Haiwezekani Jumamosi, Jumapili, Sikukuu usiku wa manane, kiongozi kwa utashi wake eti anatoa maagizo kupitia group la WhatsApp.
Jamani tuheshimuni weekend zetu na muda wa mapumziko, kazi zilikuwepo na zikifanyika tu hata kabla ya WhatsApp.
Inaboa sana unakutana na kiongozi mtaka sifa kila muda kutoa maagizo tu anavyojisikia, kama haujaona meseji ugomvi unaanzia hapo, daaaah hivi hii imekaaje wadau tujadili hizi mambo kwa upana, kabla hatujaanza kutoleana nishai huko mbeleni.
Jamani tuheshimuni weekend zetu na muda wa mapumziko, kazi zilikuwepo na zikifanyika tu hata kabla ya WhatsApp.
Inaboa sana unakutana na kiongozi mtaka sifa kila muda kutoa maagizo tu anavyojisikia, kama haujaona meseji ugomvi unaanzia hapo, daaaah hivi hii imekaaje wadau tujadili hizi mambo kwa upana, kabla hatujaanza kutoleana nishai huko mbeleni.