Malalamiko kuhusu uongozi wa NSSF

Kwa siku ya leo nimeona makala mbili tofauti toka kwa wanaosema ni wafanyakazi wa NSSF. Moja ya makala haya yanampongeza sana Bw. Erio ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo na hii hapo juu inamtuhumu kwa makosa kadhaa na hivyo kumlaumu kwa kuliendesha Shirika hilo vibaya. Naona kuna jambo linafukuta ndani ya Shirika na hivyo ni vyema Viongozi husika wakafuatilia ukweli kuhusiana na jambo hili.
 
Kwa siku ya leo nimeona makala mbili tofauti toka kwa wanaosema ni wafanyakazi wa NSSF. Moja ya makala haya yanampongeza sana Bw. Eric ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo na hii hapo juu inamtuhumu kwa makosa kadhaa na hivyo kumlaumu kwa kuiendesha Shirika hilo vibaya. Naona kuna jambo linafukuta ndani ya Shirika na hivyo ni vyema Viongozi husika wakafuatilia ukweli kuhusiana na jambo hili.
Umesema vyema ipo shida huko Nssf,uzuri haya majukwaa wanapita watu mbalimbali kwa haraka wataanza kufatilia kwa ukaribu suala ili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alieharibu nssf ni yule aliekuwa anajenga misikiti kila palipo na jengo la shirika. nssf siyo nyumba ya ibada, ni shirika la umma. vijana wa kiislamu mlioajiriwa ndani ya shirika fanyeni kazi acheni hizi risala ndefu mnazoandikiwa na maimamu.
Siasa zimekua nyiingi baada ya kubanwa pabaya......fanyeni kazi kweli vijana utawala umebadilika..na ukiona usalama wanatumika ujue wametumwa na mkulu...siku hizi mh raisi haweki mtu sehem bila kuchunguza....tulieni dawa iwaingie vijana
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom