Malo Robi
JF-Expert Member
- May 16, 2017
- 322
- 542
Salaam wanajamvi.....
Kama kichwa kinavyojionesha, Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo Tanzania (HELSB) na washirika wake pamoja na serikali wameamua kuwakata wanafunzi wanaonufaika na mikopo ya elimu ya juu hela za ada, kujikimu na mafunzo kwa vitendo.
Hili jambo lilianza kiutani utani lakini wanafunzi wanapofuatilia wanazungushwa tuu na kupigwa mikwara mizito na vitisho kutoka bodi ya mikopo kwa kushirikiana na chuo!
Waadhirika wakubwa wa jambo hili ni wengi sana na hawana pa kuongelea kwani bodi imekuwa ikiwajibu kwa nyodo na matusi mengi.
Hii nchi kwa sasa kila mtu kwenye kitengo chake anakula awezavyo huku hakuna kumhoji na ukidhubutu unaumia.
Wanafunzi wengi wameahirisha mwaka kwani ukizingatia chuo hiki cha DIT kimeongeza kwa zaidi ya asilimia ishirini (20%) karo yake na wamelazimisha kuanza kutumika mwaka wa masomo unaokuja kwa wanafunzi wote hata wanaoendelea tofauti na utaratibu ambao unasema karo mpya huanza na wanafunzi wanaoanza (first year). Hiki chuo ni mateso, walimu ni corrupt, wababe na hawafundishi kutwa mizunguko tuu. (WIZARA HUSIKA IKIMULIKE HIKI CHUO NA MKUU WAKE KWANI KIMEOZA NA KINANUKA UOZO).
Waziri wa elimu mama Ndalichako fuatilia hili suala ujiridhishe kwani wanafunzi hawaelewi hatma yao kwenye jambo hili!
Bodi ya mikopo waache hii dhuruma kwa watanzania wanyonge!
Kama kichwa kinavyojionesha, Mkurugenzi wa Bodi ya Mikopo Tanzania (HELSB) na washirika wake pamoja na serikali wameamua kuwakata wanafunzi wanaonufaika na mikopo ya elimu ya juu hela za ada, kujikimu na mafunzo kwa vitendo.
Hili jambo lilianza kiutani utani lakini wanafunzi wanapofuatilia wanazungushwa tuu na kupigwa mikwara mizito na vitisho kutoka bodi ya mikopo kwa kushirikiana na chuo!
Waadhirika wakubwa wa jambo hili ni wengi sana na hawana pa kuongelea kwani bodi imekuwa ikiwajibu kwa nyodo na matusi mengi.
Hii nchi kwa sasa kila mtu kwenye kitengo chake anakula awezavyo huku hakuna kumhoji na ukidhubutu unaumia.
Wanafunzi wengi wameahirisha mwaka kwani ukizingatia chuo hiki cha DIT kimeongeza kwa zaidi ya asilimia ishirini (20%) karo yake na wamelazimisha kuanza kutumika mwaka wa masomo unaokuja kwa wanafunzi wote hata wanaoendelea tofauti na utaratibu ambao unasema karo mpya huanza na wanafunzi wanaoanza (first year). Hiki chuo ni mateso, walimu ni corrupt, wababe na hawafundishi kutwa mizunguko tuu. (WIZARA HUSIKA IKIMULIKE HIKI CHUO NA MKUU WAKE KWANI KIMEOZA NA KINANUKA UOZO).
Waziri wa elimu mama Ndalichako fuatilia hili suala ujiridhishe kwani wanafunzi hawaelewi hatma yao kwenye jambo hili!
Bodi ya mikopo waache hii dhuruma kwa watanzania wanyonge!