MTAZAMO TOFAUTI:

---

---

---


pia soma >
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora sasa hivi
 
Na vifurushi vyao vinafanana au ni tofauti...? Na je, hawajaweka mfumo wa ku-switch kama uko na Tigo uka-switch to Zantel is that possible...?
Wamei dilute imekuwa kitu kimoja. Codes za vifurushi ndio ziko tofauti
 
Back
Top Bottom