Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,983
- 10,804
- Thread starter
- #61
54.
usalama wako.”
“Nilidhani hiyo ni kazi ya askari wa uhamiaji,” alisema, “Zaidi, sijui kosa langu.”
Yule aliyefanana na askari alimjibu kwa ukali zaidi. “Hakuna muda wa kuyajibu maswali yako. Inuka uondoke.”
“Siruhusiwi kufunga vitu vyangu?”
“Huruhusiwi kugusa chochote,” aliyejibu ni yule aliyefanana na binadamu.
Joram aliwatazama kwa hasira, ingawa alikuwa akitabasamu. “Nadhani walao mnaweza kuniambia ni amri ya nani inayonitoa kinyama namna hii?” alisema akipima uwezekano wa kuwashughulikia. Isingekuwa kazi kubwa sana, lakini hakuwa tayari kuifanya chumbani humo. Alihitaji sana saa nne, na alitaka imkute akiwa hai na huru.
“Ukiuliza swali moja zaidi utatoka chumbani humu juu ya machela kama si jeneza,” aliyefanana na samaki alisema bila mzaha.
Joram alijisikia kucheka alipomtazama tena, hasa alivyonuna wakati alikuwa na kila hakika kuwa kiumbe huyo aliyekosewa kimaumbile hakuijua hata sababu moja inayofanya aamrishwe ghafla kiasi hicho. Badala ya kucheka akajisikia kumhurumia. Pengine akili yake ilifanana na ya samaki.
NENDA zako.” “Wapi?”
“Kokote. Uko huru.” Alipomwona kimya aliongeza, “Na ukichelewa hapa nitakutafuna hai kwa ajili ya mbwa wangu.”
Nuru hakuyaamini masikio yake. Alimtazama tena msemaji huyo, lile pande la mtu lenye macho ambayo yalibeba kila dalili ya ukatili na sauti yenye dalili zote za mwuaji, jitu ambalo liliutumia muda wake mwingi kumtesa, kumsimanga na kumdhihaki huku likichekelea. Naam, jitu ambalo si roho tu bali umbile lake li mbali sana na binadamu wa kawaida na karibu zaidi na shetani. Na ni jitu hilohilo ambalo sasa lilisimama kando ya mlango likiwa limeuacha wazi kumwamuru kwenda zake.
Kana kwamba lilisoma kutoamini katika macho ya Nuru jitu hilo lilicheka kicheko kinachoweza kumliza mtoto. Kisha, likasema, “Huamini tu? Nakwambia uko huru. Mpenzi wako anakusubiri Uwanja wa Ndege mrudi kwenu. Huamini?”
Kuamini! Hilo halikuwa tatizo la Nuru. Asingeshindwa kumwamini kiumbe huyo ambaye ulimi wake haujui neno lolote la mzaha. Kuamini halikuwa tatizo. Tatizo la Nuru lilikuwa hasira zake dhidi ya jitu hilo. Hakutegemea kama baada ya aibu na mateso yote yale, ilimstahili kuondoka kimyakimya na kwa amani kiasi hicho. Katika kipindi chote hicho, alikuwa akiomba kufia katika michezo ile ya hatari badala ya kutoka hai. Uhai
pia alikuwa akiuomba kwa nia moja tu; ya kulipiza kisasi. Vinginevyo, asingestahimili yote yale!...
Mbwa!
Walipomchukua toka hotelini, akiwa nusu mzoga, walimleta katika jumba hili kubwa lililofichika, na kumbwaga juu ya meza. Fahamu zilipomrudia alishangaa kujikuta katika hali kama hiyo, bila kamba wala ulinzi wowote wa haja. Mlinzi pekee aliyekuwa mlangoni ni jibwa kubwa jeusi ambalo lilikuwa likimtazama, domo wazi, udenda ukilitoka. Nuru alijitazama na kujinyoosha kuupima mwili wake. Akajiona mzima wa afya. Akajaribu kuinuka.
Ni hapo jibwa hilo lilipotoa mlio mdogo wa onyo. Nuru alimgeukia mbwa na kuupima uwezo wake ki-ulinzi. Alikuwa na dalili zote za mbwa aliyehitimu mafunzo yake.
Kareti ni moja kati ya michezo mingi ya Nuru na Joram wanapokuwa na wasaa. Wamejizoeza pia kucheza na mbwa. Nuru asingeshindwa kucheza na jibwa hili, japo lilitisha kiasi hicho. Hata hivyo, alijua kuwa lisingekufa kabla ya walao kubweka mara moja, jambo ambalo lingeweza kumfanya adui yake atokee ghafla. Hivyo, Nuru alisita na kusikiliza kwa makini. Zaidi ya kupumua kwa mbwa huyo hakusikia chochote. Ilipomdhihirikia kuwa jumba zima waliokuwemo ni yeye na mbwa aliamua kuuchukua uhuru wake.
Huku akiwa amemkazia macho mbwa aliinuka taratibu na kuketi juu ya meza hiyo. Mbwa alitoa onyo jingine kwa kukoroma taratibu. Nuru akachukua pande la ubao lililokuwa kando ya meza hiyo na kuinuka. Kisha, alilirusha bao hilo kumwelekea mbwa huku naye akiruka kumfuata. Matumaini yake yalikuwa kwamba mbwa angelidaka bao hilo kwa meno hili naye atumie fursa hiyo kumkaba koo. Hilo halikutokea. Mbwa alilikwepa bao hilo na kumdaka Nuru kwa kucha zake. Huku akikoroma kwa sauti nzito ya kutisha badala ya kumwuma Nuru, alianza kuyapambua mavazi yake kwa meno na kucha. Nuru alijaribu kujitetea kwa kumpiga mbwa huyo hapa na pale, lakini mbwa alikuwa mwepesi kuliko Nuru. Alikwepa kila pigo la Nuru na kuruka huku, kila alipotua alikuwa na kipande cha nguo yake.
Hilo Nuru hakulitegemea. Wala hakuwa amejifunza kupambana na mbwa anayeshambulia mavazi yake badala ya yeye mwenyewe. Alijitahidi kwa nguvu zake zote kupiga, akirusha
mateke, ngumi na hata vichwa, lakini bado hakufaulu kumpata mbwa huyo. Badala yake, dakika chache baadaye alijikuta kasimama kimya, uchi kama alivyozaliwa, mbele ya mbwa huyo ambaye sasa aliketi, akimtazama, domo wazi, kwa namna ya tabasamu.
Kama angekuwa mliaji, kama walivyo wanawake wengine, Nuru angeweza kulia; tena kwa sauti. Lakini kulia, machozi yamtoke, ni jambo ambalo lilimtokea kwa nadra sana. Hivyo, aliendelea kusimama palepale, akitweta kwa hasira; macho yake yakimtazama mbwa huyo kwa uadui mkubwa. Mbwa pia aliendelea kumtazama, lakini kwa namna tofauti. Sasa udenda ulikuwa ukimtoka mwingi zaidi, macho yakiwa yanalegea. ‘Anamtamani?’ Nuru alijiuliza kwa hofu na mshangao. ‘Mbwa anamtamani?’ Hilo ni jingine ambalo hakulitegemea. Kwa hasira zilizochanganyika na aibu, aligeuka na kuirudia meza ambako aliketi na kujaribu kujificha, kama alivyofanya mama yetu Hawa, baada ya kulila lile tunda ambalo lilituletea balaa.
Mbwa alimfuata Nuru kwa macho, tamaa sasa ikiwa wazi katika macho hayo. Hata sauti ndogo, ya mlio wa kitu kama maumivu au kubembeleza ilisikika ikimtoka mbwa huyo. Nuru alitamani tena apige kelele, lakini bado sauti haikuweza kumtoka. Akatamani afumbe macho. Lakini hakuthubutu. Asingeweza kumwamini mbwa huyo. Kwa mara ya kwanza maishani mwake akailaani bahati yake na kumlaumu mama yake aliyemleta duniani. Akailaani pia siku ambayo alimtia Joram machoni kwa mara ya kwanza. Balaa lilioje! Kwa nini akanyimwa moyo wa kike, wa kutulia nyumbani azae na kulea? Mbwa!
“Usiogope. Akela ni mbwa aliyeendelea sana,” sauti ilisema ghafla toka chumbani humo. Nuru alipogeuka macho yake yalikutana na yale yenye kebehi ya lile jitu baya kama mbwa wake. Lilikuwa limeingia chumbani humo kimyakimya, kama kivuli na kushuhudia kila kilichokuwa kikitokea. “Usimwogope kabisa mbwa huyu. Si mgeni kwa mabibi wa kibinadamu,” aliongeza.
Nuru hakupata kumwona binadamu mwingine mwenye sura mbaya kama hii, sura ambayo ilitisha, hasa kwa madevu yake yaliyofunika hata kifua na macho yake. Zaidi kilichomtisha ni hayo macho. Licha ya kwamba hayakuwa macho ya binadamu halisi, bado hayakuwa na dalili yoyote ya mwanaume mwenye
uwezo wa kutamani. Kwake Nuru, pamoja na uzuri wake, pamoja na kuwa kama alivyokuwa, alionekana kama maiti au kipande cha mti kilichotupwa. Ni hapo matumaini ya Nuru yalipozidi kudidimia. Alitaraji kuyaokoa maisha yake kwa silaha ya mwisho, silaha pekee ya mwanamke. Amlaghai mapenzi na, hatimaye, kupata fursa ya kutoroka au kuliangamiza, fursa ambayo sasa ilikuwa ndoto ya mchana, kwani pamoja na kuupenda uhai wake bado Nuru asingekubali binadamu duni kama huyo amguse; mtu ambaye machoni mwa Nuru angeweza kuwa ametoka moja kwa moja kaburini.
Jitu hilo lilikuwa likiendelea kucheka huku likizidi kumsogelea Nuru. “U mwanamke mzuri,” lilisema kwa sauti yake mbaya. “Mbwa wangu atafurahi sana kama nitamruhusu kujipatia chakula bora kama hiki.”
