Elections 2010 Malalamiko dhidi ya bbc-swahili tumeyapeleka bbc makao makuu london

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Wadau, kwa taarifa kamili ni kwamba, idhaa ya kiswahili ya BBC imeshtakiwa kwa uongozi wa juu wa shirika hilo pale London. Tido mhando ametajwa kuwa mmoja wa watu walioingilia uhuru wa chombo hicho ambacho kilikuwa kinaaminika sana hapo nyuma. Kwa sasa, ma reporters wa BBC Tanzania wamekula rushwa kubwa kutoka chama tawala CCM na kutokujali kutangaza au hata kutaja chama cha upinzani CHADEMA. Wadau, kadri tutakavyopelekea malalamiko Bush House ndo jinsi uongozi utakavyoingilia hujuma za TIDO MHANDO na CCM.Tafadhali unganeni nasi kuipinga BBC

Kuwakilisha malalamiko yako bofya hapa
http://www.bbc.co.uk/worldservice/institutional/2009/03/000000_contact_us.shtml
 
AIBU BBC, mkuu elekeza jinsi ya kufanya; hujuma ni hujuma na wote lazima tuoinge haina tofauti na UFASADI NDANI Y A BBC


Wadau, kwa taarifa kamili ni kwamba, idhaa ya kiswahili ya BBC imeshtakiwa kwa uongozi wa juu wa shirika hilo pale London. Tido mhando ametajwa kuwa mmoja wa watu walioingilia uhuru wa chombo hicho ambacho kilikuwa kinaaminika sana hapo nyuma. Kwa sasa, ma reporters wa BBC Tanzania wamekula rushwa kubwa kutoka chama tawala CCM na kutokujali kutangaza au hata kutaja chama cha upinzani CHADEMA. Wadau, kadri tutakavyopelekea malalamiko Bush House ndo jinsi uongozi utakavyoingilia hujuma za TIDO MHANDO na CCM.Tafadhali unganeni nasi kuipinga BBC
 
Jamani mlitegemea BBC wawe fair..you must be kidding! Wapo kibiashara zaidi. Jana wakati wanamhoji Slaa walikuwa na maswali ya mtego kama vile mikataba ya kimataifa haiwezi kufutwa lakini uzuri akawa anajua sheria. Hii documentary yao ya ukabila iko so focused ndiyo maana hawaongelei udini kwenye hiyo documentary. Ni film iliyoandaliwa kitaalam zaidi na kuelewa malengo inabidi uwe na IQ nzuri kidogo. Mimi BBC niliacha nao 2005 baada ya jambazi Tido Mhando kutumia kodi ya waingereza kwa faida zake. Hawana jipya
 
Wadau, kwa taarifa kamili ni kwamba, idhaa ya kiswahili ya BBC imeshtakiwa kwa uongozi wa juu wa shirika hilo pale London. Tido mhando ametajwa kuwa mmoja wa watu walioingilia uhuru wa chombo hicho ambacho kilikuwa kinaaminika sana hapo nyuma. Kwa sasa, ma reporters wa BBC Tanzania wamekula rushwa kubwa kutoka chama tawala CCM na kutokujali kutangaza au hata kutaja chama cha upinzani CHADEMA. Wadau, kadri tutakavyopelekea malalamiko Bush House ndo jinsi uongozi utakavyoingilia hujuma za TIDO MHANDO na CCM.Tafadhali unganeni nasi kuipinga BBC

Kuwakilisha malalamiko yako bofya hapa
BBC World Service - Institutional - Contact Us

mbona juzi na jana na leo nimesikia BBC wakiwahoji vizuri watu wa chadema??
 
Wadau, kwa taarifa kamili ni kwamba, idhaa ya kiswahili ya BBC imeshtakiwa kwa uongozi wa juu wa shirika hilo pale London. Tido mhando ametajwa kuwa mmoja wa watu walioingilia uhuru wa chombo hicho ambacho kilikuwa kinaaminika sana hapo nyuma. Kwa sasa, ma reporters wa BBC Tanzania wamekula rushwa kubwa kutoka chama tawala CCM na kutokujali kutangaza au hata kutaja chama cha upinzani CHADEMA. Wadau, kadri tutakavyopelekea malalamiko Bush House ndo jinsi uongozi utakavyoingilia hujuma za TIDO MHANDO na CCM.Tafadhali unganeni nasi kuipinga BBC

Kuwakilisha malalamiko yako bofya hapa
BBC World Service - Institutional - Contact Us

Kama mnawatu pale Uk wanaoishi lakufanya ni kuwaomba kila mtu katika jimbo lake amuandike MP wake na Mp atakwenda na hiyo baruwa katika house of paliment sasa wakiwa wengi matokeo yake mtayashuhudia ni nini palimenti uwamuzi wao msiwache kufanya hivyo uzuri wa Mp Uk ni lazima kama kufa na Binadamu atalipeleka na kujadiliwa
 
Nimeacha kusikiliza BBC
ni muhimu tukawaambia mabosi wao kwamba kama nchi ikiingia matatani BBC nayo itahusika the hague
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom