TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Napenda kutoa rai kwamba uandishi wa kitabu makuwadi wa soko huria cha marehemu professa Chachage hakikuzingatia uhalisia wa mambo yafuatayo:
1.Kwamba mfumo wa uchumi unaitawala dunia leo hii ni ubepari.
2.Kwamba utandawazi huja na out-build chances na si in-build (mara nyingi).
(You fit urself to the world instead of the world fitting itself to you).
3.Historia ya ubepari duniani,kutawanyika kwake na malengo yake pamoja na nguvu ya sura tofauti zitumikazo kuuendeleza.
4.Nguvu halisi ya nchi kama Tanzania na nafasi yake katika ushiriki wa uchumi wa dunia.(vipi hasa ni sahihi kufanya katika muda husika).
Kwa mliokisoma naomba mnipe mtazamo wenu katika hili na mustakabali wetu kama taifa.
1.Kwamba mfumo wa uchumi unaitawala dunia leo hii ni ubepari.
2.Kwamba utandawazi huja na out-build chances na si in-build (mara nyingi).
(You fit urself to the world instead of the world fitting itself to you).
3.Historia ya ubepari duniani,kutawanyika kwake na malengo yake pamoja na nguvu ya sura tofauti zitumikazo kuuendeleza.
4.Nguvu halisi ya nchi kama Tanzania na nafasi yake katika ushiriki wa uchumi wa dunia.(vipi hasa ni sahihi kufanya katika muda husika).
Kwa mliokisoma naomba mnipe mtazamo wenu katika hili na mustakabali wetu kama taifa.