Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Wadau, kwa taarifa kamili ni kwamba, idhaa ya kiswahili ya BBC imeshtakiwa kwa uongozi wa juu wa shirika hilo pale London. Tido mhando ametajwa kuwa mmoja wa watu walioingilia uhuru wa chombo hicho ambacho kilikuwa kinaaminika sana hapo nyuma. Kwa sasa, ma reporters wa BBC Tanzania wamekula rushwa kubwa kutoka chama tawala CCM na kutokujali kutangaza au hata kutaja chama cha upinzani CHADEMA. Wadau, kadri tutakavyopelekea malalamiko Bush House ndo jinsi uongozi utakavyoingilia hujuma za TIDO MHANDO na CCM.Tafadhali unganeni nasi kuipinga BBC
Kuwakilisha malalamiko yako bofya hapa
http://www.bbc.co.uk/worldservice/institutional/2009/03/000000_contact_us.shtml
Kuwakilisha malalamiko yako bofya hapa
http://www.bbc.co.uk/worldservice/institutional/2009/03/000000_contact_us.shtml