Makusanyo ya TRA mwezi June ni Bilioni 500, kulikoni?!

mpiga domo

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
852
1,502
Habari wakuu,

Nilikua naangalia taarifa ya habari ITV usiku huu na msemaji wa TRA ni kama nimemsikia kwamba makusanyo waliokusanya mwezi June ni billion 500.

Kulikoni makusanyo ya kodi kushuka hivi mwezi June.

Au kwa mliosikia vizuri au data zaidi ya kiasi halisi kilichosemwa mnaweza mkatoa data za uhalisia kwa maana naona kama billion 500 ni kama makusanyo yameshuka by a half.
 
Habari wakuu,

Nilikua naangalia taarifa ya habari ITV usiku huu na msemaji wa TRA ni kama nimemsikia kwamba makusanyo waliokusanya mwezi June ni billion 500.

Kulikoni makusanyo ya kodi kushuka hivi mwezi June.

Au kwa mliosikia vizuri au data zaidi ya kiasi halisi kilichosemwa mnaweza mkatoa data za uhalisia kwa maana naona kama billion 500 ni kama makusanyo yameshuka by a half.
Hayo ni makusanyo ya bandarini tu sio ya jumla. Wastani wa mapato bandarini umepanda kutoka bilioni 200 hadi 300 kwa mwezi hadi kufikia bilioni 400 hadi 500 kwa mwezi.
 
Hayo ni makusanyo ya bandarini tu sio ya jumla. Wastani wa mapato bandarini umepanda kutoka bilioni 200 hadi 300 kwa mwezi hadi kufikia bilioni 400 hadi 500 kwa mwezi.
Asante kwa ufafanuzi mkuu
 
Habari wakuu,

Nilikua naangalia taarifa ya habari ITV usiku huu na msemaji wa TRA ni kama nimemsikia kwamba makusanyo waliokusanya mwezi June ni billion 500.

Kulikoni makusanyo ya kodi kushuka hivi mwezi June.

Au kwa mliosikia vizuri au data zaidi ya kiasi halisi kilichosemwa mnaweza mkatoa data za uhalisia kwa maana naona kama billion 500 ni kama makusanyo yameshuka by a half.
Sasa there comes our main problem"namna ya kuzitumia ili zilete matokeo chanya"
 
Asa me atasielewi kama miela inakusanywa mbona njaa kali kuanzia kwa wafanyakazi adi mtaan izi ela zinaenda wap? atakama ndo tunajenga ivyo viwanda si kwa njaa hii
 
ungesikiliza vizuri wala usingekurupuka kuweka hii post, hyo billion 500 ni makusanyo bandarini tuu! na wamepongeza kwa kuwa mwanzo ilikuwa kati ya billion 200 hadi billion 300 ,ila sasa ivi wamekusanya billion 500
 
Hayo ni makusanyo ya bandarini tu sio ya jumla. Wastani wa mapato bandarini umepanda kutoka bilioni 200 hadi 300 kwa mwezi hadi kufikia bilioni 400 hadi 500 kwa mwezi.

Yale makusanyo yaliyokuwa yanagonga til 1 na ushee yalikuwa ya nchi nzima au bandarini tu mkuu?
 
ungesikiliza vizuri wala usingekurupuka kuweka hii post, hyo billion 500 ni makusanyo bandarini tuu! na wamepongeza kwa kuwa mwanzo ilikuwa kati ya billion 200 hadi billion 300 ,ila sasa ivi wamekusanya billion 500
Mungu mkubwa. Huko mbele kuna mambo mazuri
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom