Waga
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 322
- 14
Mkee KADA MPINZANI Heshima mbele!!
Kitu cha kwanza mimi sijaona kama Muafrika wa kike amekumention moja kwa moja kuwa ni wewe ila umejishitukia tu.. Second things nimeona harufu ya kibaguzi kwenye maneno yako hapo, Hapa JF hakuna ushambenga wa mimi nimetangulia kuwa humu au wewe umechelewa kuwa humu, Wapo watu wengi sana ambao wanasoma JF toka 2004 up to now lakini walikuwa hawajajoin kuwa member na pia wapo wengine walijoin Jf toka 2005 lakini kwa namna moja au nyingine wamesahau Id zao na password so dont come here na kutuletea maneno yako ya kibaguzi kuwa mimi nipo hapa kabla yako.
NAUNGANA NA MKUU INVISIBLE KUWA ''FICHA UPUMBAVU WAKO USIFICHE HEKIMA YAKO''
Nikirudi kwenye mada mimi naomba nipongeze wana JF wote kwa ushirikiano uliopo na kwa wale ambao ni wachafuzi humu ndani pls mods ni vizuri wakawa deleted.
Kitu cha kwanza mimi sijaona kama Muafrika wa kike amekumention moja kwa moja kuwa ni wewe ila umejishitukia tu.. Second things nimeona harufu ya kibaguzi kwenye maneno yako hapo, Hapa JF hakuna ushambenga wa mimi nimetangulia kuwa humu au wewe umechelewa kuwa humu, Wapo watu wengi sana ambao wanasoma JF toka 2004 up to now lakini walikuwa hawajajoin kuwa member na pia wapo wengine walijoin Jf toka 2005 lakini kwa namna moja au nyingine wamesahau Id zao na password so dont come here na kutuletea maneno yako ya kibaguzi kuwa mimi nipo hapa kabla yako.
NAUNGANA NA MKUU INVISIBLE KUWA ''FICHA UPUMBAVU WAKO USIFICHE HEKIMA YAKO''
Nikirudi kwenye mada mimi naomba nipongeze wana JF wote kwa ushirikiano uliopo na kwa wale ambao ni wachafuzi humu ndani pls mods ni vizuri wakawa deleted.