Mbwa! Nuru alitamani ardhi ipasuke, immeze.
Jitu hilo lilipomfikia liliuinua mkono wake na kuligusa titi la Nuru. Nuru alijaribu kuusukuma mkono huo. Ilikuwa sawa na kusukuma kipande cha chuma chenye kilo mia. Mkono huo uliliacha titi hilo na kuhamia la pili. Ghafla, ukaliacha titi hilo na kumshika penyewe. Nuru aliachia kibao kikali ambacho kilidakwa kama mchezo. Mkono ukaendelea kumchezea, huku jitu lenyewe likiwa halionyeshi dalili yoyote. Lingeweza kuwa linachezea kipande cha ubao!
Kisha, ghafla kama lilivyoanza lilimwacha Nuru na kusogea kando. Likatulia na kumtazama, huku likichekelea. Ni hapo lilipotokea jambo jingine ambalo Nuru hakulitegemea. Mwili wake ulianza kuwasha. Kila ambapo kono hilo lilipagusa paliwasha sana, kwa namna ya kuvutia. Kwanza, Nuru alijaribu kustahimili. Akashindwa. Akaanza kujikuna. Vidole vyake vilaini vikishuka toka kifuani hadi katikati ya miguu. Alijikuna huku akitetemeka na kulialia bila kujali tena aibu wala macho ya shetani huyo na mbwa wake.
Kila Nuru alivyotahabika na kujigeuzageuza kama anayehitaji mwanaume kwa nguvu zake zote, ndivyo jitu hilo lilivyozidi kuchekelea kwa furaha. Mara likakurupuka na kutoka chumbani humo. Liliporudi lilikuwa na kamera ya picha za video. Liliwasha na kumlenga Nuru. Nuru, hasira zilizidi kumpanda. Hata hivyo, hakuwa na hali. Alizidi kutaabika, machozi yakimtoka. Alivitumia vidole vyake kwa juhudi, havikumsaidia sana. Sasa hangeweza
hata kuliruhusu jitu hilo. Alilitazama kwa namna ya kuliambia hivyo, lakini halikuelekea. Starehe ya kumshuhudia Nuru akijinyonganyonga kama samaki anayekaangwa hai ilisisimua zaidi.
Ni mbwa peke yake ambaye alikuwa akitaabika pamoja na Nuru. Ulimi ulikuwa karibu udondoke, macho nusura yamtoke kwa tamaa. Alikuwa akimsogelea Nuru hatua moja baada ya moja. Sasa alikuwa amemfikia na kuanza kulialia kama mbwa kwa mbwa. Nuru alitamani alie kwa nguvu, paa lipasuke; apae na kutoweka. Aliomba tena ardhi ifunguke, immeze na kumfunika. Yote hayakutokea… badala yake sasa mbwa alikuwa akimlamba miguu! Ulimi wake ulikuwa ukipanda taratibu! Nuru alitamani ampige. Uwezo wa kufanya hivyo hakuwa nao. Jambo la kushangaza zaidi lilikuwa likimtokea. Alihisi ulimi huo ukifariji na kusaidia kumkuna. Alihisi akitamani kumkumbatia, lakini hakuthubutu.
Mbwa!
Alihisi akili zake zikipaa. Bila ya kujua atendalo alitokwa na teke kali lenye nguvu zake zote nyuma yake, teke ambalo lilimmaliza yeye mwenyewe na kumfanya apoteze fahamu.
***
Haya, sasa yuko hai. Na analoambiwa ni kwenda zake kwa amani kana kwamba hakuna lolote lililotokea. Kuondoka baada ya yote yale, hakuona kama ingewezekana. Ama aondoke chumbani humo akiwa maiti, ama aache maiti. Vinginevyo angewezaje kuyakabili macho ya Joram Kiango na walimwengu wengine? Hata hivyo, Nuru alijua wazi kuwa kuonyesha hasira zake kusingemsaidia. Hivyo, alichofanya ni kuuliza tena, kwa unyonge, “Kweli niko huru?”
“Nenda,” jitu lilinguruma likiufungua mlango. “Nje kuna gari ambalo litakupeleka Uwanja wa Ndege.” Lilimtazama tena Nuru na kuongeza, “Na ujihesabu mwanamke mwenye bahati kubwa duniani. Si kila mtu anayeingia humu hutoka hai.”
Hai! Baada ya unyama kama ule! Heri angekufa. Nuru aliwaza.
Akasema kwa sauti, “Sijui kama nikushukuru au la?”
Aliyatazama mavazi aliyokuwa amevaa. Sketi nzuri ya kijivu na kijikoti chake. Nuru alikuwa hakumbuki muda gani ulikuwa umepita tangu alipoanza kutendewa unyama hadi
sasa. Hakukumbuka chochote. Akatoka na kufuata mlango kwa mlango hadi nje ya jumba hilo.
