Lekakui
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,451
- 589
Wana JF,
Jana katika pitapita zangu nilijikuta niko kwenye daladala inatokea Monduli, na humo ndani aliyewepo dada mmoja ambaye ni kada wa CCM, alichosema ni kwamba yeye ni CCM, lakini ukweli ni kwamba CHADEMA inawakosesha usingizi na akaenda zaidi na kusema LOWASA amewaambia wafanya juu chini kuiba kura na kuhakikisha makuyuni haiendi CHADEMA, alikiri kabisa kwamba sehemu nyingi nchini wamekuwa wakishinda sio kwa kuwa wanapigiwa kura bali ni kwa uizi wa kura,
My take:Iramba uchaguzi wa juzi CHADEMA walishinda vizuri kabisa lakini kwa mbinu hii ya mgamba je kitaeleweka 2015?
Jana katika pitapita zangu nilijikuta niko kwenye daladala inatokea Monduli, na humo ndani aliyewepo dada mmoja ambaye ni kada wa CCM, alichosema ni kwamba yeye ni CCM, lakini ukweli ni kwamba CHADEMA inawakosesha usingizi na akaenda zaidi na kusema LOWASA amewaambia wafanya juu chini kuiba kura na kuhakikisha makuyuni haiendi CHADEMA, alikiri kabisa kwamba sehemu nyingi nchini wamekuwa wakishinda sio kwa kuwa wanapigiwa kura bali ni kwa uizi wa kura,
My take:Iramba uchaguzi wa juzi CHADEMA walishinda vizuri kabisa lakini kwa mbinu hii ya mgamba je kitaeleweka 2015?