Malalamiko kwa Shule Binafsi: Wizara ya Elimu na Tamisemi waliangalie na kulitolea muongozo

Mkuu, utafiti unaonesha muda wa masaa nane hautoshi kuifikisha nchi kama Tanzania kwenye nchi ya asali na maziwa.

Tunahitaji sana kufanya kazi kwa muda zaidi ya huu wa sasa.

Turudi kwenye mada yako.

Kwanza jambo hili hujalifanyia utafiti wa kutosha, matokeo yake umeleta hoja ambayo kimsingi inachafua huduma nzima ya Elimu hasa kwa shule binafsi. Pengine na wewe unaweza kuwa unasadifu mapungufu ya mfumo wetu wa Elimu. (kwa kipindi fulani kama taifa tumekuwa na tabia ya kukurupuka. Watoa maoni tunakurupka, na viongozi wanakurupukia maoni, matokeo yake yanatolewa maamuzi mabaya ambayo hayana tija).

Huu utaratibu wa kuwabakiza watoto wa madarasa ya mitihani shuleni ni utaratibu ambao kwa miaka ya hivi karibuni unaratibiwa na mamlaka za elimu. Uratibu na utekelezaji wake hutofautiana kutoka sehemu moja hadi nyingine kulingana na malengo. Na kwa bahati nzuri au mbaya siku hizi shule zote za serikali na private zinalazimika kuwabakiza watoto wa madarasa ya nyakati za likizo kwa maelekezo ya viongozi. Na hata utoaji wa likizo kwa walimu wa serikali halmashauri unazingatia majukumu ya walimu wakati wa likizo. (Yaani walimu wengine wanapewa likizo mwezi June wengine wanapewa mwezi December) kwa hiyo baadhi ya Halmashauri walimu watakaobaki June watafundisha watoto darasa la saba na la nne. Wale watakaobaki Dec watafundisha darasa la sita na la tatu. Au baadhi ya Halmashauri katika mgawanyo wa vipindi shuleni wanazingatia mwaka huu usipofundisha darasa la mitihani mwaka kesho lazima upewe ili kubalance likizo. n.k n.k YAANI KWA KIFUPI SUALA LA ELIMU LIKO VERY COMPLICATED.

HOJA YAKO YA KUHUSU BINADAMU WANATAKIWA KUPUMZIKA.

Uzoefu wa huduma ya Elimu unaonesha kuwa mara nyingi watoto wanaporudi nyumbani bado wazazi wengi huwatafutia tuition. Kwa hiyo hata ile dhana ya KUPUMZIKA nayo inakosekana.
Pia Wataalam kule shuleni nako huwa wana mitazamo tofauti na tuition.

A. Shule nyingi huamini watoto wengi hujiingiza kwenye makundi yasiyofaa kupitia hizi tuition.

B. Wakati mwingine(mara nyingi kwa watoto wa shule za msingi), tuition pia huleta confusion kwa watoto kati ya kile kilichofundishwa shuleni na tuition. Walimu wetu wa tuition hawafanyi pre assessment kwa mtoto kabla ya kufundisha.

C. UONGOZI WA SHULE NA WALIMU NAO WANAZITAMANI HIZO HELA ZA TUITION 🤑🤑😋😋. KWA HIYO WANAAMUA KUBUNI MBWINU YA KIHALALI YA KUZIPATA HIZO SHEKELI😂😂😂.

MORE IMPORTANTLY UZOEFU UNAONESHA WATOTO WETU WANAPORUDI SHULENI BAADA YA LIKIZO WANAKUWA WAMESAHA. YAANI WALIMU WANAANZA UPYAAAA (Hili angalau linatatulika) 😁😁
KUHUSU UTEKELEZAJI WA MTAALA.
Hili ni suala ambalo wengi tunajitia kulijua ila hata hatujui Changamoto za utekelezaji wa mtaala.
Nimeona mdau mmoja hapo juu amesema walimu watumie muda vizuri😅😅. Ni rahisi kusema hivyo.

Mimi nataka nitoe mfano hai.

Mwaka wa masomo kwa shule za msingi una siku kati ya 192 hadi 197. Mwaka huu wa 2021 una siku 192.

Mihtasari ya masomo ya darasa la saba ina uzito sawa au kuzidi ile ya darasa la sita. LAKINI WAKATI MIHTASARI YA DARASA LA SITA IKIWA NA NAFASI YA KUTEKELEZWA KWA KWA SIKU 192-197 MIHTASARI YA DARASA LA SABA INATAKIWA KUTEKELEZWA KWA SIKU CHACHE ZAIDI KWA SABABU HUWA WANAHITIMU MWEZI WA TISA. (Hali hiyo ni kwa madarasa yote ya mitihani. Mitihani huwa inafanyika mapema).

