Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,764
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe kuna mengi sana nyuma ya pazia??ipo hivi, hao wahadhiri wa waislamu waliohamishwa walipaswa kufukuzwa kazi kabisaa na kufungwa jela na wala si kuhamishwa tuu kwani kosa walilofanya la kubadili matumizi ya ekari10 za eneo la chuo cha UDOM ( ambacho kimsingi eneo la serikali) na kulibadili kinyemela kwa ajili ya kujenga 'msikiti wa UDOM' bila kulishirikisha baraza la chuo UDOM ni kosa kubwa sanaa! ..........tena mkiendelea na uchochezi wenu tutafunguka kisawa sawa
Uzuri ndugu zetu waislamu huwa hawakubali kuonewa, hii tayari ishu haitaisha leoNanukuu:
" Sisi hatusemi kabisa kwamba uhamisho na uvunjaji wa Msikiti vilifanywa kwa sababu ya udini. Lakini kukosekana kwa umakini katika hatua hizo kunaweza kukatengeneza fursa ya dhana hiyo kupenya."
Mwisho wa kunukuu.
Naona awamu hii maustadhi mnatoa malalamiko yenu kwa lugha laini sana, iliyojaa unyenyekevu , adabu na ustaarabu mno.
Nafikiri mmesoma upepo mkaona aliyeko juu pale Jumba jeupe ni sampuli gani, mkikinukisha na yeye anakinukisha tena kwa risasi za moto kama uncle Ben wa Masasi alivyowafanya wapemba mwaka ule wa utawala wake.
Poleni sana aiseee.
Ila amri ikishatoka juu kushuka chini huwa hairudi tena juu ilikotoka.
Kumbe kuna mengi sana nyuma ya pazia??
Kwa nini viongozi wa dini wasiseme kweli tu, maana wenyewe daily wanahubiri kweli kwa waumini wao??
Kazi kweli kweliNanukuu:
" Sisi hatusemi kabisa kwamba uhamisho na uvunjaji wa Msikiti vilifanywa kwa sababu ya udini. Lakini kukosekana kwa umakini katika hatua hizo kunaweza kukatengeneza fursa ya dhana hiyo kupenya."
Mwisho wa kunukuu.
Naona awamu hii maustadhi mnatoa malalamiko yenu kwa lugha laini sana, iliyojaa unyenyekevu , adabu na ustaarabu mno.
Nafikiri mmesoma upepo mkaona aliyeko juu pale Jumba jeupe ni sampuli gani, mkikinukisha na yeye anakinukisha tena kwa risasi za moto kama uncle Ben wa Masasi alivyowafanya wapemba mwaka ule wa utawala wake.
Poleni sana aiseee.
Ila amri ikishatoka juu kushuka chini huwa hairudi tena juu ilikotoka.
Mbona document za kuruhusiwa wanazo.ipo hivi, hao wahadhiri wa waislamu waliohamishwa walipaswa kufukuzwa kazi kabisaa na kufungwa jela na wala si kuhamishwa tuu kwani kosa walilofanya la kubadili matumizi ya ekari10 za eneo la chuo cha UDOM ( ambacho kimsingi eneo la serikali) na kulibadili kinyemela kwa ajili ya kujenga 'msikiti wa UDOM' bila kulishirikisha baraza la chuo UDOM ni kosa kubwa sanaa! ..........tena mkiendelea na uchochezi wenu tutafunguka kisawa sawa
Mkuu tujulishe, walipewa hilo eneo kwa matumizi yapi?ipo hivi, hao wahadhiri wa waislamu waliohamishwa walipaswa kufukuzwa kazi kabisaa na kufungwa jela na wala si kuhamishwa tuu kwani kosa walilofanya la kubadili matumizi ya ekari10 za eneo la chuo cha UDOM ( ambacho kimsingi eneo la serikali) na kulibadili kinyemela kwa ajili ya kujenga 'msikiti wa UDOM' bila kulishirikisha baraza la chuo UDOM ni kosa kubwa sanaa! ..........tena mkiendelea na uchochezi wenu tutafunguka kisawa sawa
babaaa babaaaa fojaliiii babaaaa......wanakaaa watu2 na kuamua maamuzi ya barazaa! ndiyo maana nimekwambia busara ya hali ya juu imetumika apo ku-neutralize 'wizi' uliofanywa na hao 'wahadhiri'Mbona document za kuruhusiwa wanazo.
ipo hivi, hao wahadhiri wa waislamu waliohamishwa walipaswa kufukuzwa kazi kabisaa na kufungwa jela na wala si kuhamishwa tuu kwani kosa walilofanya la kubadili matumizi ya ekari10 za eneo la chuo cha UDOM ( ambacho kimsingi eneo la serikali) na kulibadili kinyemela kwa ajili ya kujenga 'msikiti wa UDOM' bila kulishirikisha baraza la chuo UDOM ni kosa kubwa sanaa! ..........tena mkiendelea na uchochezi wenu tutafunguka kisawa sawa