Gari lililokuwa likimsubiri ilikuwa teksi aina ya Datsun. Dereva alikuwa kijana mfupi, mnene, ambaye alikuwa ameulalia usukani akisoma gazeti. Alikuwa mgonjwa wa wanawake. Mara tu alipomtia Nuru machoni hamu ya gazeti ilikwisha. Alifungua mlango wa pili na kumkaribisha ndani, huku akiruhusu meno yake yote kuonekana kwa tabasamu. “Sikujua kama abiria wangu angekuwa malaika,” alisema baada ya kuwasha gari.
“Mimi siyo malaika,” Nuru alimjibu, kichwani akianza kubuni mbinu za kisasi.
“Basi umefanana nao sana.” “Ulipata kuwaona?”
“Ndiyo.”
“Wapi?” “Ndotoni.”
Wakacheka. Ulikuwa mwanzo mzuri kwa Nuru. Baada ya mwendo mfupi, kuyaruhusu mapaja yake yaonekane, kuruhusu mkono wa mroho huyo uyaguse, kazi ilikuwa imekwisha.
“Ndege inaondoka saa nane mchana. Sasa hivi ni saa moja na robo. Kwa nini usipumzike kwangu kidogo?”
“Kupumzika! Huwezi kuongea kinaganaga?”
Dereva alicheka na kugeuza gari. Likapenya mitaa mitatu na kusimama mbele ya nyumba mpyampya. “Naishi na mdogo wangu wa kiume. Bila shaka kasha kwenda zake shule. Tutakuwa mimi na wewe tu.”
***
Nyumba ilikuwa nzuri, chumba pia kilivutia. Nuru alichagua kuketi juu ya kitanda, jambo ambalo lilimfurahisha sana mwenyeji wake. Alipotoka kuendea vinywaji Nuru alimzuia. Hakuwa na muda wa kutosha. Alieleza. Wala haikuwa uongo. Kijana huyo aliposhuka kitandani ili amkumbatie Nuru, alipokelewa kwa pigo kali ambalo hakulitegemea. Akaangukia zulia. Nuru alimwongeza pigo jingine. Kisha, akamfunga kamba za miguu na mikono. Baada ya hapo aliipapasa mifuko yake. Kama alivyotegemea, kijana huyo hakuwa dereva wa kawaida. Katika moja ya mifuko yake ya koti Nuru alipata bastola. Na ilikuwa na kiwambo cha kupotezea sauti. Kwa furaha Nuru aliifungia mapajani, kisha
akachukua ufunguo wa gari na kutoka harakaharaka.
Gari lilimfikisha mbele ya jumba lilelile alilolihitaji.
Alipokelewa na mbwa yuleyule kwa dalili za mjuano. Hata hivyo, alikuwa akitembea kwa dhiki kubwa. Kiuno chake kilikuwa kimeteguka au kuvunjika. Alipomfikia Nuru miguuni alianza kumlamba miguu katika hali ya mjuano. Ni hapo alipomfumua kichwa kwa risasi tatu. Akakata roho na kuanguka kama mzigo. Ndipo Nuru alipoanza safari ya kuingia ndani, bastola ikiwa imemtangulia.
Alitembea kimya kama kivuli, akipiga kila hatua kwa adhari na uangalifu. Alichungulia kila chumba kwa makini kabla hajakiendea cha pili. Alikuwa na kila hakika ya kumfumania adui yake akiwa kajisahau.
Haikutokea kuwa hivyo. Alikuwa akikaribia chumba cha mateso aliposhangaa kusikia sauti toka nyuma yake ikimwamuru kusimama. Aligeuka kwa haraka. Lakini hakuwa mwepesi zaidi ya adui yake ambaye alimdaka na kumtia kabari huku akimpokonya silaha kwa urahisi kama vita vya paka na panya.
“Nilijua utarudi,” alisema kwa kebehi. “Nilijua wewe pia ungependa kufia humu kama wengine.” Likacheka kabla ya kukebehi kwa sauti mbaya zaidi likisema, “Usijali. Dakika chache baadaye utakuwa marehemu. Na nilikuwa na hamu kubwa sana ya kukuua kwa jinsi ulivyokivunja kiuno cha mbwa wangu. Au hukujua kuwa wanawake wenzako watamlilia kwa jinsi anavyojua mapenzi?”
***
Uwanja wa Ndege haukuwa na watu wengi kama ilivyo kawaida. Joram alihisi kuwa hakukuwa na ndege za kuondoka wala kutua muda huo, jambo ambalo lingewafanya wasubiri sana kupatiwa usafiri wa binafsi.
Aliyatupa macho yake huku na huko kwa haja ya kumwona Nuru. Hakumwona. Akawageukia askari hao na kuwatupia swali hilo. Kiasi wakiwa wameshangaa walitazamana na kisha mmoja wao kusema kwa ukali, “Utamsubiri hapa. Atafika muda wowote kuanzia sasa.”
Joram aliitazama saa yake. Hakuwa na muda mrefu wa kusubiri. Hivyo, aliwatazama askari hao kwa kuwapima. Hakuona kama wangemsumbua. Mmoja akiwa binadamu wa kawaida,
usalama wako.”
“Nilidhani hiyo ni kazi ya askari wa uhamiaji,” alisema, “Zaidi, sijui kosa langu.”
Yule aliyefanana na askari alimjibu kwa ukali zaidi. “Hakuna muda wa kuyajibu maswali yako. Inuka uondoke.”
“Siruhusiwi kufunga vitu vyangu?”
“Huruhusiwi kugusa chochote,” aliyejibu ni yule aliyefanana na binadamu.
Joram aliwatazama kwa hasira, ingawa alikuwa akitabasamu. “Nadhani walao mnaweza kuniambia ni amri ya nani inayonitoa kinyama namna hii?” alisema akipima uwezekano wa kuwashughulikia. Isingekuwa kazi kubwa sana, lakini hakuwa tayari kuifanya chumbani humo. Alihitaji sana saa nne, na alitaka imkute akiwa hai na huru.
“Ukiuliza swali moja zaidi utatoka chumbani humu juu ya machela kama si jeneza,” aliyefanana na samaki alisema bila mzaha.
Joram alijisikia kucheka alipomtazama tena, hasa alivyonuna wakati alikuwa na kila hakika kuwa kiumbe huyo aliyekosewa kimaumbile hakuijua hata sababu moja inayofanya aamrishwe ghafla kiasi hicho. Badala ya kucheka akajisikia kumhurumia. Pengine akili yake ilifanana na ya samaki.
NENDA zako.” “Wapi?”
“Kokote. Uko huru.” Alipomwona kimya aliongeza, “Na ukichelewa hapa nitakutafuna hai kwa ajili ya mbwa wangu.”
Nuru hakuyaamini masikio yake. Alimtazama tena msemaji huyo, lile pande la mtu lenye macho ambayo yalibeba kila dalili ya ukatili na sauti yenye dalili zote za mwuaji, jitu ambalo liliutumia muda wake mwingi kumtesa, kumsimanga na kumdhihaki huku likichekelea. Naam, jitu ambalo si roho tu bali umbile lake li mbali sana na binadamu wa kawaida na karibu zaidi na shetani. Na ni jitu hilohilo ambalo sasa lilisimama kando ya mlango likiwa limeuacha wazi kumwamuru kwenda zake.
Kana kwamba lilisoma kutoamini katika macho ya Nuru jitu hilo lilicheka kicheko kinachoweza kumliza mtoto. Kisha, likasema, “Huamini tu? Nakwambia uko huru. Mpenzi wako anakusubiri Uwanja wa Ndege mrudi kwenu. Huamini?”
Kuamini! Hilo halikuwa tatizo la Nuru. Asingeshindwa kumwamini kiumbe huyo ambaye ulimi wake haujui neno lolote la mzaha. Kuamini halikuwa tatizo. Tatizo la Nuru lilikuwa hasira zake dhidi ya jitu hilo. Hakutegemea kama baada ya aibu na mateso yote yale, ilimstahili kuondoka kimyakimya na kwa amani kiasi hicho. Katika kipindi chote hicho, alikuwa akiomba kufia katika michezo ile ya hatari badala ya kutoka hai. Uhai
pia alikuwa akiuomba kwa nia moja tu; ya kulipiza kisasi. Vinginevyo, asingestahimili yote yale!...
Mbwa!
Walipomchukua toka hotelini, akiwa nusu mzoga, walimleta katika jumba hili kubwa lililofichika, na kumbwaga juu ya meza. Fahamu zilipomrudia alishangaa kujikuta katika hali kama hiyo, bila kamba wala ulinzi wowote wa haja. Mlinzi pekee aliyekuwa mlangoni ni jibwa kubwa jeusi ambalo lilikuwa likimtazama, domo wazi, udenda ukilitoka. Nuru alijitazama na kujinyoosha kuupima mwili wake. Akajiona mzima wa afya. Akajaribu kuinuka.
Ni hapo jibwa hilo lilipotoa mlio mdogo wa onyo. Nuru alimgeukia mbwa na kuupima uwezo wake ki-ulinzi. Alikuwa na dalili zote za mbwa aliyehitimu mafunzo yake.
Kareti ni moja kati ya michezo mingi ya Nuru na Joram wanapokuwa na wasaa. Wamejizoeza pia kucheza na mbwa. Nuru asingeshindwa kucheza na jibwa hili, japo lilitisha kiasi hicho. Hata hivyo, alijua kuwa lisingekufa kabla ya walao kubweka mara moja, jambo ambalo lingeweza kumfanya adui yake atokee ghafla. Hivyo, Nuru alisita na kusikiliza kwa makini. Zaidi ya kupumua kwa mbwa huyo hakusikia chochote. Ilipomdhihirikia kuwa jumba zima waliokuwemo ni yeye na mbwa aliamua kuuchukua uhuru wake.