MTOA MADA NIKUKUMBUSHE JAMBO:
Wakati wewe unalalamikia hilo, wazazi wengi ndio wanataka watoto waspend muda mwingi shuleni.

USHAURI WANGU KWA MTOA MADA.
Jitahidi kuhudhuria vikao vya wazazi ili utoe maoni yako, Pia usikilize hoja za uongozi wa shule yako. Kamati ya shule na Mkutano wa wazazi ndio chombo kikuu cha maamuzi ya uendedhaji wa shule. Kuhudhuria na kutoa maoni yako ndio njia sahihi ya kutatua na kujenga shule bora kwa watoto wetu. SHULE NI MALI YA WATOTO WETU AMBAO SISI NDIO WASIMAMIZI WAO.

PIA MTOA MADA USIWE MBINAFSI SANA. USIMHURUMIE MWANAO TU WAHURUMIE NA WALIMU WA MWANAO. HAWA WALIMU NAO WANAHITAJI MAPUMZIKO.

Mambo ni mengi nimechoka kuandika.
Nakuunga mkono kwa asilimia 100.Mfumo wetu wa Elimu unaangalia mtu aliyefaulu mtihani na si vinginevyo.Tena ufaulu wa A kwa wanafunzi wote.Hata mzazi anapotaka kupeleka mtoto shule haangalii shule inayotoa likizo yote kwa watoto bali inayofaulisha watoto wengi kwenye mitihani.
 
Mkuu, utafiti unaonesha muda wa masaa nane hautoshi kuifikisha nchi kama Tanzania kwenye nchi ya asali na maziwa.

Tunahitaji sana kufanya kazi kwa muda zaidi ya huu wa sasa.

Turudi kwenye mada yako.

Kwanza jambo hili hujalifanyia utafiti wa kutosha, matokeo yake umeleta hoja ambayo kimsingi inachafua huduma nzima ya Elimu hasa kwa shule binafsi. Pengine na wewe unaweza kuwa unasadifu mapungufu ya mfumo wetu wa Elimu. (kwa kipindi fulani kama taifa tumekuwa na tabia ya kukurupuka. Watoa maoni tunakurupka, na viongozi wanakurupukia maoni, matokeo yake yanatolewa maamuzi mabaya ambayo hayana tija).

Huu utaratibu wa kuwabakiza watoto wa madarasa ya mitihani shuleni ni utaratibu ambao kwa miaka ya hivi karibuni unaratibiwa na mamlaka za elimu. Uratibu na utekelezaji wake hutofautiana kutoka sehemu moja hadi nyingine kulingana na malengo. Na kwa bahati nzuri au mbaya siku hizi shule zote za serikali na private zinalazimika kuwabakiza watoto wa madarasa ya nyakati za likizo kwa maelekezo ya viongozi. Na hata utoaji wa likizo kwa walimu wa serikali halmashauri unazingatia majukumu ya walimu wakati wa likizo. (Yaani walimu wengine wanapewa likizo mwezi June wengine wanapewa mwezi December) kwa hiyo baadhi ya Halmashauri walimu watakaobaki June watafundisha watoto darasa la saba na la nne. Wale watakaobaki Dec watafundisha darasa la sita na la tatu. Au baadhi ya Halmashauri katika mgawanyo wa vipindi shuleni wanazingatia mwaka huu usipofundisha darasa la mitihani mwaka kesho lazima upewe ili kubalance likizo. n.k n.k YAANI KWA KIFUPI SUALA LA ELIMU LIKO VERY COMPLICATED.

HOJA YAKO YA KUHUSU BINADAMU WANATAKIWA KUPUMZIKA.

Uzoefu wa huduma ya Elimu unaonesha kuwa mara nyingi watoto wanaporudi nyumbani bado wazazi wengi huwatafutia tuition. Kwa hiyo hata ile dhana ya KUPUMZIKA nayo inakosekana.
Pia Wataalam kule shuleni nako huwa wana mitazamo tofauti na tuition.

A. Shule nyingi huamini watoto wengi hujiingiza kwenye makundi yasiyofaa kupitia hizi tuition.

B. Wakati mwingine(mara nyingi kwa watoto wa shule za msingi), tuition pia huleta confusion kwa watoto kati ya kile kilichofundishwa shuleni na tuition. Walimu wetu wa tuition hawafanyi pre assessment kwa mtoto kabla ya kufundisha.

C. UONGOZI WA SHULE NA WALIMU NAO WANAZITAMANI HIZO HELA ZA TUITION 🤑🤑😋😋. KWA HIYO WANAAMUA KUBUNI MBWINU YA KIHALALI YA KUZIPATA HIZO SHEKELI😂😂😂.

MORE IMPORTANTLY UZOEFU UNAONESHA WATOTO WETU WANAPORUDI SHULENI BAADA YA LIKIZO WANAKUWA WAMESAHA. YAANI WALIMU WANAANZA UPYAAAA (Hili angalau linatatulika) 😁😁
KUHUSU UTEKELEZAJI WA MTAALA.
Hili ni suala ambalo wengi tunajitia kulijua ila hata hatujui Changamoto za utekelezaji wa mtaala.
Nimeona mdau mmoja hapo juu amesema walimu watumie muda vizuri😅😅. Ni rahisi kusema hivyo.

Mimi nataka nitoe mfano hai.

Mwaka wa masomo kwa shule za msingi una siku kati ya 192 hadi 197. Mwaka huu wa 2021 una siku 192.

Mihtasari ya masomo ya darasa la saba ina uzito sawa au kuzidi ile ya darasa la sita. LAKINI WAKATI MIHTASARI YA DARASA LA SITA IKIWA NA NAFASI YA KUTEKELEZWA KWA KWA SIKU 192-197 MIHTASARI YA DARASA LA SABA INATAKIWA KUTEKELEZWA KWA SIKU CHACHE ZAIDI KWA SABABU HUWA WANAHITIMU MWEZI WA TISA. (Hali hiyo ni kwa madarasa yote ya mitihani. Mitihani huwa inafanyika mapema).

MTOA MADA NIKUKUMBUSHE JAMBO:
Wakati wewe unalalamikia hilo, wazazi wengi ndio wanataka watoto waspend muda mwingi shuleni.

USHAURI WANGU KWA MTOA MADA.
Jitahidi kuhudhuria vikao vya wazazi ili utoe maoni yako, Pia usikilize hoja za uongozi wa shule yako. Kamati ya shule na Mkutano wa wazazi ndio chombo kikuu cha maamuzi ya uendedhaji wa shule. Kuhudhuria na kutoa maoni yako ndio njia sahihi ya kutatua na kujenga shule bora kwa watoto wetu. SHULE NI MALI YA WATOTO WETU AMBAO SISI NDIO WASIMAMIZI WAO.

PIA MTOA MADA USIWE MBINAFSI SANA. USIMHURUMIE MWANAO TU WAHURUMIE NA WALIMU WA MWANAO. HAWA WALIMU NAO WANAHITAJI MAPUMZIKO.

Mambo ni mengi nimechoka kuandika.
Nakuunga mkono kwa asilimia 100.Mfumo wetu wa Elimu unaangalia mtu aliyefaulu mtihani na si vinginevyo.Tena ufaulu wa A kwa wanafunzi wote.Hata mzazi anapotaka kupeleka mtoto shule haangalii shule inayotoa likizo yote kwa watoto bali inayofaulisha watoto wengi kwenye mitihani.
 
Hivi kwani darasa LA NNE kuna mtihani bado.unaweza kunipa mfano WA mtoto aliyefeli mtihani huo.
Hapa tusidanganyane.darasa la NNE hakuna mtihani Bali ni upimaji.wote ni kufagia waende mbele.kila aanzaye sharti ahitimu LA saba.no relegation.enzi zetu ndo tulikuwa tunachujwa sio Leo.

Mtoto WA standard four ni mdogo mno.ana miaka 8.unamnyimaje likizo tena kwa upimaji (maana sio mtihan) usio na mchujo.
Maana Sera ni kwamba wote lazima wasongembele
 
Tatizo la Mtaala wetu ni mtambuka
Mnataka historia ya Tanzania ifundishwe kila mahali
Lazima uchague nini unakula nini hauli
Kila mwanasiasa akija anataka nae ufundishwe kila darasa
Hatutofika
 
Nimekusoma: Elimu kwenye taasisi binafsi ni biashara! Hii ndio hoja yangu haswa. Hawa wafanya biashara wanapaswa wawe regulated kama biashara nyingine. Kutaka sifa kwao kusiwe kigezo cha kuwatesa watoto kwa kuwa overload. Hii nchi sio shamba la bibi kwamba yeyote anayewrza kujifanyia atakavyo bila kufuata miongozo iliyowekwa.

Nashukuru umesisitiza hapo mwishoni kwamba hawa wanavunja kanuni na raratibu za wizara!

Swala la kupeleka watoto shule za serikali kama naona private hakufai ni hoja ya ajabu kidogo. Hiki kihoja hakina tofauti na kipindi kile mtu analalamika mshahara mdogo mwendazake anajibu kama mshahara mdogo acha kazi! Is this the way to go? Kwamba huna haki ya kulalamika kwenye jambo unaloona halipo sawa? Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya kubakisha watoto shuleni mwezi wa sita na ufaulu wao! Kama upo ni very insignificant! Kana upo naomba huo utafiti unaoonesha hilo!

Nimenote kwamba waalimu wengi wa private wamevamia huu uzi kuupinga kwacsababu zilizo wazi!
Hawa ni atlas pamoja na agizo la serikali Watoto kutobaki shuleni kipindi cha likizo wao wamepuuza,yan mock iwepo may 2022 wao wazuie watoto dec 2021 kuanzia jan 2022 hadi may ina maana muda auwatoshi wa kuwaandaa watoto,kama sio wizi kitu gani!

IMG-20211111-WA0000.jpg
 
Nani anaelewa neno "Kubundi"?
Hata kama sio Waalimu, wengi wa wanafunzi wenyewe wanajiongeza.
Hivi kweli msaka maisha unaweza ukalala saa nne usiku mpaka kesho? Una kichwa cha aina gani? (anyway, wapo wachache ambao wanaitwa 'giniasi')
 
Tunaomba serikali na hasa Wizara ya Elimu na ike ya Tamisemi waliangalie sana hili na kulitolea muongozo mapema.

Malalamiko yenyewe ni kwamba kumekuwa na utaratibu kwa shule za binafsi hasa zile za English Medium kuzuia wanafunzi wa madarasa ya mitihani kwenda likizo hasa ya mwezi wa sita.

Inajulikana kwamba utaratibu wa likizo upo duniani kote kwa binadamu wote wanaofanya kazi wakiwepo wanafunzi. Na hili linafanyika baada tafiti kuonesha kwamba binadamu hawawezi kufanya kazi mfululizo bila kupumzika kwani hilo linaadhiri ufanisi wao katika kazi.

Sasa inashangaza kuona shule hizi za msingi za binafsi zinawanyima wanafunzi wa darasa la nne na la sita kwenda mapumziko ya mwezi mmoja eti kisa wanawaandaa kwa mitihani ijayo.

Hawa ni watoto wadogo, wanasoma mfulilizo bila kupumzika kisa mitihani kweli hili ni sawa? Kaka na dada zao wa Form Two na Form Four wana mitihani mwishoni mwa mwaka huu lakini wapo likizo. Sasa iweje hawa wa form two na darasa la sita? Ni nini hasa so special kwa hawa wanafunzi wa English Medium schools.

Je, ni kweli kwamba muda uliopo hautoshi kuwaandaa hawa watoto kufanya vizuri kwenye mitihani yao?

Hao watalaam wa elimu na wanasaikolojia waliopendekeza utaratibu huo na ukakubalika pengi walikosea?

Isitoshe, kwa sasa kuna waraka wa serikali unaokataza shule za serikali kutofunga shule au kuongeza muda wa masomo kwa wanafunzi bila ruhusa ya mkurugenzi/serikali. Tena yamewekwa masharti na mambo ya kuzingatia kama shule itataka kutumia muda wa mapumziko wa wanafunzi kufundisha.

Je, Shule hizi za private hazifungwi na taratibu na secular hizo za serikali? Wanaruhusiwa kufanya mambo wanavyoona tu wao? Kiholela.

Tunaomba serikali na bunge waliangalie hili na liwekewe utaratibu mzuri kwa sababu linaleta usumbufu mkubwa kwa wazazi na kunyima haki ya watoto kupumzika "from daily routines za shule!"
Mkuu si ondoa tu mtoto wako kama anateseka peleka shule za serikali. Unafikiri ufaulu mzuri wa shule binafsi unakuja kilele mama
 
Mkuu si ondoa tu mtoto wako kama anateseka peleka shule za serikali. Unafikiri ufaulu mzuri wa shule binafsi unakuja kilele mama
Wewe jinga watu tumesomesha hapo kuanzia nuresry till now Watoto anaingia form 4,na mwingine wiki hii anapiga paper la kumaliza form 4,kinachopingwa hapo ni huo wizi wa wazi anaotaka kutuibia Wazazi,hiyo laki na 35 kwa Watoto 75 jamaa kishapiga hesabu ana mln 10 na kitu,hizo wiki 2 atumii zaidi ya mln 2 kuwahudumia hao Watoto,na last year Watoto waliobakishwa shuleni kimtindo huu awakusomeshwa zaidi ya kupewa notice maana awatokua na walimu,hiyo laki 35 ni bora nimchukue Mwanangu nimlipie tuition ya 60 kipindi akiwa nyumbani kuliko kubaki shule,binafsi mwaka huu simuachi Mwanangu pale japo kwa mujibu wa mkuu wa shule ni lazima Mtoto abaki,Mwanangu abaki na nataka nione atakavyokosa namba mwakani kosa la kutobaki shule dec
 
Back
Top Bottom