nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Wote wataweza kujiari ? Unafikiri kijiajiri ni rahisi tu siyo ? Acha kujidanganyaTuwahimize watoto wetu wasije kufanya kazi za kitumwa (kuajiriwa) kama wazazi wao. Waanze kujiandaa tangu wakiwa shule, kufanya mipango na mikakati ya KUJIAJIRI mara watakapomaliza masomo yao.