Huku akiwa amemkazia macho mbwa aliinuka taratibu na kuketi juu ya meza hiyo. Mbwa alitoa onyo jingine kwa kukoroma taratibu. Nuru akachukua pande la ubao lililokuwa kando ya meza hiyo na kuinuka. Kisha, alilirusha bao hilo kumwelekea mbwa huku naye akiruka kumfuata. Matumaini yake yalikuwa kwamba mbwa angelidaka bao hilo kwa meno hili naye atumie fursa hiyo kumkaba koo. Hilo halikutokea. Mbwa alilikwepa bao hilo na kumdaka Nuru kwa kucha zake. Huku akikoroma kwa sauti nzito ya kutisha badala ya kumwuma Nuru, alianza kuyapambua mavazi yake kwa meno na kucha. Nuru alijaribu kujitetea kwa kumpiga mbwa huyo hapa na pale, lakini mbwa alikuwa mwepesi kuliko Nuru. Alikwepa kila pigo la Nuru na kuruka huku, kila alipotua alikuwa na kipande cha nguo yake.
Hilo Nuru hakulitegemea. Wala hakuwa amejifunza kupambana na mbwa anayeshambulia mavazi yake badala ya yeye mwenyewe. Alijitahidi kwa nguvu zake zote kupiga, akirusha
mateke, ngumi na hata vichwa, lakini bado hakufaulu kumpata mbwa huyo. Badala yake, dakika chache baadaye alijikuta kasimama kimya, uchi kama alivyozaliwa, mbele ya mbwa huyo ambaye sasa aliketi, akimtazama, domo wazi, kwa namna ya tabasamu.
Kama angekuwa mliaji, kama walivyo wanawake wengine, Nuru angeweza kulia; tena kwa sauti. Lakini kulia, machozi yamtoke, ni jambo ambalo lilimtokea kwa nadra sana. Hivyo, aliendelea kusimama palepale, akitweta kwa hasira; macho yake yakimtazama mbwa huyo kwa uadui mkubwa. Mbwa pia aliendelea kumtazama, lakini kwa namna tofauti. Sasa udenda ulikuwa ukimtoka mwingi zaidi, macho yakiwa yanalegea. ‘Anamtamani?’ Nuru alijiuliza kwa hofu na mshangao. ‘Mbwa anamtamani?’ Hilo ni jingine ambalo hakulitegemea. Kwa hasira zilizochanganyika na aibu, aligeuka na kuirudia meza ambako aliketi na kujaribu kujificha, kama alivyofanya mama yetu Hawa, baada ya kulila lile tunda ambalo lilituletea balaa.
Mbwa alimfuata Nuru kwa macho, tamaa sasa ikiwa wazi katika macho hayo. Hata sauti ndogo, ya mlio wa kitu kama maumivu au kubembeleza ilisikika ikimtoka mbwa huyo. Nuru alitamani tena apige kelele, lakini bado sauti haikuweza kumtoka. Akatamani afumbe macho. Lakini hakuthubutu. Asingeweza kumwamini mbwa huyo. Kwa mara ya kwanza maishani mwake akailaani bahati yake na kumlaumu mama yake aliyemleta duniani. Akailaani pia siku ambayo alimtia Joram machoni kwa mara ya kwanza. Balaa lilioje! Kwa nini akanyimwa moyo wa kike, wa kutulia nyumbani azae na kulea? Mbwa!
“Usiogope. Akela ni mbwa aliyeendelea sana,” sauti ilisema ghafla toka chumbani humo. Nuru alipogeuka macho yake yalikutana na yale yenye kebehi ya lile jitu baya kama mbwa wake. Lilikuwa limeingia chumbani humo kimyakimya, kama kivuli na kushuhudia kila kilichokuwa kikitokea. “Usimwogope kabisa mbwa huyu. Si mgeni kwa mabibi wa kibinadamu,” aliongeza.
Nuru hakupata kumwona binadamu mwingine mwenye sura mbaya kama hii, sura ambayo ilitisha, hasa kwa madevu yake yaliyofunika hata kifua na macho yake. Zaidi kilichomtisha ni hayo macho. Licha ya kwamba hayakuwa macho ya binadamu halisi, bado hayakuwa na dalili yoyote ya mwanaume mwenye
uwezo wa kutamani. Kwake Nuru, pamoja na uzuri wake, pamoja na kuwa kama alivyokuwa, alionekana kama maiti au kipande cha mti kilichotupwa. Ni hapo matumaini ya Nuru yalipozidi kudidimia. Alitaraji kuyaokoa maisha yake kwa silaha ya mwisho, silaha pekee ya mwanamke. Amlaghai mapenzi na, hatimaye, kupata fursa ya kutoroka au kuliangamiza, fursa ambayo sasa ilikuwa ndoto ya mchana, kwani pamoja na kuupenda uhai wake bado Nuru asingekubali binadamu duni kama huyo amguse; mtu ambaye machoni mwa Nuru angeweza kuwa ametoka moja kwa moja kaburini.
Jitu hilo lilikuwa likiendelea kucheka huku likizidi kumsogelea Nuru. “U mwanamke mzuri,” lilisema kwa sauti yake mbaya. “Mbwa wangu atafurahi sana kama nitamruhusu kujipatia chakula bora kama hiki.”
Mbwa! Nuru alitamani ardhi ipasuke, immeze.
Jitu hilo lilipomfikia liliuinua mkono wake na kuligusa titi la Nuru. Nuru alijaribu kuusukuma mkono huo. Ilikuwa sawa na kusukuma kipande cha chuma chenye kilo mia. Mkono huo uliliacha titi hilo na kuhamia la pili. Ghafla, ukaliacha titi hilo na kumshika penyewe. Nuru aliachia kibao kikali ambacho kilidakwa kama mchezo. Mkono ukaendelea kumchezea, huku jitu lenyewe likiwa halionyeshi dalili yoyote. Lingeweza kuwa linachezea kipande cha ubao!
Kisha, ghafla kama lilivyoanza lilimwacha Nuru na kusogea kando. Likatulia na kumtazama, huku likichekelea. Ni hapo lilipotokea jambo jingine ambalo Nuru hakulitegemea. Mwili wake ulianza kuwasha. Kila ambapo kono hilo lilipagusa paliwasha sana, kwa namna ya kuvutia. Kwanza, Nuru alijaribu kustahimili. Akashindwa. Akaanza kujikuna. Vidole vyake vilaini vikishuka toka kifuani hadi katikati ya miguu. Alijikuna huku akitetemeka na kulialia bila kujali tena aibu wala macho ya shetani huyo na mbwa wake.
Kila Nuru alivyotahabika na kujigeuzageuza kama anayehitaji mwanaume kwa nguvu zake zote, ndivyo jitu hilo lilivyozidi kuchekelea kwa furaha. Mara likakurupuka na kutoka chumbani humo. Liliporudi lilikuwa na kamera ya picha za video. Liliwasha na kumlenga Nuru. Nuru, hasira zilizidi kumpanda. Hata hivyo, hakuwa na hali. Alizidi kutaabika, machozi yakimtoka. Alivitumia vidole vyake kwa juhudi, havikumsaidia sana. Sasa hangeweza
hata kuliruhusu jitu hilo. Alilitazama kwa namna ya kuliambia hivyo, lakini halikuelekea. Starehe ya kumshuhudia Nuru akijinyonganyonga kama samaki anayekaangwa hai ilisisimua zaidi.
Ni mbwa peke yake ambaye alikuwa akitaabika pamoja na Nuru. Ulimi ulikuwa karibu udondoke, macho nusura yamtoke kwa tamaa. Alikuwa akimsogelea Nuru hatua moja baada ya moja. Sasa alikuwa amemfikia na kuanza kulialia kama mbwa kwa mbwa. Nuru alitamani alie kwa nguvu, paa lipasuke; apae na kutoweka. Aliomba tena ardhi ifunguke, immeze na kumfunika. Yote hayakutokea… badala yake sasa mbwa alikuwa akimlamba miguu! Ulimi wake ulikuwa ukipanda taratibu! Nuru alitamani ampige. Uwezo wa kufanya hivyo hakuwa nao. Jambo la kushangaza zaidi lilikuwa likimtokea. Alihisi ulimi huo ukifariji na kusaidia kumkuna. Alihisi akitamani kumkumbatia, lakini hakuthubutu.
Mbwa!
Alihisi akili zake zikipaa. Bila ya kujua atendalo alitokwa na teke kali lenye nguvu zake zote nyuma yake, teke ambalo lilimmaliza yeye mwenyewe na kumfanya apoteze fahamu.
***
Haya, sasa yuko hai. Na analoambiwa ni kwenda zake kwa amani kana kwamba hakuna lolote lililotokea. Kuondoka baada ya yote yale, hakuona kama ingewezekana. Ama aondoke chumbani humo akiwa maiti, ama aache maiti. Vinginevyo angewezaje kuyakabili macho ya Joram Kiango na walimwengu wengine? Hata hivyo, Nuru alijua wazi kuwa kuonyesha hasira zake kusingemsaidia. Hivyo, alichofanya ni kuuliza tena, kwa unyonge, “Kweli niko huru?”
“Nenda,” jitu lilinguruma likiufungua mlango. “Nje kuna gari ambalo litakupeleka Uwanja wa Ndege.” Lilimtazama tena Nuru na kuongeza, “Na ujihesabu mwanamke mwenye bahati kubwa duniani. Si kila mtu anayeingia humu hutoka hai.”
Hai! Baada ya unyama kama ule! Heri angekufa. Nuru aliwaza.
Akasema kwa sauti, “Sijui kama nikushukuru au la?”
Aliyatazama mavazi aliyokuwa amevaa. Sketi nzuri ya kijivu na kijikoti chake. Nuru alikuwa hakumbuki muda gani ulikuwa umepita tangu alipoanza kutendewa unyama hadi
sasa. Hakukumbuka chochote. Akatoka na kufuata mlango kwa mlango hadi nje ya jumba hilo.
Gari lililokuwa likimsubiri ilikuwa teksi aina ya Datsun. Dereva alikuwa kijana mfupi, mnene, ambaye alikuwa ameulalia usukani akisoma gazeti. Alikuwa mgonjwa wa wanawake. Mara tu alipomtia Nuru machoni hamu ya gazeti ilikwisha. Alifungua mlango wa pili na kumkaribisha ndani, huku akiruhusu meno yake yote kuonekana kwa tabasamu. “Sikujua kama abiria wangu angekuwa malaika,” alisema baada ya kuwasha gari.
“Mimi siyo malaika,” Nuru alimjibu, kichwani akianza kubuni mbinu za kisasi.
“Basi umefanana nao sana.” “Ulipata kuwaona?”
“Ndiyo.”
“Wapi?” “Ndotoni.”
Wakacheka. Ulikuwa mwanzo mzuri kwa Nuru. Baada ya mwendo mfupi, kuyaruhusu mapaja yake yaonekane, kuruhusu mkono wa mroho huyo uyaguse, kazi ilikuwa imekwisha.
“Ndege inaondoka saa nane mchana. Sasa hivi ni saa moja na robo. Kwa nini usipumzike kwangu kidogo?”
“Kupumzika! Huwezi kuongea kinaganaga?”
Dereva alicheka na kugeuza gari. Likapenya mitaa mitatu na kusimama mbele ya nyumba mpyampya. “Naishi na mdogo wangu wa kiume. Bila shaka kasha kwenda zake shule. Tutakuwa mimi na wewe tu.”
***
Nyumba ilikuwa nzuri, chumba pia kilivutia. Nuru alichagua kuketi juu ya kitanda, jambo ambalo lilimfurahisha sana mwenyeji wake. Alipotoka kuendea vinywaji Nuru alimzuia. Hakuwa na muda wa kutosha. Alieleza. Wala haikuwa uongo. Kijana huyo aliposhuka kitandani ili amkumbatie Nuru, alipokelewa kwa pigo kali ambalo hakulitegemea. Akaangukia zulia. Nuru alimwongeza pigo jingine. Kisha, akamfunga kamba za miguu na mikono. Baada ya hapo aliipapasa mifuko yake. Kama alivyotegemea, kijana huyo hakuwa dereva wa kawaida. Katika moja ya mifuko yake ya koti Nuru alipata bastola. Na ilikuwa na kiwambo cha kupotezea sauti. Kwa furaha Nuru aliifungia mapajani, kisha
akachukua ufunguo wa gari na kutoka harakaharaka.
Gari lilimfikisha mbele ya jumba lilelile alilolihitaji.
Alipokelewa na mbwa yuleyule kwa dalili za mjuano. Hata hivyo, alikuwa akitembea kwa dhiki kubwa. Kiuno chake kilikuwa kimeteguka au kuvunjika. Alipomfikia Nuru miguuni alianza kumlamba miguu katika hali ya mjuano. Ni hapo alipomfumua kichwa kwa risasi tatu. Akakata roho na kuanguka kama mzigo. Ndipo Nuru alipoanza safari ya kuingia ndani, bastola ikiwa imemtangulia.
Alitembea kimya kama kivuli, akipiga kila hatua kwa adhari na uangalifu. Alichungulia kila chumba kwa makini kabla hajakiendea cha pili. Alikuwa na kila hakika ya kumfumania adui yake akiwa kajisahau.
Haikutokea kuwa hivyo. Alikuwa akikaribia chumba cha mateso aliposhangaa kusikia sauti toka nyuma yake ikimwamuru kusimama. Aligeuka kwa haraka. Lakini hakuwa mwepesi zaidi ya adui yake ambaye alimdaka na kumtia kabari huku akimpokonya silaha kwa urahisi kama vita vya paka na panya.
“Nilijua utarudi,” alisema kwa kebehi. “Nilijua wewe pia ungependa kufia humu kama wengine.” Likacheka kabla ya kukebehi kwa sauti mbaya zaidi likisema, “Usijali. Dakika chache baadaye utakuwa marehemu. Na nilikuwa na hamu kubwa sana ya kukuua kwa jinsi ulivyokivunja kiuno cha mbwa wangu. Au hukujua kuwa wanawake wenzako watamlilia kwa jinsi anavyojua mapenzi?”
***
Uwanja wa Ndege haukuwa na watu wengi kama ilivyo kawaida. Joram alihisi kuwa hakukuwa na ndege za kuondoka wala kutua muda huo, jambo ambalo lingewafanya wasubiri sana kupatiwa usafiri wa binafsi.
Aliyatupa macho yake huku na huko kwa haja ya kumwona Nuru. Hakumwona. Akawageukia askari hao na kuwatupia swali hilo. Kiasi wakiwa wameshangaa walitazamana na kisha mmoja wao kusema kwa ukali, “Utamsubiri hapa. Atafika muda wowote kuanzia sasa.”
Joram aliitazama saa yake. Hakuwa na muda mrefu wa kusubiri. Hivyo, aliwatazama askari hao kwa kuwapima. Hakuona kama wangemsumbua. Mmoja akiwa binadamu wa kawaida,