Makuruta walipogeuzwa asusa kwa kubakwa ndani ya jeshi la Marekani….!

Ni tamaa tu inatuponza wanawake. I am so proud of my parents, kwa kunijengea msimamo kuwa i dont need anything material to be happy.
Nilipomaliza chuo tu, nikiwa mdogo sana than peers, nilipata ajira kwenye taasisi ya serikali. Siku nasign mkataba, hr alinionya about boss wangu. Aliniambia wazi ni mroho wa mabinti, lakini kama ukiamua kuwa na msimamo he is diplomatic. Akikuonea kwa kazi uje tutakulinda manake tunamjua. Well, hakusita kuniambia hata yeye ananimezea mate.
Nilifanya kazi hapo kwa shida. Mshahara mdogo sana na alihakikisha sipati safari hata moja! Isipokuwa akiwa na trip nje ya nchi alinishawishi 'nimsindikize'. Tulikuwa tunawekeana bets kuwa hatokaa anipate, na yeye ananiambia utanasa tu. Nilitafuta kazi nikahama. Recently tulikutana kwenye hotel moja kubwa. After my meal nikaenda kumsalimia, just to show him life went on well after all! He offered me a drink and i refused.
Ukiachia wanawake wanaobakwa, na kwenye mazingira ambayo ni ya kushtukiza, wanawake tunaingia tamaa ya advantage. Niliteseka for 8 months, but i wasnt desperate at all. Mshahara ulitosha lunch tu na kuna gari ya ofisi ya bure. Alinishawishi nihamie kwake kuna servant quarter ya bure, nikagoma. Aliahidi kuniwekea some amount kila mwezi kwenye account yangu for no reason wala masharti (5x my salary) nikagoma. Looking back, kile kibabu hata ningetembea nacho kingeniharibia dira ya maisha yangu kwa senti chache tu. Nilipambana kuhakikisha nafanya long term plans na zimelipa kwa kweli.

This is for all the young men and women mnaopata sexual harassment makazini na shuleni. I promise you, hailipiii! Fanya long term plans! Kama huna akili, soma hadi uloweke miguu na vitabu kwenye maji. Kama huna elimu, nenda shule ili ustahili position yako hata evening class. Kama mshahara hautoshi, fanya kazi za ziada ama tafuta kazi ingine fastaaa! There is no, absolutely no reason to give in to sexual harrassment just becoz you need money or a job. Hata kama ni maskini kiasi gani, hailipiii!

Kumbe inawezekana,hongera a hundred times ni mfano mzuri!
 
Ni tamaa tu inatuponza wanawake. I am so proud of my parents, kwa kunijengea msimamo kuwa i dont need anything material to be happy.
Nilipomaliza chuo tu, nikiwa mdogo sana than peers, nilipata ajira kwenye taasisi ya serikali. Siku nasign mkataba, hr alinionya about boss wangu. Aliniambia wazi ni mroho wa mabinti, lakini kama ukiamua kuwa na msimamo he is diplomatic. Akikuonea kwa kazi uje tutakulinda manake tunamjua. Well, hakusita kuniambia hata yeye ananimezea mate.
Nilifanya kazi hapo kwa shida. Mshahara mdogo sana na alihakikisha sipati safari hata moja! Isipokuwa akiwa na trip nje ya nchi alinishawishi 'nimsindikize'. Tulikuwa tunawekeana bets kuwa hatokaa anipate, na yeye ananiambia utanasa tu. Nilitafuta kazi nikahama. Recently tulikutana kwenye hotel moja kubwa. After my meal nikaenda kumsalimia, just to show him life went on well after all! He offered me a drink and i refused.
Ukiachia wanawake wanaobakwa, na kwenye mazingira ambayo ni ya kushtukiza, wanawake tunaingia tamaa ya advantage. Niliteseka for 8 months, but i wasnt desperate at all. Mshahara ulitosha lunch tu na kuna gari ya ofisi ya bure. Alinishawishi nihamie kwake kuna servant quarter ya bure, nikagoma. Aliahidi kuniwekea some amount kila mwezi kwenye account yangu for no reason wala masharti (5x my salary) nikagoma. Looking back, kile kibabu hata ningetembea nacho kingeniharibia dira ya maisha yangu kwa senti chache tu. Nilipambana kuhakikisha nafanya long term plans na zimelipa kwa kweli.

This is for all the young men and women mnaopata sexual harassment makazini na shuleni. I promise you, hailipiii! Fanya long term plans! Kama huna akili, soma hadi uloweke miguu na vitabu kwenye maji. Kama huna elimu, nenda shule ili ustahili position yako hata evening class. Kama mshahara hautoshi, fanya kazi za ziada ama tafuta kazi ingine fastaaa! There is no, absolutely no reason to give in to sexual harrassment just becoz you need money or a job. Hata kama ni maskini kiasi gani, hailipiii!
Nitakuwa mchoyo wa fadhira nisipokupa pongeziii nyingi mno, hope kuna watu wengi watasaidika kwa hili koz ni ukweli usiopingika rushwa imeenea kila mahari
 
Back
Top Bottom