kunze
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 398
- 469
Leo mamlaka ya hali ya hewa ilitangaza kutakuwa na upepo mwingi. Na naona kama hapa Kigamboni, upepo ni mwingi sana.
Malalamiko yangu,ni kuhusu Dish LA Azam TV ambalo limekuwa likisababisha Picha kuganda kwenye TV, je,ni kwangu tu au hali hiyo ni kutokana na kushindwa kuhimili Kwa mabadiliko hayo?
Azam TV upande Wa ufundi,njooni mtuondolee kero hii.
Wasalaam watumiaji wote Wa Azam dishes
Malalamiko yangu,ni kuhusu Dish LA Azam TV ambalo limekuwa likisababisha Picha kuganda kwenye TV, je,ni kwangu tu au hali hiyo ni kutokana na kushindwa kuhimili Kwa mabadiliko hayo?
Azam TV upande Wa ufundi,njooni mtuondolee kero hii.
Wasalaam watumiaji wote Wa Azam dishes